Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niingie chimbo niusake ***** zake.nipeni link ya ule uzi wa yule mwendawazimu kabla hajaufuta
Nakuzoom tuOngera
Angalau
Umeliwa hela yako 😂 😂 😂Niwadokeze kidogo,weka 500,000 ubeti al ahly anashinda,,jioni ukunje milioni na ushee
Heee yamekuwa hayo tenaNimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
😂Unateseka ukiwa wapi mkuu...Nimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
Mkuu Ukhali gani?TUNAOMBA MAPEMAA MACHELA ZAKUTOSHA REDCROSS
HIZO MLIZOLETA HAZITOSHI KABISA
NAWASHAURI MLE MSHIBE LEOO MJIANDAEE KUBEBA WENGI TU KWA. PRESSURE
WITO TUVAE BAKOA
Si ujibu tu...heee yamekuwa hayo tena
Manula, Mzamiru, Shomari, Shabalala, Dilunga, Nyoniheee yamekuwa hayo tena
Toka mafichoni njoo huku, ulikuwa unapost kila baada ya dakika mbili, njoo sasa mpumbavuJamaa wanacheza bwana mpira unapita kwenye njia hadi unafurahi nyau wakiushika ni aibu
Acha kuteseka mkuu. Unajiweka hatarini kushambuliwa na Corona.Nimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
pumb.af kwani simba ni timu ya taifa?Nimeuliza swali sijajibiwa. Nawauliza tena mikia... Kikosi hiki cha simba ...wangapi wazawa!!!??
Wameshinda wameshinda tuKwahiyo sisi ndo wababe wa kundi A sio? Hakuna cha Timu ya 3 duniani wala nini.
As Vita huko waliko nadhani hawatendelea kujilaumu kufungwa na Simba.
Nasubiri watu wa kusema Al ahly hii haikuwa kwenye ubora wake ndomaana Simba kashinda.
Nikitoka hapa naenda kwenye page za waarabu kusikilizia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
natamani kuangalia Mpira huu Ila presha itaniua, Mana Kila nikiweka pumzi inakata [emoji3525] so niko nasilikizia nikisikia kelele nje ndo nabadilisha naweka mpira.
Kila la Heri Simba [emoji881] tunawaombea mtupe heshima sie mashabiki.
Usingizi wetu wa leo unategemea matokeo yenu uwanjani
Ghetoooo....😂😂😂Unateseka ukiwa wapi mkuu...