hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Nimecheka sana [emoji28][emoji28][emoji28]Msizae mizigo kwa serikali, zaeni walipa kodi.
Jitu zima linazaa watoto 10, halafu elimu bure, hospitali bure.
Mkue kiakili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana [emoji28][emoji28][emoji28]Msizae mizigo kwa serikali, zaeni walipa kodi.
Jitu zima linazaa watoto 10, halafu elimu bure, hospitali bure.
Mkue kiakili.
Wewe jobless tafuta kazi😆Mimi nimependa mchango wako ila mkuu mimi naumia efforts zote wanazoweka wananchi Mafisadi yanajimegea tuuu...😡😡😡
ukikua utajua haujuiIla viongozi wao ndio mishahara walipwe tena mikubwa, wapewe nyumba za kukaa, matibabu na huduma zengine bure.
Hiyo inawajenga nini?
ExactlyNi hivi
Kila huduma ufanyayo unakatwa kodi ila hautambuliki kama mlipa kodi. VAT hulipwa na mtumiaji wa mwisho ambao ni sisi.
Hivyo basi ili tuonekane ni walipaji, kila mtu itambidi awe na TIN ambayo itasajiliwa kwenye Number za Simu na Bank, kwamba ikitokea umefanya malipo kwa njia tajwa basi ile VAT itaenda kwenye acc yako kule TRA na utajulikana kama mlipakodi
Nitajuaje sasa? kuna mahusiano gani kati ya kukuwa na kujua hilo suala?ukikua utajua haujui
ukikua utajuaNitajuaje sasa? kuna mahusiano gani kati ya kukuwa na kujua hilo suala?
Kama kukuwa ndio kujua basi shule zisingekuwa na maana.ukikua utajua
utataka tu maana kodi tayari - TIN number si hiari tena ni lazima kila mtanzania mwenye 18 awe nayo. Hukawii kufika kwenye huduma yoyote wakakuomba TIN number kwanza !! 🙂🙂Sitaki.
Kama 18 hakupaswa kuwa twgemezi, niambie ni kazi gani huyu 18yr old anaweza kufanya na kuhitegemea.
Kwa mfumo wa elimu yetu, huyu kama hayupo o level basi ni a level, ni tegemezi100%, na ndio maana hata nhif waliona waongeze kidogo umri wa mtu tegemezi hadi 21yrs coz 18yrs kiuhalisia bado ni mtu tegemezi kabisa licha ya kutambulika kama mtu mzima.
Mimi ningeshauri hata kama hiyo taxpayers id watatoa kuanzia 18yrs old, lakini kodi wanayotaka kumkamua mtu iwe kuanzia 25yrs, hapo walau mtu anachakarika mtaani jamani.
Ni kuongeza foleni Ofisi za TRA bure tu.What for? mapambo?
mwenye shida kichwani ni wewe. Tanzania ya leo over 90% ya watoto wanaomaliza darasa la saba wanamwagwa katika shule za secondary za kata wakiwa na miaka 14 au 15. come 18 bado wako secondary..Siyo kila mwenye miaka 18 yupo kidato Cha nne!!..na wanesema mwenye kipato,mna shida gani vichwani!!?
Turudi kwenye takwimu tuone vijana umri huo ni wangapi Tanzania,ili tuamini kweli wote wapo sekondarimwenye shida kichwani ni wewe. Tanzania ya leo over 90% ya watoto wanaomaliza darasa la saba wanamwagwa katika shule za secondary za kata wakiwa na miaka 14 au 15. come 18 bado wako secondary..
Hao unaosema wana miaka 18 na wana kipato ni watoto wako au wadogo zako? Jifunze kushughulisha ubongo wako
Hata sasa unakatwa kodi kwenye hizo hudumaMnhhhh sasa ukatwe Tax kwenye maji,umeme,hospitalini,Mashuleni, na huduma nyingine utabaki na kitu??? au nimekuelewa sivyo Mkuu???
Ni mfanoMnhhhh sasa ukatwe Tax kwenye maji,umeme,hospitalini,Mashuleni, na huduma nyingine utabaki na kitu??? au nimekuelewa sivyo Mkuu???