Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Kwani Simba ilianza kufungwa tano hatua gani au ndo umefufuka leo?Sisi hatufungwi 5 ugenini
Sikuweka ahadi yoyote kwanza mpaka sasa utabiri wako umeshakufa ni 1-1 wako ulikuwa 2-0Kama ulivyomeza siku mliyotolewa pale kwa mchina
Hata haijaingia makundi mmeanza kuipa misifa kama Kaseja puuuYanga apewe jukumu la kucheza away games
mambo vp laaziz wa moyo wangu! mbona hujibu pm ? utaniua kwa presha babu yakoMikia tulieni hivyo hivyo. πππ
Wakimataifa tupo Kazini.