Kizazi baada ya Messi na Ronaldo: Kati ya Neymar, Hazard, Mbappe, Dyabala na Pogba nani kutesa na tuzo ya ballon d'Or?

Mi nadhani hazard akifuatiwa na mbape.....pogba hapo mtoe...
 
Unamfahamu vizuri wewe au? Anachezea timu gani?
Kuna wa fc Barcelona na yule wa celtic nadhani ulimaanisha wa Barca bado huwezi mweka kwenye class ya kina messi class yake ni kina salah
 
Neymar akituliza kichwa vizuri atazikoga sana, ila ahame huko psg kwake.
 
hata kama unaichukia man u bado pogba ni mchezaji mkubwa mkubwa sana,halafu neema akiacha usichana na ubinafsi hapati kitu.
 
Tulishaaminishwa ngozi nyeupe peke yake ndo anaejua kila kitu hata etoo alipofukuzwa barcelona pedro akabak haikuwa ajabu.
Sasa ukisikia crying for public sympathy ndio huku.
1. Lini Etoo alifukuzwa Barcelona?
2. Ubutu wa Pogba unahusiana nini na rangi yake?
3. Kwa hiyo kwako Coutinho nyuma ya Pogba sababu tu mnafanana rangi?

Tuchambue viwango vya wachezaji kama wanavyojidhihirisha day to day, rangi na historia tuwaachie wikipedia. Pogba na Hazard watafutieni shughuli zingine za kufanya
 
Hivi wewe Pogba umeanza kumfaham akiwa united ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…