Toa mfano wa upendeleo uliofanywa na watangulizi wake kuupa nguvu hoja ya "kiongozi" kupendelea kwao.NYERERE,MWINYI,MKAPA na KIKWETE WALIFANYA NINI KWAO CHENYE SURA HII?Nako ni Tanzania pia. Hakuna sehemu isiyopaswa kuendelezwa hapa nchini, tatizo ni vipaumbele na umuhimu wa eneo. Hata nawe ukiwa kiongozi utataka kufanya kitu kwa eneo lako pia. Ingekuwa kila kitu kimefanyika Chato peke yake hoja zenu zingekuwa na mantiki hapa vinginevyo hii ni kupandikiza chuki na roho korosho za kimaskini tu..
Toa mfano wa upendeleo uliofanywa na watangulizi wake kuupa nguvu hoja ya "kiongozi" kupendelea kwao.NYERERE,MWINYI,MKAPA na KIKWETE WALIFANYA NINI KWAO CHENYE SURA HII?
Aisee ukifuatilia haya mambo yanayo fanyika kienyeji unaweza kupata blood pressure bure!Okay, tufanye chato international airport imejengwa mahususi kwa ajiri ya kuchochea utalii hapo burigi, nijibu maswali haya.
1. Kwa nini hakuna scheduled flights za kwenda huo uwanja japo na air tanzania? au hamna watalii wanaokwenda huko?
2. kama ni kweli bunge lilipitisha hiyo burigi kuwa hifadhi rasmi ya taifa miaka hiyo, lilielekeza kupeleka wanyama huko buligi?
yaani kwa nini waliiona burigi kama hifadhi ya taifa ya wanyama wakati haikuwa na hao wanyama?
acheni kutetea upuuzi.
Okay, tufanye chato international airport imejengwa mahususi kwa ajiri ya kuchochea utalii hapo burigi, nijibu maswali haya.
1. Kwa nini hakuna scheduled flights za kwenda huo uwanja japo na air tanzania? au hamna watalii wanaokwenda huko?
2. kama ni kweli bunge lilipitisha hiyo burigi kuwa hifadhi rasmi ya taifa miaka hiyo, lilielekeza kupeleka wanyama huko buligi?
yaani kwa nini waliiona burigi kama hifadhi ya taifa ya wanyama wakati haikuwa na hao wanyama?
acheni kutetea upuuzi.
hakuna chochote alichonena vema hapo .Umenena vyema sana. Ngoja wajuzi waje tuone
MAWAZO YA KIMASKINI UNAYO WEWE. UNGEKUWA NA MTAZAMO CHANYA UNGETUPA SABABU "KWA NINI HAYO YAFANYIKE HUKO NA SI KWINGINE?"
Hoja za upendeleo zinapata nguvu kwa kuangalia mengi kama teuzi za nafasi muhimu kuwapa jamaa zake ili kufanikisha azma zake "ovu". Angalia Hazina,Wizara,Jeshini n.k. Tunapoongea tuna ushahidi na kauli zake zinadhihirisha.Hawezi kujipaka kinyesi kisha alaumu wanaohisi harufu mbaya!
Serengeti National Park iko Mara, kwanini hawajajenga International Airport Mara?
Ruaha National Park iko Iringa, kwanini hawakujenga International Airport iringa?
Gombe National Park iko Kigoma, Je kuna International Airport Kigoma?
Katavi National Park iko Katavi, Je kuna International Airport Katavi?
Kuna hifadhi nyingi tu kama Ngorongoro, Selous, Mikumi, Manyara n.k lakini huko kote havikujengwa viwanja vya ndege vya kimataifa. Kwanini Chato??
Au hifadhi ya burigi inapokea watalii wengi kuliko hifadhi za Serengeti, Ngorongoro, Mikumi, Selous, Manyara, na nyinginezo ??
mimi sijaongea ongea tu, namjibu huyo mwenzako aliyeleta justification za kitoto kabisa za kujenga uwanja wa kimataifa wa ndege chato, sasa kwa sababu kutetea upuuzi kunahitaji degree kadhaa za ujinga.Ndugu sehemu kutokuwa na scheduled flights haimaanishi kwamba hakuna abiria. Swali dogo kwako, je airtanzania inaenda kila mahali penye kiwanja hapa nchini? Au precision air au hata hizi charter flights, zina scheduled flights kila sehemu penye uwanja wa ndege hapa nchini?
