Kodi kwa 'watoto' wa miaka 18?

Kodi kwa 'watoto' wa miaka 18?

Happy uelewe mtoto tin take itaonesha manunuzi tu na sio mauzo au mapato. Sasa analipaje hiyo Kodi?
Kodi ni tofauti Kati ya manunuzi na mauzo,
Kwa lugha nyingine hutaweza kununua bila tin , sasa hapo hamna atakayeweza kuficha mauzo kwani mnunuaji anaitaji manunuzi kwenye tin yawe mengi kupunguza Kodi
Pia ikiwa hutotoa risiti yamauzo stock kwako itaonekana kubwa sana Jambo ambalo haliingii akilini hence utachunguzwa!
Ujue kupunguza Kodi ni pamoja na kuficha manunuzi halisi, ikiwa manunuzi yatakuwa reflected in your tin huwezi kwepa
Mnh,Labda nimeelewa sivyo,ila kama mtoto analipia kwenye manunuzi hio ni kodi tayari,

I still maintain mtoto wa Miaka 18 hapaswi kulipa Kodi yeyote huu ni uonevu, sababu Mzigo unarudi kwa wazazi. Ni sawa na kusema wazazi walipe kodi twice as much, ya kwake na ya hela anayompa mwanae kwa matumizi...huu ni wizi wa mchana kweupeeee
 
Ni hivi
Kila huduma ufanyayo unakatwa kodi ila hautambuliki kama mlipa kodi. VAT hulipwa na mtumiaji wa mwisho ambao ni sisi.
Hivyo basi ili tuonekane ni walipaji, kila mtu itambidi awe na TIN ambayo itasajiliwa kwenye Number za Simu na Bank, kwamba ikitokea umefanya malipo kwa njia tajwa basi ile VAT itaenda kwenye acc yako kule TRA na utajulikana kama mlipakodi
 
Usiseme wa kwangu peke yangu, wakati Majority ya wazazi kibao tanzania wana watoto wenye miaka 18!, labda useme peke yako kuwa mtoto wa miaka 18 ni mtu mzima mwenzio
Povu la nini, mtoto ni mtoto kwa kila mzazi, haijalishi miaka yake. Ila kijana wa miaka 18 siyo mtoto tena, ni mtu mzima ndiyo maana yenyewe.
 
Mnh,Labda nimeelewa sivyo,ila kama mtoto analipia kwenye manunuzi hio ni kodi tayari,

I still maintain mtoto wa Miaka 18 hapaswi kulipa Kodi yeyote huu ni uonevu, sababu Mzigo unarudi kwa wazazi. Ni sawa na kusema wazazi walipe kodi twice as much, ya kwake na ya hela anayompa mwanae kwa matumizi...huu ni wizi wa mchana kweupeeee
Mapato- manunuzi= faida
Hiyo faida ndio inaangaliwa kiasi gani ipigwe Kodi.

Sasa mtoto au wanyonge ( in maguu voice) kwaomanunuzi yatazidi mapato so hamna Kodi
Ila hii itasaidia kulazimisha utoaji risiti yaan utamlazimisha muuzaji au mtoa huduma akupe risiti hata serikali ya mtaa nakwa mjumbe tutapelekana ili tini zetu zioneshe hasara
 
Povu la nini, mtoto ni mtoto kwa kila mzazi, haijalishi miaka yake. Ila kijana wa miaka 18 siyo mtoto tena, ni mtu mzima ndiyo maana yenyewe.
Mnhh naona huelewi ngoja nikuache mkuu, utamwitaje mtoto wa miaka 18 ambaye bado tegemezi yuko kwa wazazi ni mtu mzima?!
 
This is sad,

Miaka 18 hata Advance hajamaliza...au ndio anamaliza...

Haya ni maamuzi ya kukurupuka, una uhakika huyu 'mtoto' yuko kwenye 'ajira'rasmi?

Sana sana utawashawishi watoto wasifocus na shule waingie mtaani kutafuta ajira, unskilled jobs.

Huwezi ukafanya mambo( kodi) kama nchi zilizoendelea.

Wakati hujawawezesha ama hujaweka in place Mfumo utakaotoa ajira kwa vijana hawa.

Ukiangalia profile la kijana wa miaka 18, ni mdogo, hana skills zozote, bado yuko kwenye proccess ya kutafuta ana fit wapi in terms of career and his own identity.

Leo drastically unataka alipe kodi?

Profile la kijana huyu ni simply ' unemployable'.. sijui walifikiria nini.

Mbona ni simple logic, una create ajira, then ndio unataka watu walipe kodi.

Sio watu walipe kodi, wakati hamna ajira.

Unless nimeelewa tofauti,

Ila hii policy wamekurupuka,

Itakuwa very challenging kumuweka mtu mwenye profile la mtu wa miaka 18 ambalo ni unemployable awe employable.

Bora hata wangesema miaka 25 sababu mtu wa miaka 25 tayari ana ujuzi hata kama anaweza asiwe na uzoefu.

Wanaofanya decisions on our behalf simply ni useless...

Waste of space..

My honest opinion...

Rebecca.
Miaka 18 ni mtoto Huyo?
 
