Bahati nzuri yanga inao makocha waliokamilika, kuanzia kocha msaidizi, kocha wa makipa, na ikishindikana ata Edna lema wa timu ya wanawake anaweza kukaa kwenye benchi, kwaiyo kama Nabi atokuwepo jahazi anaongoza kaze awawezi kwenda kuazima kocha kama wengine
Kwahiyo huo uprofesa wake ni upi ?Taarifa za uhakika zinasema kocha Nasreddine Mohamed Nabi, naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF kumuwezesha kukaa kwenye benchi hapo kesho kwenye mchezo wa Champions League.
Nabi ambaye msimu uliopita alikaa benchi kwenye mechi 2 dhidi ya Rivers United ana vyeti vya UEFA 'A' na UEFA-Pro alizosomea Belgium, lakini taarifa zake zilichelewa kupelekwa CAF.
Habari zaidi zinasema taarifa zake (vyeti) zimewasilishwa CAF na wanasubiri Shirikisho hilo la Soka Barani Afrika, kuidhinisha tu ili akae kwenye benchi kesho.
Hali hii ni kama ambayo imemkuta Kocha Mkuu wa Simba SC Juma Mgunda, ambaye naye anasubiri idhini ya CAF ili naye akae kwenye benchi kesho Jijini Lilongwe kwenye mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.
Mgunda yeye alichelewa kuidhinishwa kwa kuwa yeye vyeti vyake vimechelewa kuwasilishwa kwa kuwa yeye ni kocha mpya.
============
Updates;
Kocha Mkuu Juma Mgunda amekuwa Approved na CAF hivyo atakuwa kwenye benchi la Simba SC kama Kocha Mkuu katika mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.
Naye Kocha wa Yanga SC Nasreddine Mohamed Nabi amezuliwa na CAF kukaa kwenye benchi la Yanga kwa kukosa vigezo hivyo Cedric Kaze ataongoza benchi la Yanga kwa mchezo dhidi ya Zalan FC.
Heeee naombq kwa Nabi isiwe kweli! Mana jana hatukupumua na waandishi wao uchwara!
Kwa akili zako hiziUmeandika pumba ambazo hata nguruwe au bata hawezi kula
Sasa makocha wamekamilika vipi wakati kocha mkuu ni vyeti fake.
Bahati nzuri yanga inao makocha waliokamilika, kuanzia kocha msaidizi, kocha wa makipa, na ikishindikana ata Edna lema wa timu ya wanawake anaweza kukaa kwenye benchi, kwaiyo kama Nabi atokuwepo jahazi anaongoza kaze awawezi kwenda kuazima kocha kama wengine
Yanga na Simba n mapacha wanaofanana
Kmc 2-simba2
Mgunda ithibat ya vyet bado-- nabi ithibati ya vyeti bado
Azam2- yanga 2
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hawafanani Nabii asipokaa bench assistant coach Caze atakaa, Simba hana dead Coach assistant Matola hawezi kukaa mpaka waazime
Ww kweli ni chura la Jangwani CAF walitoa mabadiliko kuhusu kocha anayetakiwa kukaa kwenye benchi wakati nyinyi mlishafurumushwa hatua ya awali na Rivers United nje ndaniHawa jamaa wanashangaza sana mkuu.. Yaani hata mwaka Jana Wakati tunapigwa na Rivers United prof Nabi ndio alikuwa kocha wetu na Mechi zote home and away alikuwepo.
Taarifa ilitoka kabla hata Yanga haikucheza mchezo wake wa awali. Yanga amecheza mechi yake tarehe 12 mwezi wa 9 taarifa imetoka kabla na Yanga haikuguswa.Ww kweli ni chura la Jangwani CAF walitoa mabadiliko kuhusu kocha anayetakiwa kukaa kwenye benchi wakati nyinyi mlishafurumushwa hatua ya awali na Rivers United nje ndani
Umesahau hata Mwenyekiti wetu mstaafu Mshindo Msolla naye tunaweza tu kumpa hilo jukumu! Yaani kiufupi Yanga imejaa wataalamu wa mpira.Bahati nzuri yanga inao makocha waliokamilika, kuanzia kocha msaidizi, kocha wa makipa, na ikishindikana ata Edna lema wa timu ya wanawake anaweza kukaa kwenye benchi, kwaiyo kama Nabi atokuwepo jahazi anaongoza kaze awawezi kwenda kuazima kocha kama wengine
Ukipata post yangu moja inaongelea Hilo iweke hapa.Kauli za kwamba Mgunda hana vyeti na anakwenda kukaa benchini Nkoma hutaki tena..?!
