Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
Uko ndani ila unawaza ya nje mkuu hahaIla kutembea usiku kwenye viwanja tofauti kuna raha yake sn.Ila usilewe chakali uwe unajielewa tu.
Leo nipo geto nakula gospel alone tu.Nahisi Mungu ananiokoa niokoke
Hahahahahahahhaha...kesho vipi?Kaongo kumbe hata haupo aargh [emoji51][emoji51]
Leo huna noti broh..siyo kawaida yako.Ila kutembea usiku kwenye viwanja tofauti kuna raha yake sn.Ila usilewe chakali uwe unajielewa tu.
Leo nipo geto nakula gospel alone tu.Nahisi Mungu ananiokoa niokoke
Hayupo sawa financially huyo[emoji1787]Uko ndani ila unawaza ya nje mkuu haha
Huwa napenda live band ndiyo huwa nakuja kesho hamna band not so sure kama ntakuwepoHahahahahahahhaha...kesho vipi?
Kuna kwa mama sele nyuma ya hospitali ya bonde la mpunga napo safi sana.Kwa mama nditi msasani mita chache kutoka uwanja wa magunia kuna Gongo tamu sana na totoz za buku tatu tu.
Micassa hoyeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah nilitaka nikwambie uje Micasa kumbe hupataki! Basi
Haha ukikamata Bebe afu umekula gongo si nomaKuna kwa mama sele nyuma ya hospitali ya bonde la mpunga napo safi sana.
Totoz za buku tatu zipo pale kwa wahaya.
Dar ni noma...Aisee Dar ukiwa na hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utanenepa.Ila walioko nje ya Dar kuna kitu wanakosa aisee..Dar kuna raha nyie
Unantamanisha ujue[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Wakuu njooni Micasa ubungo kuna live band[emoji95]
Duh! Basi tutasomana hata Ijumaa nyingine.Huwa napenda live band ndiyo huwa nakuja kesho hamna band not so sure kama ntakuwepo
Akijibu niite..[emoji1]
Dar ndio +255Dar ni noma...Aisee Dar ukiwa na hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utanenepa.
Noti ninazo mkuu za kunitosheleza at least nikala bata.Sema nimefululiza sn sehemu hizo.Mpaka nikawa nanuka Guinness tu.Kupumzika Muhimu.Tena nimeairisha kiutani sn leo,nilikuwa nimeshaamua nitoke.Na kampani pia sina leoLeo huna noti broh..siyo kawaida yako.
Kampani ya marafiki au kampani ya demu..!??Noti ninazo mkuu za kunitosheleza at least nikala bata.Sema nimefululiza sn sehemu hizo.Mpaka nikawa nanuka Guinness tu.Kupumzika Muhammad.Tena nimeairisha kiutani sn leo,nilikuwa nimeshaamua nitoke.Na kampani pia sina leo
Aameni!Mkuu karibu
Soon naanza kuhudumu usharikani