Nchi inaongozwa na Mapaka👇😁😁😁
AEb8rs.jpeg
16525976734300.jpg
ummY_jc.jpg
 
Mkuu kungekuwa na Policy kwanza kuhakikisha vijana wana hizo kazi zipo ningewalewa...Ni kwa vile tu hamuelewi, kijana wa miaka 18 bado ni tegemezi, wachache sana ndio wanaingiza kipato nao ni circumstances zimewafanya wawe hivyo, sasa hii small segment ya population ndio ije kukufanya ufikirie kila kijana wa Kitanzania awe na Kitambulisho cha kodi ama alipe kodi ni kukosea, wajengee kwanza skills/knowledge wajitegemee ndio then ufikirie mambo ya kodi. I think kufanya shule kuwa free kuanzia Primary mpaka Advance free ni way foward lakini haya mambo ya kodi tunadanganyana.
Mkuu unaeleweka sana ila miaka 18 ndiyo age of majority. Hivyo, TRA's jurisdiction ndiyo inaanzia hapo notwithstanding huyo kijana atalipa kodi ama la, lazima wamtambue kama potential tax payer na aingie kwenye data base yao. Just in case ikitokea anafanya activities which attracts tax payments iwe rahisi kupata kodi kutoka kwake.
 
Serikali yetu haina ubunifu kabisa kutwa kujaziana mavitambulisho. Ilitakiwa ID ya nida ibebe kila kitu hata mtu akienda hosp medical records ziwepo humo,akiwa na criminal records ziwepo humo. Sasa wao kutwa kuibua project mpya moya wasizozimalizia kutwa kujichotea pesa tu na kutapanya
I agree with you 100%
 
 
This is sad,

Miaka 18 hata Advance hajamaliza...au ndio anamaliza...

Haya ni maamuzi ya kukurupuka, una uhakika huyu 'mtoto' yuko kwenye 'ajira'rasmi?

Sana sana utawashawishi watoto wasifocus na shule waingie mtaani kutafuta ajira, unskilled jobs.

Huwezi ukafanya mambo( kodi) kama nchi zilizoendelea.

Wakati hujawawezesha ama hujaweka in place Mfumo utakaotoa ajira kwa vijana hawa.

Ukiangalia profile la kijana wa miaka 18, ni mdogo, hana skills zozote, bado yuko kwenye proccess ya kutafuta ana fit wapi in terms of career and his own identity.

Leo drastically unataka alipe kodi?

Profile la kijana huyu ni simply ' unemployable'.. sijui walifikiria nini.

Mbona ni simple logic, una create ajira, then ndio unataka watu walipe kodi.

Sio watu walipe kodi, wakati hamna ajira.

Unless nimeelewa tofauti,

Ila hii policy wamekurupuka,

Itakuwa very challenging kumuweka mtu mwenye profile la mtu wa miaka 18 ambalo ni unemployable awe employable.

Bora hata wangesema miaka 25 sababu mtu wa miaka 25 tayari ana ujuzi hata kama anaweza asiwe na uzoefu.

Wanaofanya decisions on our behalf simply ni useless...

Waste of space..

My honest opinion...

Rebecca.
Waziri alimaanisha kwamba kama wana shughuli inayowaingizia kipato basi walipe kodi ...hakuwa na maana kwamba kijana yoyote tu mwenye miaka 18 kwa maana umri huo wengine ndiyo wanamaliza Form four na wengine ndiyo wanaendelea na Advance....

Lakini kuna wengine katika umri huo wa mika 18 wanafanya Biashara na Shughuli za kuwaingizia kipato
 
This is sad,

Miaka 18 hata Advance hajamaliza...au ndio anamaliza...

Haya ni maamuzi ya kukurupuka, una uhakika huyu 'mtoto' yuko kwenye 'ajira'rasmi?

Sana sana utawashawishi watoto wasifocus na shule waingie mtaani kutafuta ajira, unskilled jobs.

Huwezi ukafanya mambo( kodi) kama nchi zilizoendelea.

Wakati hujawawezesha ama hujaweka in place Mfumo utakaotoa ajira kwa vijana hawa.

Ukiangalia profile la kijana wa miaka 18, ni mdogo, hana skills zozote, bado yuko kwenye proccess ya kutafuta ana fit wapi in terms of career and his own identity.

Leo drastically unataka alipe kodi?

Profile la kijana huyu ni simply ' unemployable'.. sijui walifikiria nini.

Mbona ni simple logic, una create ajira, then ndio unataka watu walipe kodi.

Sio watu walipe kodi, wakati hamna ajira.

Unless nimeelewa tofauti,

Ila hii policy wamekurupuka,

Itakuwa very challenging kumuweka mtu mwenye profile la mtu wa miaka 18 ambalo ni unemployable awe employable.

Bora hata wangesema miaka 25 sababu mtu wa miaka 25 tayari ana ujuzi hata kama anaweza asiwe na uzoefu.

Wanaofanya decisions on our behalf simply ni useless...

Waste of space..

My honest opinion...

Rebecca.
This time they're going for kill... 18 yrs old alipe tax huku wawekezaji wanasamehewa kodi.
 
Back
Top Bottom