Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
- Thread starter
-
- #21
Huyu mama yenu si alikuwa anajitapa kwamba yeye anaheshimu mahakama pamoja na Demokrasia?Kwahio msingi wa kesi unakuwa ni kitu gani hapo meko!?
Kesi ya nyani hakimu ngedere [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]
Waziri wa Fedha kutokea mkoa wa singida 😂Huna akili mshenzi mkubwa.
Hahahaha mtaona rangi zake timamu nendeni huko mahakamani na mlete mrejesho!😅😅😅Huyu mama yenu si alikuwa anajitapa kwamba anaheshimu mahakama pamoja na Demokrasia?
Ngoja tuone.
Acheni huu ujinga hakuna kinachofanyika bila baraka zake labda uniambie ana uwezo mdogo wakuchanganua mamboHuyu mama asipostuka watendaji wake wanamkomoa kwa wananchi Ili achukiwe.Kumbuka mwendazake toxin bado amewakumbatia
Hizi ni dalili za Maza kuanguka 2025Wewe ni MJINGA
Kuna mijitu mapumbavu yanaamini mma anahujumiwa etiAcheni huu ujinga hakuna kinachofanyika bila baraka zake labda uniambie ana uwezo mdogo wakuchanganua mambo
Halafu si nilimsikiaga anasema yeye hataki kodi za dhulma?Huyu mama asipostuka watendaji wake wanamkomoa kwa wananchi Ili achukiwe.Kumbuka mwendazake toxin bado amewakumbatia
HAPANA, sio kwa kodi za kitapeli.hapo tayari umesha changia mwanao au mtoto wa ndugu yako akapate elimu bora, pia umesaidia ndugu yako popote alipo apate huduma bora hospitalini.
usijutie makato hayo, utafurahia huduma za afya, elimu na barabara.
mjenga nchi ni mwananchi, tujenge nchi yetu.
Tz ni nchi ya wapumbavu kama huu uhuni tumekaa kimya basi tunashida sanaKiukweli kama wanasheria wote nchi nzima hakuna hata aliyefungua case mpaka sasa kupinga huu uharamia, basi tupo nchi ya ajabu sana inayoenda enda tu watu wamekaa, hii na kwa hali ilivo mtaani ni kutaka kuwalaza watu njaa
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Wata sema hawata weza ingilia mhimili mwingine. Tefer records.....Huu uharamia wa kodi mpya za miamala ya simu unapaswa kusimama.
Wanasheria wetu mtusaidie hili. Hakuna kitu kinachoitwa sijui "kodi ya uzalendo" — Lazima Mahakama iweke ZUIO la hizi kodi za kitapeli.
Hauwezi ukakata kodi mara tatu kwenye muamala mmoja. Huo ni uhuni na wizi.
Hizi ndizo kodi za dhulma tulizokuwa tunazisema.
Badala ya kudhibiti madini na bandari pamoja na vitega uchumi vingine vikubwa, mmewaachia wazungu wanajichotea tu, halafu mnatengeneza vijikodi vya ajabu ajabu mnamtwika mwananchi mara tatu tatu?
HAPANA, Double taxation ni uhuni na dhuluma ambayo inapaswa kusimama.
Msituletee mambo ya kuupiga mwingi hapa. Kodi za kitapeli ni mwiko.
Wanasheria fanyeni kazi yenu, na tutaipima mahakama kama bado inajitambua kupitia hili.
Ila bahati nzuri haya makato hayana chama.Kwahio msingi wa kesi unakuwa ni kitu gani hapo meko!?
Kesi ya nyani hakimu ngedere [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]
Wanasheria wetu wamesinzia sana wanatakiwa waamke sasa!Kiukweli kama wanasheria wote nchi nzima hakuna hata aliyefungua case mpaka sasa kupinga huu uharamia, basi tupo nchi ya ajabu sana inayoenda enda tu watu wamekaa, hii na kwa hali ilivo mtaani ni kutaka kuwalaza watu njaa
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hio kesi unafungua mahakama ya nchi gani? Miga?Huu uharamia wa kodi mpya za miamala ya simu unapaswa kusimama.
Wanasheria wetu mtusaidie hili. Hakuna kitu kinachoitwa sijui "kodi ya uzalendo" — Lazima Mahakama iweke ZUIO la hizi kodi za kitapeli.
Hauwezi ukakata kodi mara tatu kwenye muamala mmoja. Huo ni uhuni na wizi.
Hizi ndizo kodi za dhulma tulizokuwa tunazisema.
Badala ya kudhibiti madini na bandari pamoja na vitega uchumi vingine vikubwa, mmewaachia wazungu wanajichotea tu, halafu mnatengeneza vijikodi vya ajabu ajabu mnamtwika mwananchi mara tatu tatu?
HAPANA, Double taxation ni uhuni na dhuluma ambayo inapaswa kusimama.
Msituletee mambo ya kuupiga mwingi hapa. Kodi za kitapeli ni mwiko.
Wanasheria fanyeni kazi yenu, na tutaipima mahakama kama bado inajitambua kupitia hili.
Ona lingine hili hapa linatetea wizi.watanzania hawana tatizo na makato.
Acha uchoko mzee wa darKafungue kesi mjomba. Mimi tayari nalipa kodi ya uzalendo ikajenge barabara kijijini kwetu malinyi niuze mpunga wangu kwa uarahisi.