Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Hawa zamalek tuliwatoa pale Cairo mwaka 2003. Labda ulikuwa hujazaliwa. Tena walikuwa mabingwa watetezi.
Usifananishe Simba na utopolo
Ni kweli ile timu kubwa kihistoria lakini uwezo wao kwasasa ni mdogo kwa Simba.Kama uliwatoa, na tena mara moja tu ndio uwashushe kiasi hicho! Zamalek acha kufananisha na Simba na yanga
Mamelody wanashiriki clabu bingwa wakati pyramid wapo confederation cup. Hivyo timu zikienda hatua inayouata, point anazokusanya timu ya klabu bingwa ni nyingi kuliko anayeshiriki confederation.Ahsante kwa taarifa mkuu, hapo namba 5 kwa Mamelody hapana aise, hiyo namba 5 wangemweka Pyramids.
Sura yako inafanana na bandiko lakoHii orodha ni kwa mujibu wa 5 year caf ranking for 2022/23
Simba na Yanga zote hazimo ni wakati sasa timu hizi zijitahidi siyo kitimu kikiingia robo fainali ya mchongo basi kelele nyiiiingii
View attachment 2181690
NB klabu ya tano ni Mamelodi inayotokea South Africa kwa akina ORLANDO PIRATES
Uto"kolo"
Ni kweli ile timu kubwa kihistoria lakini uwezo wao kwasasa ni mdogo kwa Simba.
Mtu anaitwa Anduru, unategemea niniSura yako inafanana na bandiko lako
Hakunaga 20 bora ubora unaishia 10Kuitaja yanga kwenye post kama hii ni dhambi. Taja 20 bora tuone.
Muambie Mh.Jaji mabingwa wa kihistoria wapi nafasi ya ngapi. Hivi mabingwa au mabigwaHakunaga 20 bora ubora unaishia 10
AISEE MNA TABU SANA KWELI simba napiga mtu anaingia nusu fainali Horoya na etoile wanapisha njia ikifika hapo mlete orodha ya top 5, ila kiukweli washkjai zangu habari za CAF mngeachanaga nazo tu mnajichoresha sana haziwafai kabisaHakunaga 20 bora ubora unaishia 10
ndugu zenu as vita wako namba 22 sasa hivi una habari bwana uto?Unambiwa hao wote hua wanaogopa kucheza na Simba [emoji23][emoji23] duniani kuna vituko
Hii orodha ni kwa mujibu wa 5 year caf ranking for 2022/23
Simba na Yanga zote hazimo ni wakati sasa timu hizi zijitahidi siyo kitimu kikiingia robo fainali ya mchongo basi kelele nyiiiingii
View attachment 2181690
NB klabu ya tano ni Mamelodi inayotokea South Africa kwa akina ORLANDO PIRATES
Hawa jamaa sijui hawaoni aibu ku discuss mambo ya CAf tournaments? wangeacha tu kwa kweli..simba akiingia nusu fainali anakuwa wa 10...baada ya hapo utaona mijamaa inaleta list ya top 5Kumbe wakati ule ilikuuma sana [emoji23]. Ni kweli juu ya maelezo yake, ila safari ya simba kufika huko iko karibu zaidi kuliko hao wengine uliowataja.
Za nini 20?. Zimetosha 10Kuitaja yanga kwenye post kama hii ni dhambi. Taja 20 bora tuone.
Maneno ya mke mwenza hayo. Chuki chuki chuki tuuuu!!!! Sasa hiyo aya ya pili ina maana gani?!! Wewe umeleta hoja halafu inaingiza viroja!!!!Hii orodha ni kwa mujibu wa 5 year caf ranking for 2022/23
Simba na Yanga zote hazimo ni wakati sasa timu hizi zijitahidi siyo kitimu kikiingia robo fainali ya mchongo basi kelele nyiiiingii
View attachment 2181690
NB klabu ya tano ni Mamelodi inayotokea South Africa kwa akina ORLANDO PIRATES
Hajui kuwa kilicho rohoni ndicho kimtokacho mtu.Umejuaje kwamba ni makolo?