Pili, maisha ya wanyama hayako kama binadamu kwamba kila mahali unaweza ishi. Jamii za wanyama zina tabia na ecolojia inayoweza kuwapa maisha katika eneo hilo. Na ndio maana ukienda ngorongoro hukuti sokwe mtu au kima wekundu au serengeti hukuti simba wanaopanda miti, n.k
Kupelekwa kwa wanyama Burigi inaweza kuwa ni sehemu ya majaribio kuona iwapo wanyama hao wanaweza ishi katika hiyo mbuga na si kwamba haikuwa na wanyama kabisa. Sidhani kama umewahi itembelea yote na kuona kuwa haina wanyama kabisa, otherwise unaleta maneno ya uzushi tu humu
Serengeti kueka lami sio rahis kivile ,maana ile heritage na iko kwa UNESCO list ,kwaiyo itapoteza ubora wake ,na walisha jaribu ilo ,ila serikal ya Tanzania ilishitakiwa na ikashindwa kesiKulikuwa kuna ulazima gani wa kuweka Lami hapo Chato ilihali Serengeti baba lao hana lami wala Musoma airport lami hakuna mpaka leo... unajibuje hapo?
Uchaguzi wa mwaka huu mtakuwa na kazi ngumu sana ya kumtetea mgombea wenu.Tuwekane sawa kidogo kuhusu mambo ya uongo ambayo ameongea ndugu TUNDU LISU mgombea uraisi kwa nafasi kupitia chama Cha demokrasia na maendeleo.
HIFADHI YA TAIFA YA BURIGI
Mwanzo kabisa hi hifadhi ya taifa ya burigi kabla kupandisha hadhi kuwa hifadhi ya taifa ya wanyama pori, Lili kuwa ni pori moja wapo ya mapori ya hifadhi ya serekali ambalo linapatikana mkoa wa Geita, Hili pori lilianzishwa mwaka 1980 Kama pori la hifadhi la akiba.
Katika ukanda huo kwa maana ya mikoa ya Geita na Kagera yalikuwa yanapatikana mapori Kama vile:
Burigi
Kimisi
Biaramulo
Kibanda na
Rumanyika.
Mwaka 2018-2019 kwenye bunge la bajeti,wizara ya utali walipeleka hoja bungeni ya kuomba kupandishwa hadhi baadhi ya mapori ya akiba na kuwa hifadhi za taifa,mapori hayo ni Burigi,Biaramulo,kibanda na rumanyika.
Haya mapori yote yapo katika ukanda muhimu Sana wa ki ikorojia.
Lengo la wizara ya utali kupeleka hiyo hoja ni kwa sababu ya kupanua utali na kuongeza mapato ya taifa ndani ya miaka Saba ili yafikie bill.16 USD yani maana yake wastani wa watali kufikia mil.8 kwa miaka hiyo Saba.
Wa bunge wote wa bunge la Tanzania walipitisha na wakiwemo na wabunge wa Chadema na yule mtoa vimemo vya uongo kwa mgombea wao bwana Mnyika alikuwepo kwenye kupitisha maamuzi hayo.
Lakini wabunge walikubaliana hayo kwa hoja nyingine ya msingi.
Biharamulo,Burigi na Kimisi haya yote yaliunganishwa na kuwa hifadhi ya taifa kwa jina la BURIGI na mapori haya yote yamezungukwa na kata 18 na vijiji 48.
UWANJA WA NDEGE WA CHATO
Kutokana na kupandishwa hadhi mapori hayo na kuwa hifadhi ya taifa kwa namna moja au nyingine ni lazima kuwepo kwa uwanja wa ndege ili uraisishe utali na kupanua wigo wa utali.
Sasa ndio unaona uongo wa huyu mgombea wa Chadema bwana TUNDU LISU kwamba uwanja wa ndege raisi MAGUFULI kajenga kwa ajiri yake.
RAI YANGU KWA WATANZANIA
Tumpinge vikali Sana huyu muongo wa taifa na mchonganishi wa taifa letu kwa huu upotoshaji anaoufanya kipindi cha kuelekea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu
Ile ni mbuga very special ina wanyama adimu Mkuu.Kulikuwa kuna ulazima gani wa kuweka Lami hapo Chato ilihali Serengeti baba lao hana lami wala Musoma airport lami hakuna mpaka leo... unajibuje hapo?
Hiyo miaka unayosema kulikuwa na wanyama gañi?Tuwekane sawa kidogo kuhusu mambo ya uongo ambayo ameongea ndugu TUNDU LISU mgombea uraisi kwa nafasi kupitia chama Cha demokrasia na maendeleo.
