Japo sio mjuzi wa haya mambo lakini wacha nitoe maoni yangu, kuwa na TIN namba ni sawa na ww kuwa na namba ya simu mfno huwez kumtumia mtu pesa kama hana namba ya simu, kifupi kama hana simu, so kwa kuwa kila mtu anapaswa kulipa kodi itakuwa hivi, kuliko makampuni ya simu ndo yalipe kodi badala yake ww ndo utakAtwa kodi moja kwa moja, kwa hiyo mfno unataka kutuma pesa kwa MPESA utalazimika kuingiza TIN no yako piaa ili ulipe kodi, unataka kulipa pesa serikalini kwa control namba utaweka pia TIN namba yako, unatakaa kulipia BIMA,utaweka TIN namba yako, kika mtumishi wa Umma ana TIN namba yake tutazitumia kulipia ving'amuzi, miamala ya Benki, kuweka Vocha, kulipia majengo, kupangisha nyumba, kulipia umeme, Maji, kulipia huduma hospitalini, mashuleni, viwandani, yaan walipaji wataanza kulipia benki au mpesa ili ukatwe kodi sio kupeana mkononi pesa, nenda kwenye miradi ya SGR hadi vibarua hela inalipwa benki sasa tutawapa TIN namba ili wakienda kuchukua malipo yao wakatwe kodi.....
Pole kwa mwandiko Mbaya