Klabu ya Yanga imemtaka Ahmed Ally kuomba radhi kwa matamshi wanayodai yameichafua klabu yao (Yanga) na wanadai fidia ya Tsh Bilioni 10

Sasa mbona umehitimisha kwa kiasi unachonisikia wewe?
Tunaomba cheti cha utabibu kikionesha kuwa muhusika alichoma sindano za maleria.
Si nimeshasema atasema hana uthibitisho ili kesi iishe? Kwani lengo si ni hukumu itoke, au lengo la kesini nini: ni hukumu au malumbano? Kwani ni lazima athibitishe? Atakubali na hakimu atamuhukumu. Lakini utashangaa kama faini yake itafika 1M 😀
 
Sasa mbona umehitimisha kwa kiasi unachonisikia wewe?
Tunaomba cheti cha utabibu kikionesha kuwa muhusika alichoma sindano za maleria.
Si nimeshasema atasema hana uthibitisho ili kesi iishe? Kwani lengo si ni hukumu itoke, au lengo la kesini nini: ni hukumu au malumbano? Kwani ni lazima athibitishe? Atakubali na hakimu atamuhukumu. Lakini utashangaa kama faini yake itafika 1M 😀
 
Je, Ahmed Ally anaweza kuithibitishia mahakama kuwa Yanga wamekuwa wakimchoma sindano Pacome ili acheze?
Kwanza BMT hakuna timu inaitwa Yanga..
Huwa sijui kwa nini ukiwa Hiyo Yanga Mtu anakuwa na uwezo mdogo wa kifikiri
 
No balance.
Yule aliongelea Taasisi mshirika wa Simba.
Huyu kaiongelea Young Africans mtani wao.
 
Mnaoargue humu wengi hawajui sheria na ni malaymen sasa msubiri mtaona na mnaoendelea kuropoka yatawakuta.
 
Simba Nao watafute kauli za Ali Kamwe alizoongelea Simba vibaya nao wamshtaki.
 
Azam wamtaka Ally Kamwe kulipa bilioni 10 kwa kuichafua
"Azam walikuwa wanapunguza mwanga kila wakati Dube akikaribia goli "
 
Nadhani matamshi ya msemaji wa Yanga na ya msemaji wa Simba yote ni katika hali ya utani. Ni bora kila upande usamehe na maisha ya soka yaendelee.
 
Unaipanga Yanga yupi wa kushitaki na yupi wa kuacha
Yanga tunaanza na Ahmed Ali liwe funzo Kwa wachambuzi na wajinga wengine
Kumahkibuyu wewe,, shoga ako ali kamwe ashalipa fidia ya bilioni 5 kwa kuichafua kampun ya sandaland..ubaya ubwela kumaamayoh zenu nyie.
 
🤣🤣🤣.ila GSM.
Hela za jezi hazitoshi kuendeshea timu?
Au anataka hela za kuwajengeq uwanja utopolo kupitia Ahmed ally?
 
Sema bongo bwana, yaani msemaji wa timu A Yuko bize kuizungumzia timu B? Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…