Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mabeki wakipanda tu hamsa tayariAC VITA nao naona wamejipanga, Cha msingi Simba icheze mpira wa kuelewana na kujiamini counter attacks nyingi na mashambulizi ya kupitia pembeni yakipandishwa na mabeki wa Kushoto na kulia.
P.unga wewe .Kuwa makini hio siti ina ncha kali
Utopolo kwa kuwahi siti na kukaa tuuh hamjamboP.unga wewe .
🚮🚮🚮Utopolo kwa kuwahi siti na kukaa tuuh hamjambo
Ona Sasa unavyo vuja
Nikwambie tu bibie kurukaruka haijawa dawa ya ulimbo
Hahahahaaa!! Hata hatujali.Mashabiki wa Yanga bana, Mechi inawapa presha kweli na wakati hata haiwahusu.
Kama nawaona vile viroho vinawadunda. LolMashabiki wa Yanga bana, Mechi inawapa presha kweli na wakati hata haiwahusu.
Subiri saa 4 uone,We kaa na matokeo yako mfukoni lakini utakacho kishuhudia leo hautaamini na nakuhakikishia usingizi wa leo usiku hautaupata.Kama nawaona vile viroho vinawadunda. Lol
Ila itapita hii mechi kama zile zingine za 5 5 zilivyopita mtani. 😎
Ila kuna saa kananijia kawazo huenda leo mukapindua meza kibabe eti.Subiri saa 4 uone,We kaa na matokeo yako mfukoni lakini utakacho kishuhudia leo hautaamini na nakuhakikishia usingizi wa leo usiku hautaupata.
Ndio ukakubali kabisaa kudanganywa Mtani.
Dstv sijajuaHii mechi kwa upande wa Dstv inaonyeshwa chanel gani?