Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Ulisikia wapi na lini CR7 alilalamikiwa kubeba tuzo za Ballon D' Or hata 1 tu? Sana sana Messi tuzo alizobeba kihalali ni 5 ila 3 zote kalalamikiwa hadi zingine anajistukia kukabidhiwa akidai wapinzani wake ndiyo walikuwa wanastahili hizo tuzo.Unajua lakini jinsi mshindi wa Balon d'Or anavyapatikana?
Kama una amini ni biashara,kwanini hiyo biashara wasifanye na CR7?
Kama wao wamependezwa kufanya biashara na Andunje mi ni nani hata niwapinge ilihali pesa ni zao?Unajua lakini jinsi mshindi wa Balon d'Or anavyapatikana?
Kama una amini ni biashara,kwanini hiyo biashara wasifanye na CR7?
Hakika umesema hizi ni biashara. Kuna mwaka Adebayor alilalamika, alipewa taarifa yeye ndiye mshindi akasema Kwa bahati mbaya hawezi kufika kwenye tuzo sababu ana mechi muhimu. Kilichotokea wakamwambia kama haendi atachaguliwa mchezaji mwingine, na hakika ndicho kilichotokea. Tuzo za kijanja kijanja.Balloon d'o ni biashara zao tu hao Weupe mbali na hapo mpira huchezwa dhahiri uwanjani na kila Mtu huona, ndiyomaana tuzo hii ya 2023 na 2021 Messi alikiri hakustahili zaidi ya Lewandowski na Haaland.
Pia 2010 Messi hakustahili kabisa, hujiulizi kwanini tuzo za Messi tu ndizo lazima zilalamikiwe na si za Wachezaji wengine?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Messi wa miaka mitano nyuma si Messi huyu wa 2023, mpira huchezwa hadharani na tunaona kabisa jinsi alivyoshuka ubora wa soka.Hakika umesema hizi ni biashara. Kuna mwaka Adebayor alilalamika, alipewa taarifa yeye ndiye mshindi akasema Kwa bahati mbaya hawezi kufika kwenye tuzo sababu ana mechi muhimu. Kilichotokea wakamwambia kama haendi atachaguliwa mchezaji mwingine, na hakika ndicho kilichotokea. Tuzo za kijanja kijanja.
Sawa,nijibu na swali la kwanza.Kama wao wamependezwa kufanya biashara na Andunje mi ni nani hata niwapinge ilihali pesa ni zao?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hiyo post haina jibu la swali langu,
Nilikujibu hivyo sababu mada haizungumzii jinsi balloon d'o zinavyotolewa bali ni ubora wa Messi kwa alichozungumzia Kocha wa Argentina.Hiyo post haina jibu la swali langu,
Nimeuliza,unajua jinsi mshindi wa balon d'Or anavyopatikan?
Nilikuuliza hilo swali kwa makusudi kabisa baada ya wewe kudai kua Messi anapendelewa,ungejua jinsi mshindi anavyopatikana wala usingesema hiyo kauli.Nilikujibu hivyo sababu mada haizungumzii jinsi balloon d'o zinavyotolewa bali ni ubora wa Messi kwa alichozungumzia Kocha wa Argentina.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Yani wewe na mimi tujue Balloon d'o zinavyotolewa lakini Messi mwenyewe ajistukie kwa aibu kuwa hakustahili kabisa tuzo za Ballon D'Or 2021 & 2023 zaidi ya kina Lewandowski na Haaland?Nilikuuliza hilo swali kwa makusudi kabisa baada ya wewe kudai kua Messi anapendelewa,ungejua jinsi mshindi anavyopatikana wala usingesema hiyo kauli.
Nilifikiri najadili na mtu wa soka aisee.Yani wewe na mimi tujue Balloon d'o zinavyotolewa lakini Messi mwenyewe ajistukie kwa aibu kuwa hakustahili kabisa zaidi ya kina Lewandowski na Haaland?
Baki unavyoamini nami nibaki ninavyoamini kuwa kati ya Balloon d'o 8 za Messi ni 3 ndizo za uhalali.
Ronaldinho alikuwa zaidi ya Messi na Ronaldo kwa ubora wa soka.
Hata Messi akibeba tuzo 100 hainipunguzii wala kuniongezea chochote kimaisha.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Endelea kufikiri maana ndiyo maisha uliyojichagulia.Nilifikiri najadili na mtu wa soka aisee.
Huu ni mjadala wa soka na sio mipasho,nenda google kaangalie jinsi mshindi wa balon d'Or anavyopatikana ili uache kulia lia hovyo kua eti Messi anapendelewa.Endelea kufikiri maana ndiyo maisha uliyojichagulia.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Yule alikuwa ukimtazama unaburudika commentators walimwita the greatest entertainer in football , lakini kitakwimu Messi ni bora ya GauchoDinho Gaucho alikuwa fundi sana.
Messi ndio kaja kipindi cha CR7.CR7 anaujua mpira ila tatizo amekuja kipindi cha Messi
Neno kuja sijamaanisha kua aliyetangulia.Messi ndio kaja kipindi cha CR7.
Nani kaanza senior level ya kandanda kabla ya mwenzio?
Ni mwaka gani ambao adebayor alimaliza hata 10 bora kwenye ballon d'or ??? . Timu karibia zote alizo cheza adebayor enzi zake hazijawahi kuchukua kombe lolote la maana ataanzaje kuwa kwenye kinyang'anyiro cha kupokea tuzo ? .. yaani adebayor aalikwe kwenye sherehe za ballon d'or aache kwenda hahahah umesikia wapiii au porojo tuuHakika umesema hizi ni biashara. Kuna mwaka Adebayor alilalamika, alipewa taarifa yeye ndiye mshindi akasema Kwa bahati mbaya hawezi kufika kwenye tuzo sababu ana mechi muhimu. Kilichotokea wakamwambia kama haendi atachaguliwa mchezaji mwingine, na hakika ndicho kilichotokea. Tuzo za kijanja kijanja.
Pia zipo ballin d'or ambazo Ronaldo hakustahili kaka.Balloon d'o ni biashara zao tu hao Weupe mbali na hapo mpira huchezwa dhahiri uwanjani na kila Mtu huona, ndiyomaana tuzo hii ya 2023 na 2021 Messi alikiri hakustahili zaidi ya Lewandowski na Haaland.
Pia 2010 Messi hakustahili kabisa, hujiulizi kwanini tuzo za Messi tu ndizo lazima zilalamikiwe na si za Wachezaji wengine?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app