naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,083
Hizo hadithi za kuwapa posho ni za kubumba na ingekua hivyo Morinho,Di Matheo wasingefukuzwa Chelsea kwa heshima walizoletaKweli fadhila mfadhili mbuzi huyo Zahera alibembeleza wachezaji akawapa na posho wasigome mmemtimua laana yake itawatafuna sana