Yan kitumwe cheti cha kaze hadi awe aproval halafu cha nabi kichelewe kutumwa kama cha mgunda ambacho kilipatikana usiku usiku!mnajifariji makoloTaarifa za uhakika zinasema kocha Nasreddine Mohamed Nabi, naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF kumuwezesha kukaa kwenye benchi hapo kesho kwenye mchezo wa Champions League.
Nabi ambaye msimu uliopita alikaa benchi kwenye mechi 2 dhidi ya Rivers United ana vyeti vya UEFA 'A' na UEFA-Pro alizosomea Belgium, lakini taarifa zake zilichelewa kupelekwa CAF.
Habari zaidi zinasema taarifa zake (vyeti) zimewasilishwa CAF na wanasubiri Shirikisho hilo la Soka Barani Afrika, kuidhinisha tu ili akae kwenye benchi kesho.
Hali hii ni kama ambayo imemkuta Kocha Mkuu wa Simba SC Juma Mgunda, ambaye naye anasubiri idhini ya CAF ili naye akae kwenye benchi kesho Jijini Lilongwe kwenye mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.
Mgunda yeye alichelewa kuidhinishwa kwa kuwa yeye vyeti vyake vimechelewa kuwasilishwa kwa kuwa yeye ni kocha mpya.
============
Updates;
Kocha Mkuu Juma Mgunda amekuwa Approved na CAF hivyo atakuwa kwenye benchi la Simba SC kama Kocha Mkuu katika mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.
Naye Kocha wa Yanga SC Nasreddine Mohamed Nabi amezuliwa na CAF kukaa kwenye benchi la Yanga kwa kukosa vigezo hivyo Cedric Kaze ataongoza benchi la Yanga kwa mchezo dhidi ya Zalan FC.
Kama wa Maji Marefu tuKwahiyo huo uprofesa wake ni upi ?
Sasa akutwe na kashi kashi yanga walifika wapi msimu uliopita kwenye Caf champions league kumbuka agizo lilitoka wakati mashindano ya Caf champions league yanaendelea kwa hyo hata hyo nabi angeendelea next stage wangemsugulisha benchi vile vile mbona swala dogo hilo ila utopolo hamna uelewa wa kuchanganua mambo.Kumbe ni last season ndio kapata kashikashi sio? Haya je hiyo last season ambapo Gomes kapata hilo sekeseke la vyeti je Yanga hawakushiriki klabu bingwa? Kocha alikuwa nani? Je huyo kocha alikutwa na seke seke kama la Gomes katika msimu huo ambayo CAF walioanisha aina ya vyeti?
Aisee hakuna kazi ngumu jamii forum kama kuwaelewesha mashabiki wa utopolo ni vilaza kweli agizo lilitoka wakati Caf champions league inandelea ndo hata Gomez mechi za mwanzoni alikaa ila alikuja kuzuiliwa baadae baada ya agizo kutoka wakati huo utopolo mshatolewa baada ya kupigwa nje ndani sasa hilo agizo mngelitekeleza wapi wakati mshatolewa tayari.Mechi mbili dhidi ya Rivers United msimu uliopita Nabi hakuwepo Yanga??
Mkuu hakuna mashabiki vilaza kama wa yanga yaani wanabeba kila kitu anachoanzisha yule nguruwe pori hawachuji wala hawafikirii wanabeba kama lilivyo.Ww kweli ni chura la Jangwani CAF walitoa mabadiliko kuhusu kocha anayetakiwa kukaa kwenye benchi wakati nyinyi mlishafurumushwa hatua ya awali na Rivers United nje ndani
Kwahivyo hapa hukumaanisha kuwa hana vyeti, isipokuwa ulikuwa unaleta kejeli dhidi ya Simba SC kuonekana kuwa klabu inajua kuwa hata vyeti ila wanafanya siri, na Nkoma amekwenda kukaa benchini.Ukipata post yangu moja inaongelea Hilo iweke hapa.
😀Kwa akili zako hizi
Wewe na huyo nguruwe mnatofauti gani?[emoji1]
Pitia post 110 usiwe mnakurupuka tu ovyoSasa akutwe na kashi kashi yanga walifika wapi msimu uliopita kwenye Caf champions league kumbuka agizo lilitoka wakati mashindano ya Caf champions league yanaendelea kwa hyo hata hyo nabi angeendelea next stage wangemsugulisha benchi vile vile mbona swala dogo hilo ila utopolo hamna uelewa wa kuchanganua mambo.