Kodi kwa 'watoto' wa miaka 18?

Kodi kwa 'watoto' wa miaka 18?

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,136
Reaction score
32,268
This is sad,

Miaka 18 hata Advance hajamaliza...au ndio anamaliza...

Haya ni maamuzi ya kukurupuka, una uhakika huyu 'mtoto' yuko kwenye 'ajira'rasmi?

Sana sana utawashawishi watoto wasifocus na shule waingie mtaani kutafuta ajira, unskilled jobs.

Huwezi ukafanya mambo( kodi) kama nchi zilizoendelea.

Wakati hujawawezesha ama hujaweka in place Mfumo utakaotoa ajira kwa vijana hawa.

Ukiangalia profile la kijana wa miaka 18, ni mdogo, hana skills zozote, bado yuko kwenye proccess ya kutafuta ana fit wapi in terms of career and his own identity.

Leo drastically unataka alipe kodi?

Profile la kijana huyu ni simply ' unemployable'.. sijui walifikiria nini.

Mbona ni simple logic, una create ajira, then ndio unataka watu walipe kodi.

Sio watu walipe kodi, wakati hamna ajira.

Unless nimeelewa tofauti,

Ila hii policy wamekurupuka,

Itakuwa very challenging kumuweka mtu mwenye profile la mtu wa miaka 18 ambalo ni unemployable awe employable.

Bora hata wangesema miaka 25 sababu mtu wa miaka 25 tayari ana ujuzi hata kama anaweza asiwe na uzoefu.

Wanaofanya decisions on our behalf simply ni useless...

Waste of space..

My honest opinion...

Rebecca.
 
okay nimewaelewa, ila kumpa mtu kitambulisho cha mlipa kodi wakati halipi kodi, wastage of resources.

Wakiweka hilo kwamba kujulikane kiasi basi iwe mfano lengo ni kukusanya trillion 1 kwa kodi,kama zikikusanywa trilioni 3 basi 2 zinarudi kwa wananchi na kugawiwa asilimia kutegemeana na walivyochangia. Kuliko kusema wamevuka lengo na wanabakiwa nazo zote hapo wananchi tutaumia sana. Maana hakuna kodi inauma kwa sasa kama PAYE yaan dah ni kubwa kuliko makato yote kwenye salary slip na salary inavyopanda ndio na yenyewe inapanda zaidi na hairudi hata hamsini
 
Wakiweka hilo kwamba kujulikane kiasi basi iwe mfano lengo ni kukusanya trillion 1 kwa kodi,kama zikikusanywa trilioni 3 basi 2 zinarudi kwa wananchi na kugawiwa asilimia kutegemeana na walivyochangia. Kuliko kusema wamevuka lengo na wanabakiwa nazo zote hapo wananchi tutaumia sana. Maana hakuna kodi inauma kwa sasa kama PAYE yaan dah ni kubwa kuliko makato yote kwenye salary slip na salary inavyopanda ndio na yenyewe inapanda zaidi na hairudi hata hamsini
Mimi nimependa mchango wako ila mkuu mimi naumia efforts zote wanazoweka wananchi Mafisadi yanajimegea tuuu...😡😡😡
 
what for? mapambo?
Ni hivi malipo yeyote ukifanya serikalini inabidi uwe na tin number,
Unaweza usiwe mlipa kodi lakini ukaagiza gari inje ya inchi na ukataka kuilipia ushuru na kuiregesta ni lazima uwe na tin number,
Au siku serikali ikisema leo tunagawa hela kwa wanachi woote inabidi uwe na tin? 🤣 naona zitagombewa
 
Ni hivi malipo yeyote ukifanya serikalini inabidi uwe na tin number,
Unaweza usiwe mlipa kodi lakini ukaagiza gari inje ya inchi na ukataka kuilipia ushuru na kuiregesta ni lazima uwe na tin number,
Au siku serikali ikisema leo tunagawa hela kwa wanachi woote inabidi uwe na tin? 🤣 naona zitagombewa
hahahaahah umenichekesha huo mgao halafu huna TIN number unaweza kupata heart attack, thanks mkuu kwa kunifafanulia.
 
This is sad,

Miaka 18 hata Advance hajamaliza...au ndio anamaliza...

