Kizungumkuti hifadhi ya Burigi

Kizungumkuti hifadhi ya Burigi

Hili swari akijibu accordingly basing on his assumption za kuinua sekta ya utalii Tanzania nitakubaliana nae moja kwa moja na alichokisema kuhudu Burigi.
Mwanzoni alisema ni kukuza utalii, nikamuuliza atupe data maana kutoka ICAO- chato hawazidi watalii 100 kwa wiki, nikamuuliza tena, hivi watalii mia moja kwa wiki ndio wana-justify international airport mbona seregenti hakuna? akajibu mbona Musoma kuna Lami, nikampa picha halisi za musoma, akasema kuna mchakato- la mwisho , nimemuomba business case inayojustify chato airport, mpaka sasa hajatoa... labda sasa atakuja na majibu yatakayo kufanya ukubaliane naye... JPM akiondoka tu, hii chato itakuwa kame ile airport ya kijijini kwake Mobutu kuku wa zabanga...
 
Tiz

Tizama hiyo mbuga imefunguliwa hivi karibuni na uwanja umejengwa hivi karibuni biashara ya Utalii siyo kama duka unafungua leo na leo hii unapata wateja inachukua muda baada ya kufanya matangazo na promosheni subiri kidogo utapewa takwimu unazohitaji sijui unafanya utafiti wa utalii, wanyama pori au viwanja vya ndege?

sawa, lakini kabla ya ujenzi huwa kuna kitu kinaitwa business case na economic impact assessment... hii iko wapi ? ileteni humu tuione basi...
 
Hakuna uhusiano wowote wa hiyo National Park na uwanja wa ndege Chato.. !!
Watanzania sio wajinga hivyo..
 
Mwanzoni alisema ni kukuza utalii, nikamuuliza atupe data maana kutoka ICAO- chato hawazidi watalii 100 kwa wiki, nikamuuliza tena, hivi watalii mia moja kwa wiki ndio wana-justify international airport mbona seregenti hakuna? akajibu mbona Musoma kuna Lami, nikampa picha halisi za musoma, akasema kuna mchakato- la mwisho , nimemuomba business case inayojustify chato airport, mpaka sasa hajatoa... labda sasa atakuja na majibu yatakayo kufanya ukubaliane naye... JPM akiondoka tu, hii chato itakuwa kame ile airport ya kijijini kwake Mobutu kuku wa zabanga...
Kwakushindwa kwake kuthibitisha hilo watanzania hawatakuwa na budi kusema kuwa ujengaji wa uwanja wa kimataifa Chato ni misallocation of public fund.
 
Nimepata Bahati Nzuri Ya Kupita Hilo Mbuga

Kutokea Karagwe Kwenda Ngara

Sikukutana Na Wanyama Zaidi Ya Mbweha Watatu Kwa Umbali Tofauti Tofauti.

Pori Ni Kubwa Sana, Lingekuwa Kama Mikumi, Tarangire, Hata Pori La Akiba Pale Lamadi Kwenye Mizani Ukipita Wanyama Unawaona Tu
Mkuu umesahau wale primates wanaopatikAna pote.twiga wa Serengeti wamedead wote huko kwa magu
 
Tuwekane sawa kidogo kuhusu mambo ya uongo ambayo ameongea ndugu TUNDU LISU mgombea uraisi kwa nafasi kupitia chama Cha demokrasia na maendeleo.

HIFADHI YA TAIFA YA BURIGI
Mwanzo kabisa hi hifadhi ya taifa ya burigi kabla kupandisha hadhi kuwa hifadhi ya taifa ya wanyama pori, Lili kuwa ni pori moja wapo ya mapori ya hifadhi ya serekali ambalo linapatikana mkoa wa Geita, Hili pori lilianzishwa mwaka 1980 Kama pori la hifadhi la akiba.
Katika ukanda huo kwa maana ya mikoa ya Geita na Kagera yalikuwa yanapatikana mapori Kama vile:

Burigi
Kimisi
Biaramulo
Kibanda na
Rumanyika.

Mwaka 2018-2019 kwenye bunge la bajeti,wizara ya utali walipeleka hoja bungeni ya kuomba kupandishwa hadhi baadhi ya mapori ya akiba na kuwa hifadhi za taifa,mapori hayo ni Burigi,Biaramulo,kibanda na rumanyika.

Haya mapori yote yapo katika ukanda muhimu Sana wa ki ikorojia.

Lengo la wizara ya utali kupeleka hiyo hoja ni kwa sababu ya kupanua utali na kuongeza mapato ya taifa ndani ya miaka Saba ili yafikie bill.16 USD yani maana yake wastani wa watali kufikia mil.8 kwa miaka hiyo Saba.

