Klabu Bingwa Afrika: Yanga 1 - 1 Al Ahly, 9 Aprili 2016

Klabu Bingwa Afrika: Yanga 1 - 1 Al Ahly, 9 Aprili 2016

Pumbavu kabisa wanabahati...eti wa kimataifa...
Mbona Hapo Ndio Mwisho Wao, Hawajitambui Kuwa Wao Ni Wa East Africa Zone Tu, Sio Wakimataifa Kama Wanavyojinasibu Na Kudanganywa Na Mpiga Debe Wao Jerry Murro!!! Wasubirie Sasa Kichapo Huko Misri!!
 
Acha unafiki wewe,utaja olewa hivihivi kwa kujipendekeza kwa Waarabu.
Aliye kuzidi kakuzidi tu huwezi lazimisha maji yapande mlima mtu anapo kuzidii lazima ukubaliane na hali mbn c mnatuita wamchanganyi but hatuja panick but wewe unapanic acha hizo kijana
 
Yanga walicheza counter attack moja nzuri sana,ila wamemalizia na shuti dhaifu...
Aaaaahhhhh
Tehe! Tehe! Tehe!!! Mwisho Wa Nyodo Na Ngebe Umefika Huo, Mtakuwa Wapore Tu Muda Mfupi Huko Misri!!!
 
Aliye kuzidi kakuzidi tu huwezi lazimisha maji yapande mlima mtu anapo kuzidii lazima ukubaliane na hali mbn c mnatuita wamchanganyi but hatuja panick but wewe unapanic acha hizo kijana
Hahahahaaaa sasa aliyepanic hapa kati yangu mimi na wewe nani mkuu?
Sasa unawasifia waarabu kwa lipi?
Subiri pambano la marudiano ndio upate kuwasifia.
Anyways.....jioni njema.
 
Mshabiki wa YANGA walikuwa na viherehere tulipocheza na Mazembe mpaka wakavaa magauni na blauzi za Mazembe

P4030019.jpg
Walisahau hilo....nmefurahi ndala kuruhusu goli la ugenini kwa waraabu...safari yao imeishia hapo
 
Game plan ya El Ahly ilikuwa kupata goli moja la ugenini .. na waliweza ndani ya dk 11 tu
 
Ha ha ha ngoja niende Kijiweni sasa nikafufuatilie mtifuano wa maneno, maana ya mpira umeiisha.
 
Acha unafiki wewe,utaja olewa hivihivi kwa kujipendekeza kwa Waarabu.
Kama Ilivyokuwa Wkt Ule Kwa TP Mazembe, Mliponunua Magauni Yenu Na Blauzi Zenu, Mkajipendekeza Kwa Akina Papaa Ya Lumbumbashi!!! So Ni Sawa Sawa Tu!!!
 
Hahahahaaaa sasa aliyepanic hapa kati yangu mimi na wewe nani mkuu?
Sasa unawasifia waarabu kwa lipi?
Subiri pambano la marudiano ndio upate kuwasifia.
Anyways.....jioni njema.
Dda angu nifah kuhusu ugenn sahau simsifii mwarabu wala nni ila mmefanya bonge la mistake kupoteza ushind leo....wale jamaa kama uliona dk 15 za mwisho walirelax wakawaacha mtape tape pale kati ila kwenye 18 hamuingii, maana kwao hlo goli moja ni dhahabu....kwan wakiwafanyia undava wa 0 0 marudio mtafanyaje...cha msingi tmu ijipange kule cairo syo.
 
Simpend kama harufu ya choo cha asubuh...kuna wakat alijigamba hata kwa goli la mkono lazima muarabu afee...ssa hata penat ile wamesamehewa...ndi ndi ndi
Kama namuona vileeeee ndi ndi ndi[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hata Angola walitumia mbinu hii. Wana draw ugenini na kushinda nyumbani!
 
Hahahahaaaa sasa aliyepanic hapa kati yangu mimi na wewe nani mkuu?
Sasa unawasifia waarabu kwa lipi?
Subiri pambano la marudiano ndio upate kuwasifia.
Anyways.....jioni njema.
Tusijipe Matumaini Hewa Humu, Yanga Kuwafunga Waarabu Ni Ndoto Ya Mchana, Tena Tukiwa Njiani Tunatembea!!!! Uwezo Huo Haupo!
 
Back
Top Bottom