zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
huyo AL AHLY ana maajabu gani ka draw na vita na el mereik hana lolote la maana hadi umpambe ivo hili kundi walikutana sunche na kapetoSimba ilipopigwa 5 mlisema mengine. Siyo nyie mliosema sjmba ni underdog. Msimu huu ulipoanza mlisema al ahly ndiyo timu bora Afrika, simba hawaezi kufika mbali na kwamba As vita na Al ahly ndiyo vinara wa kundi. Leo mmebadilisha kauli, eti wamekutana wagonjwa watupu.
Al ahly jmetoka kucheza na Bayern na wote tuliona kiwango chake. Bado hamtaki kukubali kwamba Simba is no longer an undedog in this group.
Jifunzeni kupongeza, utopolo ni wachumba wetu harusi soon itafungwa.