Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameususa hadi uzi waoTangulia nakuja.
Napata habari kua ile editing ya kidimbwi inaweza kuwaponza simba wakanyang'anywa ushindiNasikia wanaenda FIFA ku-appeal goli la Simba.
Wako wanajdiliana nini cha kuandika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna muuza utumbo hapa mtaani ni team kidimbwi alisema tukishinda anagawa utumbo wote
Sasa kesho atatoa utumbo wa ng'ombe na wake pia atatoa
Hata ile match na Azam angeingia Mzamiru mambo yangekuwa poa sana.Huyu lwanga huyu hakati umeme tu, anang'oa na service line kabisa
Msamehe tu mkuu sahivi tuko uchumi wa katiKuna muuza utumbo hapa mtaani ni team kidimbwi alisema tukishinda anagawa utumbo wote
Sasa kesho atatoa utumbo wa ng'ombe na wake pia atatoa
Nyie mashabiki wa taifa stars muishabikie simba sasa kama team ya taifa
Kesho Utopolo wanakeketwa liveUshindi umepatikana Congo maumivu yameenda mbeya, nchi tamu sana hii
Uyu mtu ni hatari
Uzi nimeshahitimisha, jukumu langu lilikuwa kuleta matukio ya moja kwa moja na nimefanya hivyoJoseverest mleta uzi njoo basi uhitimishe uzi wako bwashee?
Mtopolo umekimbia mpaka uzi wako!!