Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Mkuu wakati niko porini kwa sababu black mamba ana uwezo wa kuruka tulikuwa hatusogei karibu. Akitokea ghafla ni mawe na Vipande vya magogo tu.
Kwahio tukielekea Porini tukakuta kichuguu humimina mafuta ya taa ndani yake na kukaa mbali.
Basi nyoka yyt aliomo humo ndani mbio atakayotoka humo si ya kawaida.

Koboko (black mamba) huwezi kumsogelea bila kuwa Mtaalamu wa Nyoka. Na sababu kuu ni ule Urefu wake. Anaruka ka bullet. Na sisi wengine Viazi na ugali kila siku tulikuwa Wazito sana kwa hio we never take a chance!
Na kingine hawa Koboko sumu yao ilivyo kali huwa inapanda Mwilini fasta sana na kusimamisha moyo faster than you think.

Kuna Bubu mmoja aligongwa na Huyu Koboko kaja mbio kambini anapiga kelele tumeshindwa kuelewa nini anasema amekufa chini ya dakika 10!
Sura yake na macho yake yalibadili rangi ajabu kabisa.

Huyu Nyoka ukikutana nae ni kurudi nyuma na Kumtazama mpaka apotee. Ukimpa mgongo tu umeondoka.
Hatari kuliko kupiga kofi Polisi wa bongo mwenye njaa!

Shukran kwa elimu ya hili joka. Nilikuwa nina safari ya kwenda porini Handeni kwenye madini lakini imebidi niiahirishe kidogo sababu ya hii story ya koboko manake nasikia huko Kwedikwazu wamejaa
 
Jamani nimewahi kusikia eti kuna nyoka ana vichwa kumi na mbili ivi ni kweli au ni maneno ya waja
 
Shukran kwa elimu ya hili joka. Nilikuwa nina safari ya kwenda porini Handeni kwenye madini lakini imebidi niiahirishe kidogo sababu ya hii story ya koboko manake nasikia huko Kwedikwazu wamejaa

Kwedikwazu sidhani km hawa koboko wapo.
Na hata km wapo basi watakuwa wachache sababu Hata huko Usukumani na Unyamwezini Kuna baadhi tu ya mapori ndio unawakuta wengi.
Hasa Mapori yenye miti ya MININGA!
Mapori ya Tanga miti hii ni michache mno!
Jipange tu ukapige hayo mashimo ya Fweza. Mchukue na Remote km ngao. Jamaa hana kazi, anazurura ovyo tu mjini.

Ukiona Nyoka mtangulize yeye.
 
Last edited by a moderator:
Nimezidi kuwaogopa hao viumbe.
Siwapendi na nina bahati mbaya ya kukutana nao kila tukienda site.
 
Shukran kwa elimu ya hili joka. Nilikuwa nina safari ya kwenda porini Handeni kwenye madini lakini imebidi niiahirishe kidogo sababu ya hii story ya koboko manake nasikia huko Kwedikwazu wamejaa
usitishike mkuu nyoka nao wanatuogopa. weka roho yakipioneer ukapige pesa. kuna jiwe la kuwaenzi pioneers linasema "waoga hawakuanza safari, dhaifu waliikufa njiani na wenye nguvu walifika mwisho".
 
Black-Mamba-3.jpg
article-2073575-0F2AA9A000000578-547_634x383.jpg

Red Giant, (my two cents) asante kwa elimu ila naomba utofautishe mambo manne ya kuzingatia kuhusu kiumbe nyoka. Kuna tofauti kidogo kati ya;

  1. The most dangerous snake (wa hatari zaidi)
  2. The most feared snake (wa kuogopwa zaidi)
  3. The most deadly snake (anayeua zaidi)
  4. The most venomous snake (mwenye sumu kali zaidi)
Huyu hapa chini ndiye nyoka anayeongoza kwa kuwa na sumu kali zaidi duniani;


3.bmp


Aipysurus dubosii (Dubois' seasnake), its venom is enough to kill 49 men! They have medium aggressiveness and will only bite if provoked, but not spontaneously.
 
usitishike mkuu nyoka nao wanatuogopa. weka roho yakipioneer ukapige pesa. kuna jiwe la kuwaenzi pioneers linasema "waoga hawakuanza safari, dhaifu waliikufa njiani na wenye nguvu walifika mwisho".

Woga wangu ndio umaskini wangu
 
Mama yangu aling'atwa na nyoka akiwa msichana kwenye kisigino cha mguu wa kushoto that's like 50 yrs ago now kuanzia 2009 akaanza kuumwa sana na huo mguu, mara unakufa ganzi mara unavimba unakua mwekundu mno, hospital kahangaika mno kila daktari anakuja na majibu tofauti, mwingine akasema nyonga imeisha vilainishi so ikabidi awekewe chum a k wenye nyonga (artificial) hakukaa mzima sana mara mguu ukaanza tena kuuma zaidi ya mwanzo, kuhangaika tena mpaka kwa ma experts wa mifupa jibu likaja kuwa Eti kuna kitu hawajakielewa ila kinatafuna mfupa kuanzia mguu wa kushoto chini na tayari imesambaa mpaka mwanzo mwa uti wa mgongo kwa chini, napo inabidi a fanzine tena upasuaji k wenye kiunganisho cha uti wa mgongo na kiuno napo aka we kwa chuma kingine tena (artificial) hiyo ni mwaka jana

Lakini......kwa mujibu wa maelezo yake alipong'atwa na nyoka mamake alimnyonya sumu kwa mdomo then akamuwekea dawa ya Maja ni ambazo hakumbuki ila alikichana kwanza kidonda alipong'atwa hakwenda hospital hiyo ndo ikawa tiba na akapona siku mbili tu.

Sasa kilichonifanya nichangie nI kuomba kujuzwa zaidi manake kuna wataalamu fulani wa sumu alienda kuwa on a (nje ya nchi) wakamfanyia vipimo na majibu yao (waliokuwa wanne) yanasema kuna uwezekano wa asilimia 90 sumu ilifanikiwa kubaki kwenye mwili na hatimae ilipenya kupitia mifupa wa kisigino......ex ray pic ya kisigino inaonyesha utandu mkubwa mno just on a small part ya kisigino...kitu kama fungus!!!

pole kwa ajili ya mama..
ila ujie sumu yoyote anayomdhuru binadamu hata kumuua hubaki kwenye mifupa.
mtu akifa kwa sumu miaka 10 iliyopita,kwa kuchunguza mifupa yake unaweza kujua ni sumu gani iliyomuua.
hivyo nafasi ipo mama akapime nje ya nchi hasa germany au france sio india.
 
Kwedikwazu sidhani km hawa koboko wapo.
Na hata km wapo basi watakuwa wachache sababu Hata huko Usukumani na Unyamwezini Kuna baadhi tu ya mapori ndio unawakuta wengi.
Hasa Mapori yenye miti ya MININGA!
Mapori ya Tanga miti hii ni michache mno!
Jipange tu ukapige hayo mashimo ya Fweza. Mchukue na Remote km ngao. Jamaa hana kazi, anazurura ovyo tu mjini.

Ukiona Nyoka mtangulize yeye.

Jf stress freeeeee
Nimecheka sana eti amtangulize. Remote
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyu Madame B anasema Ana nyoka mwenye kufanana na Dushelele.
Sasa sijui ana maana gani hapa.!

Watu wanajadili Koboko, ye anatupeleka kwenye hisia mbovu!
Hatari sana.

Hahaha cybercrime inahusika shauri zenu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom