Kizazi cha 1978-1985 hatuzeeki. Je, unajua sababu?

Queen Darlin amefika lini hiyo 44 wewe? MwanaFA na dully Sykes lini kafika hiyo 45,
 
Akili mnawekaga wapi ? Sema vijana tunaoishi dar tuliojopata kimaisha tuliozaliwa hyo miaka hatuzeeki. Kuna watu wamezaliwa miaka hyohyo lakini wamechakaa wapo hapohapo dar then unalinganisha na Riz1 na wengineo walijipata. USI-GENERALISE BOSS
 
Depression.
Anxiety related disorders ukikaa vibaya unaonekana Babu au Bibi kizee.

Visababishi vya Mambo tajwa hapo juu.
Kukosa ajira ambayo inaleta kipato ambacho kinarahisisha maisha .

Social media ask me how ..

Mapenzi ..

Yatatuuweni ...
 
Akili mnawekaga wapi ? Sema vijana tunaoishi dar tuliojopata kimaisha tuliozaliwa hyo miaka hatuzeeki. Kuna watu wamezaliwa miaka hyohyo lakini wamechakaa wapo hapohapo dar then unalinganisha na Riz1 na wengineo walijipata. USI-GENERALISE BOSS
Nimeandika kuwa uzi huu hauwahusishi walioharibu maisha yaa na afya zao kwa pombe na anasa zingine
 
Ben kinyaiya tangy nimfaham Enzi hizo miaka YA 2000 mpaka Leo Yuko vile vile hazeeki Yule kaka πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Chakula asilia, mazoezi ya kiasi, kuwa free stressed, kupumzisha mwili, kuwa Mcha Mungu huchelewesha sana uzee.

Ubinadamu ni kazi The humanity is a work.View attachment 2984487
Sure kuwa Mcha Mungu huzeekiiii hata ukizeeka unazeeka Lakin bado unaonekana kijana nawajua watumishi wengi ambao ni age imeenda 60,70,80 lakini ukiwaona Wana vibaby face wanaglow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…