Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

20180504_213035.jpg

Trust me,huyu koboko ni mkubwa Koboko kama huyu hakuna binaadamu anayeweza kumshika.
 
Mmmmh ... Sasa upite na chungu cha moto, akikugonga kwenye bega je?
Koboko huwa anajipiga fundo katika miti anayoishi tena kama ni koboko mkubwa ndio hatari sana anaweza kukugonga bila ya kumuona haswa utosini.
f684de_fb1e20c8c9364486916b8a85afab5fb8~mv2.png
 
Kuna Game ranger ameandika kwenye ukurasa wake kuwa ameshuhudia Koboko akimgonga Swila na kumuua kisha akammeza.
 
Mmmmh ... Sasa upite na chungu cha moto, akikugonga kwenye bega je?
Sidhani kama ataweza kukugonga kwenye mabega kutokana na upana wa chungu kinachotumika kwenye hio kazi.
Ila usiombe kukutana na black mamba mwenye hasira ambaye ameshakula chumvi nyingi, maana huyu kiumbe ukibahatika kumuona mubashara akiwa ktk ukubwa wake uliokamilika anakua ni mrefu wa takriban mita 4 mpk 5 na ubaya wake kila anavyozidi kuzeeka na hasira zake pia hua zinaongezeka maradufu hua hataki aone hata jani linatingishika mbele yake.
 
Kumbe nae anaweza kumeza nyoka mwenzie mi najua king cobra ndo anatabia za kuvizia nyoka wengine na kuwameza
Hata mimi nilishangaa huenda Koboko hajafanyiwa study ya kutosha akiwa porini,hawa koboko wa kufugwa kuna tabia nyingine hawaonyeshi.
 
NI NYOKA WENYE SUMU KUBWA SANA,MFANO TUU BLACK MAMBA AMBAYE HUKU NDIO TUNAMWITA KOBOKO ANAUWEZO WA KUKUGONGA MARA 120 BILA KUCHOKA WALA KUPUNGUZA KIWANGO CHA SUMU ANAYOTEMA KILA ANAPOKUGONGA,SUMU AMBAYO INAKWENDA KUHARIBU NEVA ZA FAHAMU,PIA CHEMBE ZA KUGANDISHA DAMU ILI USITOKE KWENYE JERAHA YAANI PLATELETS HUWA HAZIWEZI ZUIA DAMU ISIACHE KUTOKA,NA PIA HUATHIRI MFUMO MZIMA WA DAMU,NI NYOKA HATARI SANA,
Kuna uongo umetudanganya hapo
 
Ulimwengu wa Venom ni wa kushangaza sana kibaiolojia, venom ya Swila ndio inatakiwa iwe hatari kuliko koboko.
 
Kwa hiyo huwa akigonga husikii maumivu?
Maumivu utasikia km kawaida ila akili ya haraka kutambua kua mjomba tyr ameshafanya yake ndio inakua ngumu maana Maumivu yakung'atwa na nyoka hua sio makali sana kutokana na uharaka wa tukio jinsi linavyofanyika ila ndani ya dakika 5 baada ya sumu kusambaa mwili akili ndio inaanza kukukaa sawa na unaanza kuwaona marehemu babu na bibi yako wanakuchekea na kukukaribisha kwenye makazi mapya.
 
Kingine kuhusu KOBOKO,

Ni mojawapo ya nyoka wenye kumbukumbu sana na wepesi wa kulipa visasi.

Ukiona umemjeruhi alafu hukumuua.

Basi jiandae kwa revenge, wakati wowote akishatia timu.

Mf:
Kuna jamaa kule Tabora alimkuta KOBOKO jikoni kwake alkokua anawalaza kuku wake usiku.

Basi jamaa akakuta kuku 5 wamekufa.

Basi akafanya msako, akamlia ambush,akamjeruhi kwa kwanja mkiani (alimkata mkia)

Basi KOBOKO alipozidiwa akatokomea vichakani.

Jamaa akabaki na mkia wa KOBOKO.


Baada ya Muda yule koboko aliota mkia mwingine mpya
( kama kawaida yao Reptiles)

Yule koboko baada ya miezi 3, Yule koboko alirudi pale nyumbani kwa jamaa

Alienda zizini akawagonga ngombe wawili.

Kuna mbwa alkua analinda pale nyumban, nae asbuh walkuta anatoa damu machoni kalala chini hoi bin taabani.

Baada ya mda nae akafariki.

Usiku ule ule kumbe alikua keshamfata jamaa kitandan, na kumgonga mguuni.

Asbuh,
jamaa anaamshwa aone kilichowapata mbwa wake na ngombe.

Wanastuka MTU haamki, Kuangalia wanaona jeraha LA meno kwny mguu.

Na ngozi ya mwili wake ishabadilika kua blue black

PEMBENI
WANAONA GAMBA LOTE ALILOJICHUNA BLACK MAMBA MULE MULE CHUMBANI KWAKE.

Wananchi walighadhabika mno;

Msako wa wiki 2 ulifanyika kumsaka kila kona bila mafanikio.

Tulizuiwa mpaka kumwongelea, yaani ukimtaja tu unakula viboko/makofi

Msalani; ikifika usiku MTU anasindikizwa na watu 3-4 wenye silaha.

Dah,
nkikumbuka lile tukio mwili unanisisimka.

NAJIKUTA NAMWOGOPA SANA HUYU NYOKA.
Kama ni kweli, basi ni kinaweza kikawa kiumbe chenye visasi zaid duniani, c kwa kuja kulipiza huko
 
Kama ni kweli, basi ni kinaweza kikawa kiumbe chenye visasi zaid duniani, c kwa kuja kulipiza huko
Baadhi ya wanyama wanauwezo wa kulipiza visasi mimi sishangai kabisa, Ngamia mathalan ukimpiga hakuachi atasubiria zamu yake ili akupe kichapo cha mafundisho.
 
Kama ni kweli, basi ni kinaweza kikawa kiumbe chenye visasi zaid duniani, c kwa kuja kulipiza huko
Kwa muda aliotaja mkuu hapo juu sina uhakika nao, Ila kwenye akili ya haraka ya kulipa kisasi na kutokukubali kushindwa sidhani km kuna nyoka mwingine anaeweza kumfikia, imagine baada ya kukwazana nae na ukaweza kumkimbia km upo porini tegemea kuna asilimia kubwa ya kumkuta mbele yako anakusubiri.
 
Kwa muda aliotaja mkuu hapo juu sina uhakika nao, Ila kwenye akili ya haraka ya kulipa kisasi na kutokukubali kushindwa sidhani km kuna nyoka mwingine anaeweza kumfikia, imagine baada ya kukwazana nae na ukaweza kumkimbia km upo porini tegemea kuna asilimia kubwa ya kumkuta mbele yako anakusubiri.
Aaha huyo balaa..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Huko Dubai kwenye mbio za Ngamia siku hizi wanapandisha wanasesere baada ya wale wapandaji waliokuwa wakiwachapa ngamia ili wakimbie kuviziwa na kupigwa na ngamia hao..
 
Back
Top Bottom