Kodi kwa 'watoto' wa miaka 18?

Kodi kwa 'watoto' wa miaka 18?

This is sad,

Miaka 18 hata Advance hajamaliza...au ndio anamaliza...

Haya ni maamuzi ya kukurupuka, una uhakika huyu 'mtoto' yuko kwenye 'ajira'rasmi?

Sana sana utawashawishi watoto wasifocus na shule waingie mtaani kutafuta ajira, unskilled jobs.

Huwezi ukafanya mambo( kodi) kama nchi zilizoendelea.

Wakati hujawawezesha ama hujaweka in place Mfumo utakaotoa ajira kwa vijana hawa.

Ukiangalia profile la kijana wa miaka 18, ni mdogo, hana skills zozote, bado yuko kwenye proccess ya kutafuta ana fit wapi in terms of career and his own identity.

Leo drastically unataka alipe kodi?

Profile la kijana huyu ni simply ' unemployable'.. sijui walifikiria nini.

Mbona ni simple logic, una create ajira, then ndio unataka watu walipe kodi.

Sio watu walipe kodi, wakati hamna ajira.

Unless nimeelewa tofauti,

Ila hii policy wamekurupuka,

Itakuwa very challenging kumuweka mtu mwenye profile la mtu wa miaka 18 ambalo ni unemployable awe employable.

Bora hata wangesema miaka 25 sababu mtu wa miaka 25 tayari ana ujuzi hata kama anaweza asiwe na uzoefu.

Wanaofanya decisions on our behalf simply ni useless...

Waste of space..

My honest opinion...

Rebecca.
View attachment 2261264

"Kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi. Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi"

"Kwa kuwa utaratibu wa usajili wa namba ya utambulisho wa Taifa (NIDA) unamtaka kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 au zaidi kujisajili NIDA, napendekeza kuwa wale wote wenye NIDA kwa sasa (wanaofikia milioni 19 nchi nzima) wapatiwe namba ya TIN na itumike kwenye miamala yote inayofanyika katika ununuzi na mauzo yanayofanyika ndani ya nchi"
"Kila mwenye namba ya mlipakodi atapata makadirio yake kwa njia ya simu na kulipa kodi husika kwa njia ya mtandao"

- @mwigulunchemba ,Waziri wa Fedha na Mipango

#BajetiKuu
Yes it can be done! Na kuwasaidia vijana zaiadi ya hao milioni 7. Na wakatengenezewa ajira endelevu. Kuna nchi tayari wanafanya hivyo na tax base yao imekuwa for 45% . Ukiiangalia unaweza ona aiwezekani na pia ni kituko- Lakini hii inaweza kuwa mkombozi wa Vijana wetu hapa nchini.
 
UNAKUWA NA TIN, MAPATO YAKO UNALIPWA KUPITIA HIYO TIN KILA MTU ANAYEINGIZA KIPATO KUANZIA MIAKA 18 ANAKUWA SEHEMU YA MAENDELEO YA NCHI. IFIKE SEHEMU MFAGIAJI AKILIPWA ALIPWE KUPITIA TIN NA ALIPE KODI KULINGANA NA KIPATO, INAPENDEZA SANA. NA TUACHE ULALAMISHI WA KINYAPASI.
 
Muwe mnasikiliza na kuelewa .....waziri alisema Mwenye miaka 18 ambaye anaingiza kipato...kama haingizi kipato hiyo haimuhusu..
Mnatuchanganya tu, wengine wanasema kila mtu anayefanya manunuzi awe wa miaka 18 analipia kodi..wewe unasema ambaye ana kipato?!
 
Yes it can be done! Na kuwasaidia vijana zaiadi ya hao milioni 7. Na wakatengenezewa ajira endelevu. Kuna nchi tayari wanafanya hivyo na tax base yao imekuwa for 45% . Ukiiangalia unaweza ona aiwezekani na pia ni kituko- Lakini hii inaweza kuwa mkombozi wa Vijana wetu hapa nchini.
Ni kweli Mkuu, watu (vijana) wakipata skilled jobs, wakalipa tax nzuri, lazima kodi iongezeke, sema serikali yetu ubunifu no.
 
Mnatuchanganya tu, wengine wanasema kila mtu anayefanya manunuzi awe wa miaka 18 analipia kodi..wewe unasema ambaye ana kipato?!
Nakuchanganya kivipi...kwani kauli ya waziri hukuisikia?
 
Soma posti ya #40
Sasa maoni ya watu yasikuchanganye unapaswa kusikiliza kauli ya waziri ...

Kila mtu huku JF anatoa maoni kwa uelewa wake na siyo wote wako sahihi...unapaswa kuchambua na kuelewa kipi sahibi kipi cyo sahihi
 
Mnatuchanganya tu, wengine wanasema kila mtu anayefanya manunuzi awe wa miaka 18 analipia kodi..wewe unasema ambaye ana kipato?!
Kamsikilize aliyesema ndugu ili usipotoshwe. Kwa akili ya kawaida tu unaona inawezekana kurudisha kodi ya kichwa bila kipato? Kwa sheria ipi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole saana ila kuwa na TIN sio kutozwa kodi ni utambulisho tu wa mlipa kodi mie ninayo TIN huu mwaka ni watatu sasa na sijawah kulipa kodi yoyote ile na hutolewa bure tu.
Ukiwa na namba ya utambulisho wa mlipa kodi halafu hulipi kodi si matumizi mabaya ya karatasi za serikali?
 
