makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ni wapuuzi kufanya hivyo. Ule ndio ulikuwa utambulisho wetu "PIRA BIRIANI"Simba ilishaipa kisogo identity yake ya soka la pass nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapuuzi kufanya hivyo. Ule ndio ulikuwa utambulisho wetu "PIRA BIRIANI"Simba ilishaipa kisogo identity yake ya soka la pass nyingi.
Ila akachukua kombe mbele ya YangaHuyu kocha Yanga ilimkanda kwao mbele ya mashabiki wake
Kwamba haya mambo mlianza nyie kwa udhaifu wenu ili zile bao 2 za okwi kati ya 5 zigeuke kuwa kwenu ubao usomeke simba 3 utopolo 2?Kuleta hoja inayoshahabiana ni kukubaliana na hoja.
Huyu kocha na simba nadhani wataendana. Maana hana rekodi ya kukaa kwenye timu moja kwa muda mrefu, na simba nao wakiwa hawana subira na makocha wao.Hizi ndio team alizopita kabla ya kuja SimbaView attachment 2823669
Kwa kanuni
Ndo ushindi huo maana Dar alimaliza mchezo ,kwani nye mlikuwa hamjui kuna kanuni mbona hamkushinda mawili kwaoKwa kanuni
So ina maana mmempa mkataba sababu aliifunga Yanga kama mlivyompa mkatana utege coz alipokua viper aliifunga Yanga 😃Ndo ushindi huo maana Dar alimaliza mchezo ,kwani nye mlikuwa hamjui kuna kanuni mbona hamkushinda mawili kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Umefufuka😁So maoni yako ni yapi?
Kocha mbovu hafai au Simba imepata mtu sahihi?
Tumempa mkataba kwasababu ana makombe ya kimataifa kuliko YangaSo ina maana mmempa mkataba sababu aliifunga Yanga kama mlivyompa mkatana utege coz alipokua viper aliifunga Yanga [emoji2]