Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
This is sad,
Miaka 18 hata Advance hajamaliza...au ndio anamaliza...
Haya ni maamuzi ya kukurupuka, una uhakika huyu 'mtoto' yuko kwenye 'ajira'rasmi?
Sana sana utawashawishi watoto wasifocus na shule waingie mtaani kutafuta ajira, unskilled jobs.
Huwezi ukafanya mambo( kodi) kama nchi zilizoendelea.
Wakati hujawawezesha ama hujaweka in place Mfumo utakaotoa ajira kwa vijana hawa.
Ukiangalia profile la kijana wa miaka 18, ni mdogo, hana skills zozote, bado yuko kwenye proccess ya kutafuta ana fit wapi in terms of career and his own identity.
Leo drastically unataka alipe kodi?
Profile la kijana huyu ni simply ' unemployable'.. sijui walifikiria nini.
Mbona ni simple logic, una create ajira, then ndio unataka watu walipe kodi.
Sio watu walipe kodi, wakati hamna ajira.
Unless nimeelewa tofauti,
Ila hii policy wamekurupuka,
Itakuwa very challenging kumuweka mtu mwenye profile la mtu wa miaka 18 ambalo ni unemployable awe employable.
Bora hata wangesema miaka 25 sababu mtu wa miaka 25 tayari ana ujuzi hata kama anaweza asiwe na uzoefu.
Wanaofanya decisions on our behalf simply ni useless...
Waste of space..
My honest opinion...
Rebecca.
Miaka 18 hata Advance hajamaliza...au ndio anamaliza...
Haya ni maamuzi ya kukurupuka, una uhakika huyu 'mtoto' yuko kwenye 'ajira'rasmi?
Sana sana utawashawishi watoto wasifocus na shule waingie mtaani kutafuta ajira, unskilled jobs.
Huwezi ukafanya mambo( kodi) kama nchi zilizoendelea.
Wakati hujawawezesha ama hujaweka in place Mfumo utakaotoa ajira kwa vijana hawa.
Ukiangalia profile la kijana wa miaka 18, ni mdogo, hana skills zozote, bado yuko kwenye proccess ya kutafuta ana fit wapi in terms of career and his own identity.
Leo drastically unataka alipe kodi?
Profile la kijana huyu ni simply ' unemployable'.. sijui walifikiria nini.
Mbona ni simple logic, una create ajira, then ndio unataka watu walipe kodi.
Sio watu walipe kodi, wakati hamna ajira.
Unless nimeelewa tofauti,
Ila hii policy wamekurupuka,
Itakuwa very challenging kumuweka mtu mwenye profile la mtu wa miaka 18 ambalo ni unemployable awe employable.
Bora hata wangesema miaka 25 sababu mtu wa miaka 25 tayari ana ujuzi hata kama anaweza asiwe na uzoefu.
Wanaofanya decisions on our behalf simply ni useless...
Waste of space..
My honest opinion...
Rebecca.