Klabu Bingwa Africa: Zesco yaichapa Yanga kwa magoli 2 - 1 na kuingia hatua ya makundi; Yanga kucheza mtoano kwenye kombe la Shirikisho

Zesco wananiangusha sasa wanafungwaje magoli ya namna hii kila mara
 
haya sasa naona vyura wanarudi hapa,walikimbia jf
 
Kelele za chura zinaweza kumzuia tembo asinywe maji ila sio kumzuia zesco asishinde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…