Wa bunge wote wa bunge la Tanzania walipitisha na wakiwemo na wabunge wa Chadema na yule mtoa vimemo vya uongo kwa mgombea wao bwana Mnyika alikuwepo kwenye kupitisha maamuzi hayo.

Lakini wabunge walikubaliana hayo kwa hoja nyingine ya msingi.

Biharamulo,Burigi na Kimisi haya yote yaliunganishwa na kuwa hifadhi ya taifa kwa jina la BURIGI na mapori haya yote yamezungukwa na kata 18 na vijiji 48.

UWANJA WA NDEGE WA CHATO
Kutokana na kupandishwa hadhi mapori hayo na kuwa hifadhi ya taifa kwa namna moja au nyingine ni lazima kuwepo kwa uwanja wa ndege ili uraisishe utali na kupanua wigo wa utali.

Sasa ndio unaona uongo wa huyu mgombea wa Chadema bwana TUNDU LISU kwamba uwanja wa ndege raisi MAGUFULI kajenga kwa ajiri yake.

RAI YANGU KWA WATANZANIA
Tumpinge vikali Sana huyu muongo wa taifa na mchonganishi wa taifa letu kwa huu upotoshaji anaoufanya kipindi cha kuelekea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu
Tatizo la Lissu kila kitu anajua yeye na hao wafuasi wake wanaamini kila anachosema kama vile wanaamini dini; yaani hawajipi hata muda kidogo kujiuliza na kulinganisha. Rais anapokuwa anatoka eneo fulani la nchi haina maana kuwa ni marufuku shughuli yeyote ya marndeleo isifanywe anakotoka Rais huyo. Jiulize tu yeye Lissu akiwa rais Ikungi au Singida hakutafanyika chochote?
Mipango ya maendeleo huwa inaandaliwa kwa muda mrefu kulingana na mahitaji au matakwa tarajiwa ya nyakati fulani; hivyo rais anaweza akaingia madarakani na ikaonekana kuwa anafanya jambo fulani kumbe yeye anatekeleza tu kilichoamuliwa kabla yake.
Nakumbuka tangu miaka ya themanini mapori ya akiba yamekuwa yakupandishwa hadhi na kuwa hifadhi kutegemeana na mipango ya kupanua utalii.
Wakati pori la Burigi na hayo mengine yanaunganishwa na kupandishwa hadhi kuwa hifadhi vilevile pori la Selous lilimegwa na kuanzishwa mbuga ya Nyerere. Hii inaonyesha mambo yanafanywa kiutaalam.

Lissu anapaswa aelewe kuwa hiyo hifadhi inaingiza mapato, pia kupitia forward na backward linkage mapato mengine kupitia sekta ndogo ndogo kama mahoteli, maduka ya kuuza zawadi, vyakula, huduma za usafiri!, ajira za kudumu na vibarua nk yanazalishwa kwa mwaka na hivyo kukuza GDP.
Lissu kama anataka kuwa mjuzi wa uchumi atenge muda akasome uchumi au atafute mtaalam wa uchumi afundishwe.

Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Kwa somo dogo tu jinsi nchi inavyoendelea mchango wa sekta ya huduma (service sector) ambayo ni pamoja na utalii huongezeka na kuwa mkubwa kuliko sekta zingine. Mfano nchi ya Ubelgiji ambayo yeye Lissu anaitajataja, mchango wa sekta ya huduma katika GDP kwa mwaka 2019 ulikuwa asilimia 69.9. Kwa hiyo jinsi Tanzania tunavyozidi kuendelea ndivyo sekta ya huduma ikiwemo utalii itazidi kupanuka.

Lissu hamuwezi wala kumfikia Rais Magufuli katika menejimenti ya uchumi.
 
Tuwekane sawa kidogo kuhusu mambo ya uongo ambayo ameongea ndugu TUNDU LISU mgombea uraisi kwa nafasi kupitia chama Cha demokrasia na maendeleo.

HIFADHI YA TAIFA YA BURIGI
Mwanzo kabisa hi hifadhi ya taifa ya burigi kabla kupandisha hadhi kuwa hifadhi ya taifa ya wanyama pori, Lili kuwa ni pori moja wapo ya mapori ya hifadhi ya serekali ambalo linapatikana mkoa wa Geita, Hili pori lilianzishwa mwaka 1980 Kama pori la hifadhi la akiba.
Katika ukanda huo kwa maana ya mikoa ya Geita na Kagera yalikuwa yanapatikana mapori Kama vile:

Burigi
Kimisi
Biaramulo
Kibanda na
Rumanyika.

Mwaka 2018-2019 kwenye bunge la bajeti,wizara ya utali walipeleka hoja bungeni ya kuomba kupandishwa hadhi baadhi ya mapori ya akiba na kuwa hifadhi za taifa,mapori hayo ni Burigi,Biaramulo,kibanda na rumanyika.

Haya mapori yote yapo katika ukanda muhimu Sana wa ki ikorojia.

Lengo la wizara ya utali kupeleka hiyo hoja ni kwa sababu ya kupanua utali na kuongeza mapato ya taifa ndani ya miaka Saba ili yafikie bill.16 USD yani maana yake wastani wa watali kufikia mil.8 kwa miaka hiyo Saba.

Wa bunge wote wa bunge la Tanzania walipitisha na wakiwemo na wabunge wa Chadema na yule mtoa vimemo vya uongo kwa mgombea wao bwana Mnyika alikuwepo kwenye kupitisha maamuzi hayo.

Lakini wabunge walikubaliana hayo kwa hoja nyingine ya msingi.

Biharamulo,Burigi na Kimisi haya yote yaliunganishwa na kuwa hifadhi ya taifa kwa jina la BURIGI na mapori haya yote yamezungukwa na kata 18 na vijiji 48.

UWANJA WA NDEGE WA CHATO
Kutokana na kupandishwa hadhi mapori hayo na kuwa hifadhi ya taifa kwa namna moja au nyingine ni lazima kuwepo kwa uwanja wa ndege ili uraisishe utali na kupanua wigo wa utali.

Sasa ndio unaona uongo wa huyu mgombea wa Chadema bwana TUNDU LISU kwamba uwanja wa ndege raisi MAGUFULI kajenga kwa ajiri yake.

RAI YANGU KWA WATANZANIA
Tumpinge vikali Sana huyu muongo wa taifa na mchonganishi wa taifa letu kwa huu upotoshaji anaoufanya kipindi cha kuelekea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu

"You can fool some people for sometime, BUT you can't fool all people all time"
Nimeanza na nukuu hii ya Kimombo kukuweka sawa ewe kibweka wa CCM.
Hii nji imejaa Hifadhi au Mbuga za Wanyama kila Kona.
Kwa kanda ya Ziwa Hifadhi zilizo jirani ni Serengeti, Seronera, Ngorongoro Manyara!

Hivyo Jiwe hakuwa na sababu yoyote ya msingi kuanzisha Burigi Park zaidi ya mbwembwe za Kisiasa na Matumizi mabaya ya Fedha na Rasilimali za Taifa....!!

Anachofanya Magufuli hakina tofauti na alichofanya Dikteta Mabutu Seseko Kuku Wazabanga! Mabutu alijenga Jiji la Badolite kijijini alikozaliwa kwa kutumia mabavu na Udikteta.

Likewise Magufuli anajaribu kujinufaisha kwa kutumia Madaraka vibaya/Udikteta kuijenga Chato kwa manufaa yake na si Taifa.

Fedha aliyotumia Magufuli kuijenga Burigi na Chato kwa kipindi Cha miaka hii 5 ni UFISADI kwa 100%!!!
Kuna Taasisi za Serikali kama PSSSF zinalalamika kushindwa kuwalipa Wastaafu kwa kukosa Fedha iliyokopwa na Serikali ya JPM kiasi cha 780 Billions kulingana na report ya CAG.....!!!!
 
Ndugu, tafadhali sana, malumbano ya afya ni kwa wewe utuwekee business case inayo support arguments zote hapo juu ( arguments zote ulizoweka) za Chato ni bora kuwa na lami kuliko serengeti yenye kuingiza watalii mara mia ya Chato...
Inaonyesha hujui mipaka ya Serengeti. Wewe unafikiri mipaka ya mbuga inafuata mipaka ya kijiografia ya mikoa na wilaya la hasha. Hiyo mbuga inayoitwa Serengeti eneo lake limevuka wilaya ya Serengeti, imeungana na mbuga ya Manyara, hivyo watalii wengi wanaotembelea mbuga hiyo wanapitia KIA na sio Musoma.
 
Inaonyesha hujui mipaka ya Serengeti. Wewe unafikiri mipaka ya mbuga inafuata mipaka ya kijiografia ya mikoa na wilaya la hasha. Hiyo mbuga inayoitwa Serengeti eneo lake limevuka wilaya ya Serengeti, imeungana na mbuga ya Manyara, hivyo watalii wengi wanaotembelea mbuga hiyo wanapitia KIA na sio Musoma.

