Kocha Matola, Boss wako Pablo na Benchi lenu zima la Ufundi ni kwamba Orlando Pirates FC yenyewe ni ile ya kuanzia dakika ya 70 hadi ya 93 ya Mchezo

Kocha Matola, Boss wako Pablo na Benchi lenu zima la Ufundi ni kwamba Orlando Pirates FC yenyewe ni ile ya kuanzia dakika ya 70 hadi ya 93 ya Mchezo

Simba anatakiwa msako mwanzo/mwisho.
Hakuna kupaki basi.
Sub zifanyike on time,pale panapoonekana uhitaji.
Otherwise kuna ushindi.
 
Jamani tuwe tunajadili hili kombe likitua JNIA litapita mitaa gani ili wanasimba walione na kufurahiya
 
Hata Jwanengi hawakuwa bora sana ila walitushangaza kwa kufuzu tena kwenye uwanja ambao timu nyingine zinauhofia mno ,ni ujinga kuamini kila shuti watakalopiga hao Pirates litakuwa goli maana kama ni hivyo tuonesheni timu ambayo pirates kaifunga goli 5 pale south kwenye makundi ili walau iwe kipimo

Ni kawaida timu ikishafungwa kushambulia haijalishi ipo wapi rejea mechi ya Simba vs Al Ahly kule Cairo ambayo Al Ahly alishinda 1-0

Simba akicheza defensive ni ngumu kumfunga hata kwa Berkane na Asec ni vile Simba iliamua kucheza kwa kushambulia kama timu ya nyumbani ndiyo maana kwa Gendarmarie game plan ilivyokuwa tofauti unaona matokeo yalikuwa bora japo watu walilalama mpira wa simba haukuwa bora
 
Baada ya kuona hawana cha Kupoteza na Wameshafungwa Orlando Pirates FC waliamua kucheza Mpira wao halisi ( halisia ) ambao waliuanza katika dakika ya 70 hadi ya 93 nikimaamisha ile ya 90 na zile 3 za Nyongeza.

Hivyo kwa Mapenzi mema na Klabu ya Simba nawaomba Wahusika Wote katika Benchi la Ufundi kama kweli tunataka Kuwakabili vilivyo Orlando Pirates FC Kwao katika Mechi yetu ya marudiano nao basi tuanze Kuwasoma Kiuchezaji ( hasa Kimbinu ) kuanzia dakika hizi nillizozitaja hapa nikiamini kuwa tunaweza Kuwaweza na hatimaye Kufuzu Nusu Fainali.

Mwisho nasisitiza tena na nauomba Uongozi wa Simba SC kuwa Timu isiwahi kwenda Johannesburg Afrika Kusini bali iende ( ifike ) Siku Moja tu kabla ya Mechi isipokuwa ile Advance Team tu ya akina Abbas na CEO Barbara Gonzalez ndiyo itangulie na naomba Kamati ya Umafia ( Mikakati ) ijipange vyema kwa hii Mechi kwani Orlando Pirates FC.

Kwa Hasira walizoondoka nazo hapa Tanzania nina uhakika watatufanyia kila aina ya Hujuma Kutudhoofisha hivyo hata Wachezaji wa Simba SC nao Wajengwe mapema Kisaikolojia na wajue kuwa hii ni Vita kweli na wanatakiwa Kupambana kwa Jasho na Damu hadi tone la mwisho na hatimaye tufanikiwe Kufuzu.
acha uongo
 
Hata Jwanengi hawakuwa bora sana ila walitushangaza kwa kufuzu tena kwenye uwanja ambao timu nyingine zinauhofia mno ,ni ujinga kuamini kila shuti watakalopiga hao Pirates litakuwa goli maana kama ni hivyo tuonesheni timu ambayo pirates kaifunga goli 5 pale south kwenye makundi ili walau iwe kipimo[/volor]

....
IMG_20220418_235102.jpg
 
Baada ya kuona hawana cha Kupoteza na Wameshafungwa Orlando Pirates FC waliamua kucheza Mpira wao halisi ( halisia ) ambao waliuanza katika dakika ya 70 hadi ya 93 nikimaamisha ile ya 90 na zile 3 za Nyongeza.

Hivyo kwa Mapenzi mema na Klabu ya Simba nawaomba Wahusika Wote katika Benchi la Ufundi kama kweli tunataka Kuwakabili vilivyo Orlando Pirates FC Kwao katika Mechi yetu ya marudiano nao basi tuanze Kuwasoma Kiuchezaji ( hasa Kimbinu ) kuanzia dakika hizi nillizozitaja hapa nikiamini kuwa tunaweza Kuwaweza na hatimaye Kufuzu Nusu Fainali.

Mwisho nasisitiza tena na nauomba Uongozi wa Simba SC kuwa Timu isiwahi kwenda Johannesburg Afrika Kusini bali iende ( ifike ) Siku Moja tu kabla ya Mechi isipokuwa ile Advance Team tu ya akina Abbas na CEO Barbara Gonzalez ndiyo itangulie na naomba Kamati ya Umafia ( Mikakati ) ijipange vyema kwa hii Mechi kwani Orlando Pirates FC.

Kwa Hasira walizoondoka nazo hapa Tanzania nina uhakika watatufanyia kila aina ya Hujuma Kutudhoofisha hivyo hata Wachezaji wa Simba SC nao Wajengwe mapema Kisaikolojia na wajue kuwa hii ni Vita kweli na wanatakiwa Kupambana kwa Jasho na Damu hadi tone la mwisho na hatimaye tufanikiwe Kufuzu.
😍
 
Ukiona neno "hasa kimbinu" 🤣🤣

@monocycline =gentamycine ..
 
Uko sahihi,wale jamaa lile ndio soka lao..sasa mechi ya marudiano ule msako utakua tangia dakika ya kwanza..na jinsi wachezaji wa simba wanavyokabia kwa macho..tutegemee over 1.5 kipindi cha kwanza..

Wakiwa kwao wakifunguka ndio nafasi nzuri ya kuwashambulia na kuwafunga! Hawatishi kivile! Hawako kwenye kiwango Cha Mamelod sundiwns Wala Kaizer Chiefs.
 
Faida ya goli 1 ni rahisi sana kuchapwa. Angalau tungekuwa na goli 3 ingekuwa afadhali ili kule tukapark basi.
Unadhani unacheza na Geita pale? Tutajie timu iliyoshinda magoli matatu kwenye hatua hii. Poor Utopolo!
 
Wala hiyo mbinu dhaifu haiwezi kusaidia timu ishinde, halafu inaonekana unafikiria sana mambo ya "Meta-physics," mpira ni Technics na Tactics na tofauti na hapo ni uongo tu wa baadhi ya watu kutafuta namna ya kupiga pesa.
 
Unadhani unacheza na Geita pale? Tutajie timu iliyoshinda magoli matatu kwenye hatua hii. Poor Utopolo!
Mwaka jana CAF CL, Simba walibamizana hayo magoli na Kaiza katika hatua ya robo fainali

Simba alijaribu kupindua meza kwa kuichapa Kaiza goli 3 kwa bila(second leg) kwa Mkapa.

Hapo ilikuwa Geita?
Screenshot_20220420-073606.jpg
 
Back
Top Bottom