Ukiwa na namba ya utambulisho wa mlipa kodi halafu hulipi kodi si matumizi mabaya ya karatasi za serikali?
Hapana sababu kuna siku utapata tu kipato na nchi yako itaona. Tunapoelekea system zitakuwa imara na mifumo ya malipo itakuwa wazi kwa serikali.
 
Kamsikilize aliyesema ndugu ili usipotoshwe. Kwa akili ya kawaida tu unaona inawezekana kurudisha kodi ya kichwa bila kipato? Kwa sheria ipi?
Its pointless kuwapa watu hayo TIN number ambazo hawatazitumia, soma post ya Mkuu Numbisa pale juu, katoa suggestion nzuri tu, nini kifanyike.
 
Ukiwa na namba ya utambulisho wa mlipa kodi halafu hulipi kodi si matumizi mabaya ya karatasi za serikali?
Kama ulimsikiliza Mwigulu jana alisema wanahama
From Papers to Digital

Na hamna hasara yoyote kwa maana hata vitambulisho vya mpiga kura na vya uraia viko hard capy na vinatolewa bila malipo na serikali haijapata hasara.
 
Ni ndio, kutengenezo hizo TIN inatumia administration costs, au unadhania vinatolewa hewani?!, huu ni ufajaji wa pesa usio na lazima.
Hata vitambulisho vya taifa ni gharama na havirudishi chochote. By the way soon tutaachana na makaratasi huko mbeleni.
Tunapoelekea kila mtu atakuwa na tin, siku akipata kipato nchi tufahamu na atatimiza wajibu wake wa kikodi. Ni swala la muda tu, kama sio sisi basi watoto. Ila safari ya kila raia mwenye kipato kulipa kodi ilishaanza. Mpaka sasa ni mifumo tu inatuangusha.
 
I agree mkuu.

Unaweza kukamua watu tozo, kodi, na bado inaishia kwa Mafisadi.
Iyo ndio changamoto kubwa, tupo tayari kulipa kodi tatizo zinatumikaje? Yale ya Arusha bidhaa ya 1M inanunuliwa kwa 10M na bado mtu yupo kazini ajanyongwa iyo ni michezo ya kitoto. Waweke mikakati ya kukusanya kodi ndio lakini waweke sheria kari zaidi mpaka ya kunyonga kwa atakae cheza na izo kodi
 
Kama ulimsikiliza Mwigulu jana alisema wanahama
From Papers to Digital

Na hamna hasara yoyote kwa maana hata vitambulisho vya mpiga kura na vya uraia viko hard capy na vinatolewa bila malipo na serikali haijapata hasara.

Huelewi, bila malipo sio kwa mtu wa kawaida, ila malipo kwa serikali kuwalipa hao wanaotengeneza na kivigawa, huu ni ufujaji wa pesa kwa serikali.
 
Huyo ndio mwiguru nchemba. Anawaza kukamua kodi kila kona,sehemu ambazo hajaziwezesha. Na kodi yenyewe inaishia mifukoni mwao. Hakuna inachofanya
 
Its pointless kuwapa watu hayo TIN number ambazo hawatazitumia, soma post ya Mkuu Numbisa pale juu, katoa suggestion nzuri tu, nini kifanyike.
Naona unahamisha Mada taratibu...

ulianza kulalamika watoto wa Miaka 18 wanatozwa kodi ukaeleweshwa kwamba wanaotozwa ni wale tu wanaoingiza kipato

Sasa unalalamika serikali itapata hasara...

Unapaswa kujua kwamba hakuna kazi au mchakato wowote unaofanyika bure bila gharama ila faida zake huko mbeleni ni kubwa ukilinganisha na gharama zinazotumika kuandaa huo mfumo kwa sasa

Na ndiyo maana imetengwa budget kwa ajili ya hilo
 
Hata vitambulisho vya taifa ni gharama na havirudishi chochote. By the way soon tutaachana na makaratasi huko mbeleni.
Tunapoelekea kila mtu atakuwa na tin, siku akipata kipato nchi tufahamu na atatimiza wajibu wake wa kikodi. Ni swala la muda tu, kama sio sisi basi watoto. Ila safari ya kila raia mwenye kipato kulipa kodi ilishaanza. Mpaka sasa ni mifumo tu inatuangusha.

Kwa nini wasisubirie mpaka hapo hao vijana watakapokuwa kwenye ajira rasmi, soma posti ya Mkuu Numbisa kama ni utambulisho wangeweza kuweka kila kitu kwenye vitambulisho vya NIDA,...kuwapa watu vitambulisho visivyokuwa na kazi again ni kufuja hela za serikali, ambazo ni za walipa kodi halali.
 
Back
Top Bottom