Nina wasiwasi kama ulielewa nilichokuwa nakiongelea... labda nikukumbushe ndugu... ninaongelea " business case au economic analysis" kuhusu justification ya Chato Internatuonal airport ..ni hayo tu.. ukijibu, tafadhali tuwekee hapa hiyo business /economic analysis... mengineyo, ni useless kuyaongelea...
 
Nina wasiwasi kama ulielewa nilichokuwa nakiongelea... labda nikukumbushe ndugu... ninaongelea " business case au economic analysis" kuhusu justification ya Chato Internatuonal airport ..ni hayo tu.. ukijibu, tafadhali tuwekee hapa hiyo business /economic analysis... mengineyo, ni useless kuyaongelea...
Soma kuna post yangu kuhusu uzi huu huu nimeandika kwa kirefu kabla sijajibu hiyo post yako.

Usikariri maneno bali digest hoja zinazoandikwa.
 
Tiz

Tizama hiyo mbuga imefunguliwa hivi karibuni na uwanja umejengwa hivi karibuni biashara ya Utalii siyo kama duka unafungua leo na leo hii unapata wateja inachukua muda baada ya kufanya matangazo na promosheni subiri kidogo utapewa takwimu unazohitaji sijui unafanya utafiti wa utalii, wanyama pori au viwanja vya ndege?
Umeona hayo matangazo na promotion? Takwimu ziongee sio utashi wako
 
Ungeweka na idadi ya ndege za kibiashara au za kitalii zinazotua hapo tangu kumalizika kwa uwanja na uwepo wa hiyo hifadhi ya wanyama.

Kama hauna, alichosema TL kitabaki sahihi labda kama kinauma
Hata Heathrow Airport ya UK, ndege zinazotua pia na watalii wanaoenda UK kwa sasa tangu uwanja wa Chato uishe ni kidogo! Sembuse Huku kwetu! Msingi upo tayari hata Magufuli akisha tangulia mbele ya haki - miaka 40 ijayo hivi uwanja na mbuga vitakuwepo!

Kuna kipindi cha miaka ya 1980, uwaja wa Kilimanjaro ulibezwa sana. Wabezaji walisema kwa nini umejengwa ilhali, Moshi na Arusha kuna viwanja vya ndege, wakazidi kusema kama ni ndege kubwa na za kimataifa si Embakasi (Nairobi) na Dar-es-salaam si vipo?

Na ilituchukua zaidi ya miaka 10,KIA kuwa active na kwa faida! Je! Kama tungewasikiliza?

Mendeleo ya Chato ni ya Taifa, hasataifa la Tanzania ambalo kila mtu wa kabila lolote anaweza kuishi popote.

Ninamshauri Lisu na familia yake waende mkoa wa Geita wilaya ya Chato na mjini Chato wapatiwe./wanunue viwanja/mashamba waishi hapo, kusudi wafaidi matunda ya maendeleo anayoyaona yamepitiliza kuliko sehemu yoyote Tanzania. Kwa mtu ambaye kila baada ya sentence moja anatukumbusha alivyo ishi ulaya zaidi ya miaka mitatu, asinge valia kidedea maendeleo kiduchu ya Chato - it is pathetic!
 
Nimepata Bahati Nzuri Ya Kupita Hilo Mbuga

Kutokea Karagwe Kwenda Ngara

Sikukutana Na Wanyama Zaidi Ya Mbweha Watatu Kwa Umbali Tofauti Tofauti.

Pori Ni Kubwa Sana, Lingekuwa Kama Mikumi, Tarangire, Hata Pori La Akiba Pale Lamadi Kwenye Mizani Ukipita Wanyama Unawaona Tu
Lakini kwa juhudi hizi ukipita baada ya miaka kumi hivi, utakuta wanyama wa kila aina! Ulivyo andika ni sawa kusema (miaka miwili iliyopita) - Dar-es-salaam ni jiji gani! Maana hakuna highway interchange, flyover, barabara ya njia sita na jengo la ghorofa..! Lakini hivyo vinaongezeka! Tunajenga nchi.
 
Hivi ni pori ama ni mbuga?

Sehemu ya ustawi wa wanyama kuweza kuonekana na kuwa kivutio cha utalii ni mbugani ama porini?

