Kofi Annan, Luis Ocampo na Thabo Mbeki waombwe kusuluhisha vyama vya siasa Tanzania

Kofi Annan, Luis Ocampo na Thabo Mbeki waombwe kusuluhisha vyama vya siasa Tanzania

..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.

..DAMU imeshamwagika.

..watu wamepata VILEMA.

..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.

..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.

..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.

..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
Pointless mkuu, unazungumzia Mzee south wakati aliharibu uchaguz wa Kenya? Awali aliishukuru tume huru ya uchaguz ya nchin wakati uchaguzi huo ulitawaliwa na vibwanga vya kutosha! Kwann unataka kutuona sisi mazezeta? Hujaona watu wengine wa kuwaomba kuja kusimamia na kusuluhisha hii migongano inayotokea nchini?

Uzi wako ningeupa 5 km ungetaja jumuiya za umoja wa ulaya, na sio za kiafrika!
 
..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.

..DAMU imeshamwagika.

..watu wamepata VILEMA.

..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.

..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.

..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.

..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
Wazo lako MKUU ni zuri, lakini sizonje alisema haelekezwi, hakosolewi wala hajaribiwi. Sasa hao washauri nani atawaleta? Pia shambulizi la Lissu ilitakiwa wachunguzi wa kimataifa, serikali ilikataa sembuse hilo la usuluhishi wa vyama vya siasa?

Jamaa alisema siasa ni 2020, mauaji ni kawaida, hapa kazi tu
"Aliselema alija"
 
..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.

..DAMU imeshamwagika.

..watu wamepata VILEMA.

..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.

..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.

..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.

..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.


Hakuna cha kusuhulisha hapo, isitoshe Tanzania siyo Kenya acheni kujidanganya!
Hivi mnaelewa hata maana ya foreign policy? Mnafikiri Wazungu hawajui kinachoendelea nchini mpaka muwaombe waingilie?
Unafikiri kazi ya foreign missions hapa TZ ni zipi hadi mpande ndege kuwafwata?
 
Hamna wanainchi tuamke kabisa habari hii ni mbaya sana kunahatari zaidi mbeleni naiona kwa nini mkulu hataki kusikia Na kuheshimu haki za watu za kuishi ni wakati muafaka kumshurutisha aheshimu haki za binadamu
 
..basi aongezwe Mama Graca Machel Mandela anazungumza Kiswahili ili kuwasaidia wasuluhishi wanaozungumza " ki-inglish."
...wasuluhishe nini sasa !? Daah...makarai mbona stress zenu zinawapeleka sana !?
 
Mnaijua hata hali mbaya lakini au ushabiki mandazi tu.

Si heri waende hata Kenya penye marais wawili.

No time for cowards.
 
..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.

..DAMU imeshamwagika.

..watu wamepata VILEMA.

..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.

..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.

..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.

..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
Upuuzi mtupu, waache kusuluhisha ya KENYA waje hapa ambapo mikwaruzano iliyopo ni ya kawaida kwa nchi zote zenye vyama vingi??
 
Sikuwahi kutarajia kama Tanzania siku moja inaweza kuwa na Rais katili na wa ovyo kwa kiwango hiki.
.....aliye ondoka mlimnadi ni dhaifu, kakalia kucheka tuu. Nyie mtakuwa m'mechanganya dozi sasa side effects zinawapelekesha.
 
Sikuwahi kutarajia kama Tanzania siku moja inaweza kuwa na Rais katili na wa ovyo kwa kiwango hiki.
Kumbe wewe huwajui wasukuma? Amri ikitolewa iwe nzuri au mbaya inatekelezwa tu. Kama ulimchagua sasa unavuna ulichopanda, kumbuka pombe siyo chai.
 
..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.

..DAMU imeshamwagika.

..watu wamepata VILEMA.

..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.

..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.

..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.

..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
Mungu wa Ibrahim . Isaka ,Yakobo tuokoe waja wako tunaangamizwa.
 
Sikuwahi kutarajia kama Tanzania siku moja inaweza kuwa na Rais katili na wa ovyo kwa kiwango hiki.
Kumbe wewe huwajui wasukuma? Amri ikitolewa iwe nzuri au mbaya inatekelezwa tu. Kama ulimchagua sasa unavuna ulichopanda, kumbuka pombe siyo chai.

Wengine tulimjua mapema hata kura hatukumpa.
 
..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.

..DAMU imeshamwagika.

..watu wamepata VILEMA.

..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.

..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.

..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.

..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
Hakuna joto Lolote. TabzaTan iko tulivu kabisa
 
Tanzania hakuna upinzani makini kuna wasanii na wafanya fujo tu
Mwenyekiti na katibu walioandaa maandamano haramu walitoroka kwa kuvaa baibui na dera,wamewaacha vijana waliowatoa mikoani kuja kufanya vurugu wanasota polisi,kwa kushindwa kujua vichochoro vya Moscow wamedakwa kiulaini.
Tanzania ni shwari bavicha wanataka huruma tu
 
Wee sema rubbish tu..
Siku watakapokugeuka hawa makatili CCM na kujikuta upo hospitali wakihangaika kuitoa risasi uliyopigwa imenasa mkunduni sijui utamlilia nani sijui.
Tatizo woga kwani vita ikitokea wewe si utakuwa mhanga, sema bwana
 
Back
Top Bottom