Wew jamaaa muongoooChamaaaaaaaaaaaa.
Mwamba wa Lusaka anawainua mashabiki wa Simba.
Mmeanza.Wewe ni wa kwanza ila baada ya dakika 90' huku Simba akiwa tayari kaondoka na point wengi watajitokeza na kauli hii.Kweli Vita hii ya kawaida sana, sio ile ya akina Makusu.
Simba wako vizuri this time .Kweli Vita hii ya kawaida sana, sio ile ya akina Makusu.
Poa hiiVitu live toka uwanja wa Mashahidi
Jamaa wanakabia tokea juu. Ukishika mpira tu hao wameshafika mguuniChama leo mpira unemkataa
Mkude naona sasa yale majivuno yake yatapungua.Taddeo Lwanga bonge la kiungo anapiga midfield ya kinyama sana.