Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwa hiyo mnatuiga?Leo hii ushasahahu mlivyokuwa mnafukuza Makocha kila kukicha!!
Tukisema Simba ndio role model wa vilabu vyote hapa Tz tutakuwa tunakosea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mnatuiga?Leo hii ushasahahu mlivyokuwa mnafukuza Makocha kila kukicha!!
Nasikia Rage alisema Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbuu!! Kweli eti??Yanga wenye akili ni wawilii tu....
Kuna yule kocha anayewadai yanga akasema mashabiki wote wa yanga, ukiwepo na wewe, wote hamna akili.... Ni mbwa, sokwe na nyani... Ipo YouTube anaitwa Luke eymail.Nasikia Rage alisema Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbuu!! Kweli eti??
Yanga ni kubwa kuliko Simba, hatuwezi iga vijana waliotoka ubavuni mwetu!!Kwa hiyo mnatuiga?
Tukisema Simba ndio role model wa vilabu vyote hapa Tz tutakuwa tunakosea?
Ha haaa 🤣🤣Kama ni kweli basi jamaa atakuwa ana bahati lakini hamna kocha mule!!
Kivipi amna kocha? Leta sababu za msingi zinazokufanya uone amna kocha,,Kama ni kweli basi jamaa atakuwa ana bahati lakini hamna kocha mule!!
Yule alikuwa kwenye siku zake!! Hasira zilimjaa kwasababu tulimtimua!!Kuna yule kocha anayewadai yanga akasema mashabiki wote wa yanga, ukiwepo na wewe, wote hamna akili.... Ni mbwa, sokwe na nyani... Ipo YouTube anaitwa Luke eymail.
Ni kweli hao ni mbumbumbuNasikia Rage alisema Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbuu!! Kweli eti??
Gusa, ishia makundi, twende airport.Katika hali ya kushangaza coach Saed Ramovic ameaga rasmi na kuwa mechi ya kesho vs ya Ken Gold ndo mechi ya mwisho kuwa Yanga
Na atatumia mchezo wa Kesho kuaga mashabiki wa Yanga
Tunamtakia kila heri coach Saed Ramovic German machine
Acha mbwembwe hizo habari zipo mtandaoni muda mrefu tu jamaa yangu. 😀😀😀Me sinaga habari za kuokoteza, utakuja kuniheshimu siku 1
Niko ndani ya Yanga
Hii habari, ingekuwa inaihusu Simba, sina shaka, wewe na TOPOLO wenzio, mngekuwa mmeshaanzisha zaidi ya thread kumi+.Yanga ni kubwa watakuja makocha wengine
Kocha kuondoka sio ajabu na Wala sio jambo la kushangaa ndio maana Simba alibadilisha makocha karibu 5 ndani ya msimu Mmoja,,ivyo akuna anayemuiga mtu ni utaratibu uliopo Dunia nzimaKwa hiyo mnatuiga?
Tukisema Simba ndio role model wa vilabu vyote hapa Tz tutakuwa tunakosea?
Kinachonikera mpira wa Bongo ushabiki mwingi..,mwanetu Ali Kamwe akaja na Gusa achia twende kwao kumbe hamna kila kitu😂 tunafosi huu msemo lakini sijaona Yanga hiyo!Ha haaa 🤣🤣
Niwe mkweli jamaa sijamkubali soka lake hasa kwenye Sanaa ya ulinzi, linaruhusu kusalimiwa golikipa wake kila wanapo shambuliwa kwa counterattack.
Lile soka la Jurgen Klopp wa Dortmund au Liverpool yake ya miaka miwili ya mwanzo akiwa Liverpool.
Piga nikupigie tupishane idadi ya magoli tu.
Klopp alibadilika Liverpool lakini sioni Saed Ramovich akibadilika karibuni.
Unataka upewe sababu wakati majibu umeshapata kwa kumvunjia mkataba!! Angekuwa mzuri Yanga wasingekubali aondoke!Kivipi amna kocha? Leta sababu za msingi zinazokufanya uone amna kocha,,
Simba nayo ni timu ya mpira au rede?Hii habari, ingekuwa inaihusu Simba, sina shaka, wewe na TOPOLO wenzio, mngekuwa mmeshaanzisha zaidi ya thread kumi+.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ukongwe sio ukubwaYanga ni kubwa kuliko Simba, hatuwezi iga vijana waliotoka ubavuni mwetu!!
Role model kwa kucheza na waamuzi?
Mnaye huyo mpaka Hersi aamuwe!Katika hali ya kushangaza coach Saed Ramovic ameaga rasmi na kuwa mechi ya kesho vs ya Ken Gold ndo mechi ya mwisho kuwa Yanga
Na atatumia mchezo wa Kesho kuaga mashabiki wa Yanga
Tunamtakia kila heri coach Saed Ramovic German machine