Kofi Annan, Luis Ocampo na Thabo Mbeki waombwe kusuluhisha vyama vya siasa Tanzania

Kofi Annan, Luis Ocampo na Thabo Mbeki waombwe kusuluhisha vyama vya siasa Tanzania

Wewe mzee JokaKuu umeanza kuchanganyikiwa, hawana muda mchafu hao wa kuanza kusuluhisha “kujiliza” kwenu. Tanzania hakuna mgogoro wa kisiasa wala dalili ya mgogoro wa kisiasa. Rafiki wa CDM Kenyata huku akipewa sifa kede kede na CDM ameua zaidi ya watu 100. Hakuna aliyemgusa wala atakayemgusa.

Hizi kelele zote mwisho ni 2020, mkishashindwa ubunge mtakuwa kama NCCR Mageuzi, na CCM walivyo na fitna wataanza kukipa promo chama kingine cha upinzani. Nyie wazee wa CDM ni wanafiki sana, saivi mnajaribu kila njia kuleta hali ya taharuki, uzuri wa JPM hacheki na kima, ukifanya upuuzi anakutandika nyundo tu.
Uhuru hawezi fanya hivi kwani alishapandishwa kule ana akaponea chupu chupu, hivyo anaheshimu sana katiba, na huyu wakishampandisha kule atarudi na adabu,
 
..hata kama tatizo ni hicho unachoita " immaturity of opposition parties" bado naamini kuna ulazima wa wasuluhishi kuja kututatulia mgogoro tulio nao.

..kuna tatizo ambalo tusipokuwa makini linaweza kutuletea madhara makubwa huko mbeleni. Sasa it is better kutafuta msaada kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Hakuna mgogoro ambao unahitaji msuluhishi toka nje.Sema jamaa wamemiss kwenda ikulu kunywa kahawa na juice
 
..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.

..DAMU imeshamwagika.

..watu wamepata VILEMA.

..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.

..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.

..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.

..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
Yaani unachekesha sana mkuu. Wazee wazito hao badala ya wafaye mambo ya msingi wewe unataka waje kushughulikia upuuzi wa chadema? Mule hakuna chama cha siasa ila ni saccos tu ya kupiga hela. Kwenu nyie ni fujo, majungu, utapeli, ujinga, ubinafsi, uchochezi, na wizi. Lengo ni kukifuta hicho chama chenu na dalili utaziona. 2020 kama Mbowe, Lema, Nassari, Sugu, na wabunge wote wa upinzani Dar, Heche, Bulaya na Matiko wakirudi Bungeni njoo uhukue hii VX V8 yangu, bureeeeeeeeee.
 
..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.

..DAMU imeshamwagika.

..watu wamepata VILEMA.

..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.

..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.

..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.

..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.
Kwani kuna mgogoro katika vyama?
 
wasuluhishe nn?,tunataka tusuluhishwa nn?,chanzo cha hilo tatizo ni nini?.
unaposuluhishwa lazima utapoteza kitu ili upate kitu,je "wafalme" wetu watakuwa tayari kupoeza?
 
Ni hasara kubwa sana kwa Taifa

Eti unakubali pesa ya walipa kodi kutoka hazina ichotwe ili kutolewa kama rushwa na huyu dhalimu DU na huoni tatizo lolote lile!!!



Vyama vya siasa ndio shida.
CHADEMA chama changu kilishajijenga ni kikawa IMARA sanaaaa. Watanznia wengi wakakiona ndicho chama chenye misingi na kinachoeleweka.
Yule mstaafu wa Tiss akatuletea jamaa kukitengua nguvu zake.
Sasa kimekuwa cha hovyohovyo tu. Viongozi wananunulika kila kunapokucha.
It will take years kurudia uimara ule wa enzi za Dr Slaa.
 
Hivi bavicha mko idle sana naona mnatoa nyuzi zisizo na mashiko.

Msitake kusumbua wazee wa watu(wastaafu) kwa kukosa kwenu hoja na kushindwa siasa.

Kama mambo hayaendi huko KUHAMA ruska.

Tanzania kwanza.
 
Hivi bavicha mko idle sana naona mnatoa nyuzi zisizo na mashiko.

Msitake kusumbua wazee wa watu(wastaafu) kwa kukosa kwenu hoja na kushindwa siasa.

Kama mambo hayaendi huko KUHAMA ruska.

Tanzania kwanza.
Kuna siku utakuja kuomba radhi .
 
..hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyokwenda.

..DAMU imeshamwagika.

..watu wamepata VILEMA.

..wazee wa hapa nchini, pamoja na viongozi wa dini, wameshindwa kutuliza joto la kisiasa.

..Umefika wakati wa kutafuta watu wazito wenye busara toka nje ya nchi kuja kusuluhisha.

..Ni vizuri tukatafuta usuluhishi mapema kabla mambo hayajaharibika kabisa au wakati tumesambaratika.

..Nadhani Mzee Koffi Annan, Jaji Luis Moreno Ocampo, na Mzee Thabo Mbeki, wanaweza kutusaidia ktk hili.

Kuna mgogoro wa vyama vya siasa Tanzania?
 
..sisi tunaweza kuwa nchi ya kwanza kufanya hivyo.

..ni kwa faida yetu sisi wenyewe.
Haiwezi fanyika, hakuna rais ambye yuko madarakani anayeweza kukubali kuingiliwa na chombo chchte toka nje
 
Sijui kwa nini nimekumbuka ule mlipuko wa Bomu ubalozi wa Marekani..au naota
 
Haiwezi fanyika, hakuna rais ambye yuko madarakani anayeweza kukubali kuingiliwa na chombo chchte toka nje

..ndugu yangu, tunapokea misaada ya kila aina.

..sioni kwanini tukatae kuomba msaada wa wasimamizi wa Uchaguzi.

..kwa maoni yangu kuna FAIDA kuliko hasara ikiwa uchaguzi wetu utasimamiwa na UN pamoja na JUMUIYA YA MADOLA.
 
Ni hasara kubwa sana kwa Taifa kuwa na wapumbavu kama wewe.

Eti unakubali pesa ya walipa kodi kutoka hazina ichotwe ili kutolewa kama rushwa na huyu dhalimu DU na huoni tatizo lolote lile!!!


Ile pesa aliyopewa Mbowe ili CCM wasimamishe mgombea kupitia chama chetu haikutoka kwenye kodi zetu?
Mbona kuna watu humu ndani yanaona sawa tu?
 
Back
Top Bottom