Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Vyote sawa tuDhidi ya agosto na ile timu ya tunisia ambazo zote mbili zinashika nafasi ya nane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote sawa tuDhidi ya agosto na ile timu ya tunisia ambazo zote mbili zinashika nafasi ya nane
Taarifa imeandikwa kwa maumivu makali mnoWakuu
CAF yaifanyia Ubaya Ubwela Simba SC
==
Timu ya Simba Sports Club imefungiwa michezo miwili na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya vurugu za Benjamin Mkapa mchezo dhidi ya CS Sfaxien. Mchezo wao dhidi ya CS Constantine Jumapili Januari 19 na mchezo mmoja wa robo fainali kucheza bila mashabiki wao.
Soma: CAF yazuia Mashabiki Sfaxien Kwenye Mechi dhidi ya Simba
Simba SC pia imetoza faini ya dollars Elfu 40 (TSh. Milioni 100,037,200) na imetakiwa zilipwe ndani ya siku 60.
Taarifa rasmi ya Klabu ya Simba
Mechi mbaya ni ile ya robo fainali maana wageni watakuwa kama wapo nyumbani tuKikubwa tumeshafuzu....ila CAF bwanaa wamesubira weeee hawakutaka kutupa stress..
Hiyo press umeisoma kishabiki..rudia tena ni mechi moja tu baada ya adhabu kupunguzwaSawa mr Mwanauto...ni mechi moja ya robo na hii ya kesho kutwa...away utawazuiaje timu nyingine isiwe na mashabiki wake?
Ya robo nayo ni gemu ya mwisho ya Simba akiwa nyumbani kwenye haya mashindano.Ongezea wamefungiwa mechi 2 za caf iyo ya jumapili na Moja ya robo fainali!
Mashabiki Bora wa kuvunja viti na kuchoma viwanja vya watuEndelea kuuumia ila haitafanya kutoa ukweli kuwa sisi ni mashabiki bora..sasa kama ww unaangalia rekodi za mioto sijui nini ww hapo uumie mpk uongezewe drip....
Soma unielewe kuhusu mchome acha kukaza fuvu...
Michuano ya kina mama mliostaafu kwani mboa mlihenyeka na nyie sana tuu?
Shukrani sana mkuu Nina uwanja wangu hapa kigamboni nikijipata nakutafuta mkuuFoundation ilicost 19m
Ground floor 13m
Slab 28m
First floor 11m
Kupaua 7m(hidden roof)
Ni kawaida yenu kwenye utovu wa nidhamu.Hii ni habari njema kwa utopolo..ndo maana wamelipa mamilioni yao chap waliyokua wanadaiwa ya usajili ili waje wacheke...nasikia wamelipa jana...labda walishajua kuna adhabu ya mnyama inakuja... 😆
Karibu sanaShukrani sana mkuu Nina uwanja wangu hapa kigamboni nikijipata nakutafuta mkuu
wataathirika ktk mchezo wa robo fainal. Niseme neno la mwisho kuwa simba safari yake imeishia robo fainal over.Kikubwa tumeshafuzu....ila CAF bwanaa wamesubira weeee hawakutaka kutupa stress..
Acha kukurupuka soma hiyo taarifa yote, mwanzo walifungiwa mechi mbili ila baadaye ndio wakapunguziwa adhabu, kwamba itakuwa mechi moja lakini walipe faini ya dola elfu arobainiHayo maandishi yapo kisiasa CAF haiwezi kusema tumekufungia mechi mbili hapo hapo tumekusehe moja ni either iwe mbili au moja bila kupindisha maneno
za kombe la walioferiMechi 3 zipi hizo Utopolo nyuma mwiko..?
M i mbona nimejibu kuwatetea hao wenye mechi yao kwao? Mm tena nisome kishabiki nimekua chura? 🤣 🤣Hiyo press umeisoma kishabiki..rudia tena ni mechi moja tu baada ya adhabu kupunguzwa
Ipi na ipi mliofeli wastaafu?za kombe la walioferi