Haya ni maamuzi ya kukurupuka, una uhakika huyu 'mtoto' yuko kwenye 'ajira'rasmi?

Sana sana utawashawishi watoto wasifocus na shule waingie mtaani kutafuta ajira, unskilled jobs.

Huwezi ukafanya mambo( kodi) kama nchi zilizoendelea.

Wakati hujawawezesha ama hujaweka in place Mfumo utakaotoa ajira kwa vijana hawa.

Ukiangalia profile la kijana wa miaka 18, ni mdogo, hana skills zozote, bado yuko kwenye proccess ya kutafuta ana fit wapi in terms of career and his own identity.

Leo drastically unataka alipe kodi?

Profile la kijana huyu ni simply ' unemployable'.. sijui walifikiria nini.

Mbona ni simple logic, una create ajira, then ndio unataka watu walipe kodi.

Sio watu walipe kodi, wakati hamna ajira.

Unless nimeelewa tofauti,

Ila hii policy wamekurupuka,

Itakuwa very challenging kumuweka mtu mwenye profile la mtu wa miaka 18 ambalo ni unemployable awe employable.

Bora hata wangesema miaka 25 sababu mtu wa miaka 25 tayari ana ujuzi hata kama anaweza asiwe na uzoefu.

Wanaofanya decisions on our behalf simply ni useless...

Waste of space..

My honest opinion...

Rebecca.
Pole,
Ila miaka 18 siyo mtoto, ni mtu mzima.
Kama ni mtoto ni wa kwako tu.
 
This is sad,

Miaka 18 hata Advance hajamaliza...au ndio anamaliza...

Haya ni maamuzi ya kukurupuka, una uhakika huyu 'mtoto' yuko kwenye 'ajira'rasmi?

Sana sana utawashawishi watoto wasifocus na shule waingie mtaani kutafuta ajira, unskilled jobs.

Huwezi ukafanya mambo( kodi) kama nchi zilizoendelea.

Wakati hujawawezesha ama hujaweka in place Mfumo utakaotoa ajira kwa vijana hawa.

Ukiangalia profile la kijana wa miaka 18, ni mdogo, hana skills zozote, bado yuko kwenye proccess ya kutafuta ana fit wapi in terms of career and his own identity.

Leo drastically unataka alipe kodi?

Profile la kijana huyu ni simply ' unemployable'.. sijui walifikiria nini.

Mbona ni simple logic, una create ajira, then ndio unataka watu walipe kodi.

Sio watu walipe kodi, wakati hamna ajira.

Unless nimeelewa tofauti,

Ila hii policy wamekurupuka,

Itakuwa very challenging kumuweka mtu mwenye profile la mtu wa miaka 18 ambalo ni unemployable awe employable.

Bora hata wangesema miaka 25 sababu mtu wa miaka 25 tayari ana ujuzi hata kama anaweza asiwe na uzoefu.

Wanaofanya decisions on our behalf simply ni useless...

Waste of space..

My honest opinion...

Rebecca.
TlN Ni utambulisho tu wa mlipa Kodi siyo shulutisho la kulipa Kodi nikama NIDA tu inakutambuliaha tu, ndivyo wanafanya duniani huko mf.india,us,uk etc,tax is legal compursory payment, lazima tulipe ipo kisheria
 
Serikali ndiyo mlezi mkuu, kuna hekima kubwa sana kwenye hili jambo. Kwanza, litawafanya watoto wetu kujifunza their civic duty, kulipa kodi. Pili, litaharakisha watoto wetu kujitegemea, watoto wa kisasa hawajigusi na utakuta mtu ana miaka 40 bado yuko kwa wazazi kama mtegemezi. Haya ni matumizi mabaya ya rasilirasilimali watu kwani kila raia ana wajibu wa kutoa mchango wake katika ujenzi wa taifa kwa namna yake popote alipo. Tatu, sheria zetu zinatambua miaka 18 kuwa ni age of majority hivyo basi, siyo kulipa kodi tu, wanaweza kufungwa jela au kupelekwa vitani. Mwisho, kama nchi lazima iwe na misingi ya uwajibikaji, kila mtu awajibike.
 
Back
Top Bottom