HIFADHI YA TAIFA YA BURIGI
Mwanzo kabisa hi hifadhi ya taifa ya burigi kabla kupandisha hadhi kuwa hifadhi ya taifa ya wanyama pori, Lili kuwa ni pori moja wapo ya mapori ya hifadhi ya serekali ambalo linapatikana mkoa wa Geita, Hili pori lilianzishwa mwaka 1980 Kama pori la hifadhi la akiba.
Katika ukanda huo kwa maana ya mikoa ya Geita na Kagera yalikuwa yanapatikana mapori Kama vile:
Burigi
Kimisi
Biaramulo
Kibanda na
Rumanyika.
Mwaka 2018-2019 kwenye bunge la bajeti,wizara ya utali walipeleka hoja bungeni ya kuomba kupandishwa hadhi baadhi ya mapori ya akiba na kuwa hifadhi za taifa,mapori hayo ni Burigi,Biaramulo,kibanda na rumanyika.
Haya mapori yote yapo katika ukanda muhimu Sana wa ki ikorojia.
Lengo la wizara ya utali kupeleka hiyo hoja ni kwa sababu ya kupanua utali na kuongeza mapato ya taifa ndani ya miaka Saba ili yafikie bill.16 USD yani maana yake wastani wa watali kufikia mil.8 kwa miaka hiyo Saba.
Wa bunge wote wa bunge la Tanzania walipitisha na wakiwemo na wabunge wa Chadema na yule mtoa vimemo vya uongo kwa mgombea wao bwana Mnyika alikuwepo kwenye kupitisha maamuzi hayo.
Lakini wabunge walikubaliana hayo kwa hoja nyingine ya msingi.
Biharamulo,Burigi na Kimisi haya yote yaliunganishwa na kuwa hifadhi ya taifa kwa jina la BURIGI na mapori haya yote yamezungukwa na kata 18 na vijiji 48.
UWANJA WA NDEGE WA CHATO
Kutokana na kupandishwa hadhi mapori hayo na kuwa hifadhi ya taifa kwa namna moja au nyingine ni lazima kuwepo kwa uwanja wa ndege ili uraisishe utali na kupanua wigo wa utali.
Sasa ndio unaona uongo wa huyu mgombea wa Chadema bwana TUNDU LISU kwamba uwanja wa ndege raisi MAGUFULI kajenga kwa ajiri yake.
RAI YANGU KWA WATANZANIA
Tumpinge vikali Sana huyu muongo wa taifa na mchonganishi wa taifa letu kwa huu upotoshaji anaoufanya kipindi cha kuelekea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu
Labda ungetufafanulia unadhani kipi kinapaswa kuanza?? Kujengea uwanja ndio ndege zitue au ndege zitue Kwanza afu ndo uwanja ujengwe??Ungeweka na idadi ya ndege za kibiashara au za kitalii zinazotua hapo tangu kumalizika kwa uwanja na uwepo wa hiyo hifadhi ya wanyama.
Kama hauna, alichosema TL kitabaki sahihi labda kama kinauma
Ndugu yangu, hiyo sasa ndio moja ya sababu kuu za kupandisha hadhi pori hilo. Unapopandisha hadhi pori la akiba, pamoja na Mambo mengine, unaliongezea ulinzi pori husika.Nimepata Bahati Nzuri Ya Kupita Hilo Mbuga
Kutokea Karagwe Kwenda Ngara
Sikukutana Na Wanyama Zaidi Ya Mbweha Watatu Kwa Umbali Tofauti Tofauti.
Pori Ni Kubwa Sana, Lingekuwa Kama Mikumi, Tarangire, Hata Pori La Akiba Pale Lamadi Kwenye Mizani Ukipita Wanyama Unawaona Tu
Nadhani unapotosha. Tafuta taarifa. Lilipokuwa Pori la Akiba la Burigi, mle ndani kulikuwa kunaruhusiwa Uwindaji wa Kitalii tu ambao unafanywa na watalii toka nje ya nchi. Hivyo, fahamu kuwa wazawa walikuwa hawaruhisiwi kisheria kuwinda ndani ya Pori Hilo. Aidha, hakukuwa na miundombinu ya kuhudumia watalii wa ndani. Kwa kupandishwa hadhi, sasa watalii wa ndani wataruhisiwa kisheria kuingia Hifadhi ya Taifa ya Burigi.mimi npo huku hata leo nimepita hapo luna tumbiri tu basi na nyani,
Lingeendelea kuwa pori la akiba tu kwanza,
kwa sasa linatia hasara tu gharama za uendeshaji,
pia awali raia walikuw wanapata riziki kupitia hilo pori.
lkn sasa limewagharimu wengi sana.