Nimeuliza jinsi jiografia ilivyokaa kaa huko, nipate mwanga kidogo niweze kuchangia hoja.
Haya ni mapori yenye miti mirefu na uoto wa equatorial rain forest! Kama unaangalia msituni ukiwa barabarani huwezi kuona mita ishirini ndani ya hilo pori. Nilimshanga jamaa aliye sema hakuona wanyama alipopita kwenye hizo hifadhi. Siyo rahisi kuona ndani kirahisi kama mbuga za Savannah - za Serengeti, Mikumi n. k.

These are equatorial rain forests kama Congo, Amazon na misitu ya Indonesia na Philippines. Ni evergreen forests.

Wengi wenu mnaochangia hamjawahi kuona misitu kama hiyo. Ngorongoro na Serengeti ni kame, majani wakati mwingine yanakauka linakuwa vumbi tu! Lakini Burigi - Chato miti na majani hayakaukagi yanabaki kijani kibichi. Na moto unaounguza mbuga tuliouzoea, huko ni nadra. Nafikiri umeelewa
 
Tuwekane sawa kidogo kuhusu mambo ya uongo ambayo ameongea ndugu TUNDU LISU mgombea uraisi kwa nafasi kupitia chama Cha demokrasia na maendeleo.

HIFADHI YA TAIFA YA BURIGI
Mwanzo kabisa hi hifadhi ya taifa ya burigi kabla kupandisha hadhi kuwa hifadhi ya taifa ya wanyama pori, Lili kuwa ni pori moja wapo ya mapori ya hifadhi ya serekali ambalo linapatikana mkoa wa Geita, Hili pori lilianzishwa mwaka 1980 Kama pori la hifadhi la akiba.
Katika ukanda huo kwa maana ya mikoa ya Geita na Kagera yalikuwa yanapatikana mapori Kama vile:

Burigi
Kimisi
Biaramulo
Kibanda na
Rumanyika.

Mwaka 2018-2019 kwenye bunge la bajeti,wizara ya utali walipeleka hoja bungeni ya kuomba kupandishwa hadhi baadhi ya mapori ya akiba na kuwa hifadhi za taifa,mapori hayo ni Burigi,Biaramulo,kibanda na rumanyika.

Haya mapori yote yapo katika ukanda muhimu Sana wa ki ikorojia.

Lengo la wizara ya utali kupeleka hiyo hoja ni kwa sababu ya kupanua utali na kuongeza mapato ya taifa ndani ya miaka Saba ili yafikie bill.16 USD yani maana yake wastani wa watali kufikia mil.8 kwa miaka hiyo Saba.

Wa bunge wote wa bunge la Tanzania walipitisha na wakiwemo na wabunge wa Chadema na yule mtoa vimemo vya uongo kwa mgombea wao bwana Mnyika alikuwepo kwenye kupitisha maamuzi hayo.

Lakini wabunge walikubaliana hayo kwa hoja nyingine ya msingi.

Biharamulo,Burigi na Kimisi haya yote yaliunganishwa na kuwa hifadhi ya taifa kwa jina la BURIGI na mapori haya yote yamezungukwa na kata 18 na vijiji 48.

UWANJA WA NDEGE WA CHATO
Kutokana na kupandishwa hadhi mapori hayo na kuwa hifadhi ya taifa kwa namna moja au nyingine ni lazima kuwepo kwa uwanja wa ndege ili uraisishe utali na kupanua wigo wa utali.

Sasa ndio unaona uongo wa huyu mgombea wa Chadema bwana TUNDU LISU kwamba uwanja wa ndege raisi MAGUFULI kajenga kwa ajiri yake.

RAI YANGU KWA WATANZANIA
Tumpinge vikali Sana huyu muongo wa taifa na mchonganishi wa taifa letu kwa huu upotoshaji anaoufanya kipindi cha kuelekea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu

Well said bro. Kesho watalii wakianza kumiminika huko hawa watunga hadith watatafuta uongo mwingine
 
Kwa nini kipindi hiki na si kabla? Bado watanzania wenye akili wapo,watahoji na kukosoa. Miradi mingi ya hovyo na hasara imepelekwa chato.Jengo la CRDB,PCCB na Taa za barabarani kweny kimji kidogo ni ushahidi tosha kuwa kuna mkono wa "chuma" nyuma yake. Danganya wasiojielewa!

Nako ni Tanzania pia. Hakuna sehemu isiyopaswa kuendelezwa hapa nchini, tatizo ni vipaumbele na umuhimu wa eneo. Hata nawe ukiwa kiongozi utataka kufanya kitu kwa eneo lako pia. Ingekuwa kila kitu kimefanyika Chato peke yake hoja zenu zingekuwa na mantiki hapa vinginevyo hii ni kupandikiza chuki na roho korosho za kimaskini tu..
 
Back
Top Bottom