Kodi mpya za miamala: Mahakama iweke zuio la haraka

Mjinga wewe, kodi ama tozo inapaswa kutozwa kwenye faida ama mapato (income) na sio kwenye mitaji.

Zaidi ya yote, huwezi kutoza kodi mbili kwenye muamala mmoja. Hiyo ni kinyume na kanuni za utozaji kodi.

Hakuna kodi inayoitwa kodi ya uzalendo. Huu ni WIZI na UTAPELI.

Ni UHUNI abi initio. Hakuna kitu kama hicho duniani.
 
[QUOTE="Omusolopogasi, post: 39729660, member: 451552]Kumbuka corona ipo na inaua...[/QUOTE]

Hiyo corona iko wapi mbona siioni?
 
Hili kwa kinyakyusa tunaita Regime uncertainty
 
watu wanashinda twitter kupiga porojo badala ya kufatilia mambo ya msingi.
 
Hakuna kodi ya uzalendo wewe, usilete ujinga wako hapa.

Tunalipa kodi stahiki na halali, sio kodi uchwara za kitapeli.

Uzalendo ndo nini yaani?
Afu huu uzalendo ni kwa wananchi wa kawaida kwann wao viongozi hawawi wazalendo? Nilitegemea Mwigulu kama waziri wa fedha azuie yale ma viette watumie land Cruiser kupunguza garama za uwendeshaji serikali, then aje kwa mishahara ya wabunge ilimwe kodi, alafu ahamie kwenye madini na bandari atulie
 
Acha unafiki mkuu wangu
 
Hawajitambui.
 
Kwenye mahakama ipi? Hatuna mahakama huru Tanzania. Uhuru upi uliopo mahakamani kwa watuhumiwa kukaa mahabusu miaka kwa madai kuwa upelelezi haujakamilika? Uhuru upi wa mahakama kuteuliwa majaji wasio na sifa ?
 
Jamani tunafungua nchi tulieni tumewapa demokrasia pigeni story mitandaoni

Maskini wamerudi kuwa mashetani mamaeeeee

Matajiri piga keleleeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah inachekesha ila ndo ukweli
 
Mwigulu inatakiwa afukuzwe kazi ,amefeli sana!

Wafanyabiashara wa Xpesa wanasema kamisheni imepungua sana means watu wamepungua waliokuwa wanafanya miamala....Kuna mmoja alikuwa anapata commision hadi laki 6 ila kwasasa ana laki na ushee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…