Labda kama kuna pikipiki za auto sikuizi, yaaani uwe unasubiriwa tu umalize kufanya gear shift kutoka #1 hadi 4... Nadhani pikipiki ni hatari zaidi kuliko gari. Utadokolewa tu miguuni au mgongonibc sawa najua kama nina pkpk hanipati
Ukweli ni kwamba madirisha ya Aluminium yasipofungiwa nyavu ni hatari,huyu Koboko aliingilia dirishani akaenda kujibanza kwenye kabati ya nguo.
View attachment 772131
Koboko kwenye msosi huwa hajivungi kuna video moja anagonga na kula panya watatu,kuna kisa kingine walimkuta kammeza kasuku mkubwa.keshoyake alipasuliwa na kukutwa amewameza panya watatu wamenyooka ndani ya tumbo lake, pia alipimwa na kukutwa na urefu zaidi ya mita tatu a rangi yake ilikua ni ya kijivu tumboni kama nyeupe flani
Pia Nyoka wa kijani huwa hawang'ati hovyo na wala sio wakali hawa nishawaua sana tu, pia ni rahisi kuwakamata kama upo makiniSio wote nigreen mamba, nyoka wakijani wapo wengi namara nying green mamba hakai majumban
Ungemuona anakufuata ungechukua uamuzi gani?Ni hatari sana, hapo ni roho mkononi..
Unajua wengi hawafahamu kuwa baada ya kuamini kuwa umemuuwa kumbe bado yupo haiHaha acha kabisa uyo mdudu ata tukiua nikimshika na mjiti huwa bado nasisimka kwa ile ngozi yake ilivyo siwezi
Huyo ni kawaida yake kugonga vyombo vya ndani, ukitaka kumtoa kiurahisi we usihangaike tu, washa moto kisha chukua chumvi ile ya mawe tia kwenye moto ikianza kulia ile Ta ta ta taa taa utaona linavyotoka nduki, yaani hapo ndo utajua huyu Nyoka anambio namna gani kisha na wewe ndo utakapoanza kuchukua mazoezi ya kufukuzana nae, ila usimkimbize umbali mrefu maana mlio utakapokoma madikioni mwake na yeye atakugeuzia kibaoKoboko wnapatikana hata huko mpanda katavi kwa sasa yaani huyo nyoka ana hasira siyo za dunia hii akifanikiwa kuingia ndani ya nyumba hataki kuguswa na chochote yaani kila mwili wake ukigusana hata na kikombe au sufuria yeye anagonga tu ukisikia ko ko ko ujue Mzee WA kazi kazama ndani tayari hapo shughuli mnayo Kuna jamaa yangu allikuwa amepanda mitini anakata Kuni mchana mara koboko anarudi kwenye mawindo yake halafu shimoni anamokaa liko jirani na huo mti Bwana we tulimsikia jamaa anapiga kelele kama kafumaniwa maana Yule nyoka akishakomaa anapotembea anatoa milio ya kutosha utasikia shiiiiiiiiiiiii ujue anakuja alizama shimoni tukawai kuweka magogo na mipira tukawasha Moto akaungua tukachimba pembeni ya shimo tukamtoa akiwa hajiwezi daa hatari Yule nyoka
Nyati na faru wametoka mbio kwa ubabe wakeNatGeo Mamba.
Ila nimeona video moja Youtube kaingia kwenye kiota kakuta vifaranga vya ndege kavitishia tishia mara huyo kageuza na kuondoka zake bila kuvitafuna!!Koboko kwenye msosi huwa hajivungi kuna video moja anagonga na kula panya watatu,kuna kisa kingine walimkuta kammeza kasuku mkubwa.
Inawezekana alikuwa ameshiba,sasa alikuwa anajihakikishia kuwa supermaket yake ina stock za kutosha.Ila nimeona video moja Youtube kaingia kwenye kiota kakuta vifaranga vya ndege kavitishia tishia mara huyo kageuza na kuondoka zake bila kuvitafuna!!
na je ina maana ana ugumu wa aina gan kias ata akanyagwe na gar hafi ???? na nilickia pia wanamhusisha na nguvu za giza.....kiumbe wa ajabu je ni kwel??
Anakula sana bangi,thus why ukilima shamba la bangi na akawa anashinda humo,anakuriri hakudhuru ila sasa aingie mwizi kuiba atamshughulikia. Ni mlinzi mzurianakula bangi au[emoji4] [emoji4] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe koboko ndugu yetu
Huyu anafaa kufugwa maeneo yenye kobokoCape file Snake,huyu hata akigongwa na Koboko hafi.
View attachment 775167
Kwamba atarudi baadae, kuku wako haina haja ya kuharakisha hahahahInawezekana alikuwa ameshiba,sasa alikuwa anajihakikishia kuwa supermaket yake ina stock za kutosha.
Mbio zamashindanon tena mkiwa uwanjan nitofaut nambio yakukimbizwa tena porin, ukchanganya woga,mawenge namajan huchukui round ushakula kiss of deathHivi kwani hizo mita mia anazotumia si ndio max speed kumbuka yeye anatumia misuli na oxygen hivyo kama ni max speed tegemea itapungua tuu ni tofauti na chombo cha moto, ata kama anatumia sec kadhaa je anauwezo wa kumantain speed hiyo hiyo kwa mita ata 500 kama itatokea amekimbizwa na nyoka?
Yale ni mashindano mi siamini kama binadamu anaweza maintain maximum speed yake kwa umbali wa zaidi ya mita 100 hapo ni lazima agongwe tuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naunga mkono hojaaaYaan usikute ndio lililomdanganya na Eva kule bustanini
Wataalam wamejaribu kumdunga nyoka huyu na kila aina ya Sumu ya nyoka waliopo duniani lakini hakuna sumu hata moja iliyomlaza huyu nyoka.Huyu anafaa kufugwa maeneo yenye koboko