Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Huyu ujinga YANGA hatunaaa kabisaa
 
Kufungiwa mashabiki ni pamoja na mechi ya ugenini?si uwanja wako wa nyumbani tu,nikiwa na maana michezo miwili ya nyumbani, hebu nisahihishe ukweli ni upi mana kama ni pamoja na mchezo wa ugenini basi afadhali
 
biki
Mashabiki wengi wa makolo ni mashabiki maandazi na wengi wamepatikana kipindi kile manara alivyokua msemaji pale aliwashawishi mashabiki wengi sana hasa wadada kuna jamaa yangu mmoja ofisini miaka iliyopita nilikuwa simuonagi kujishughulisha na mipira alikua hajui chochote lakini ghafla nikaona yupo kwa makolo tena mkibishana kuhusu mpira anabisha haswa. Siku hizi kila timu lao likicheza lazima aposti mtandaoni huwa nacheka. Mi nimefurah kama makolo wamefungiwa ili hawa mashabiki wao wa kuanzia juzi juzi wafunge midomo yao
 
Caf mmejua kutuwezaa aisee

Kazii tunayooo simbaaa

Swali walishaanza kata tkt??

Vipi WALIOKATA TKT tunapataje pesa zetuuu
 
Yaani kama kulogaaaaaa wazee WA vibandaa mnajua kulogaaa
 
Shabiki anakuwaje mandazi
 
mechi 3 za mwisho za nyau hazina mvuto kabisa kama wanacheza msibani
 
Kitumbua kimeingia mchanga, Jumapili wakae kwa kutulia majumbani au wakabanane vibanda umiza.
 
Hasara kubwa! Yaani mcheze robo fainali bila mashabiki mtarajie kufuzu nusu??
Hee sasa mechi moja ina affect nini..acheni ujinga na nyie..ndio mashabiki wana impact ila sio kwamba wao ndo tiketi ya timu kufuzu...
 
Endelea kuuumia ila haitafanya kutoa ukweli kuwa sisi ni mashabiki bora..sasa kama ww unaangalia rekodi za mioto sijui nini ww hapo uumie mpk uongezewe drip....
Soma unielewe kuhusu mchome acha kukaza fuvu...
Michuano ya kina mama mliostaafu kwani mboa mlihenyeka na nyie sana tuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…