Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Subiri 2026 huko kwa wagaratia wenzako utapata takwimu ,omba uzimaTupate na takwimu za mauzo ya pork kwa kipindi hicho yalikuaje huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri 2026 huko kwa wagaratia wenzako utapata takwimu ,omba uzimaTupate na takwimu za mauzo ya pork kwa kipindi hicho yalikuaje huko
Kwere Gang kwa uchawa, kusifu na kuabudu siwawezi, mkishayakoroga wananchi hawana umeme na maji, mi tozo kibao, madili n.k mnaanza kutunga.Sukuma gang, hamna jema, kila kitu chema kwenu kibaya tu dah, kuweni na shukurani.
Mwanzo upi nchi ina miaka 61 toka uhuru mnajisifu kuuza nyama kombe la dunia, kuna mambo ya kujisifu huu mwingine ujinga tu.Hongera ni mwanzo mwema kwa taifa letu.
Uuzaji nyama nje ni mwendelezo unaozidi kuimarika. Angelifanya ngongoseke wakati ule ndio ungeliona sawa.Mwanzo upi nchi ina miaka 61 toka uhuru mnajisifu kuuza nyama kombe la dunia, kuna mambo ya kujisifu huu mwingine ujinga tu.
Kipindi cha JPM alikuwa ana deal na miradi mikubwa katika miundo mbinu na huduma bora za kijamii, unakuja kunieleza nyama kwenda kuuzwa kombe la dunia, kombe la dunia limeisha hizo nyama zikibaki chomeni mle.Uuzaji nyama nje ni mwendelezo unaozidi kuimarika. Angelifanya ngongoseke wakati ule ndio ungeliona sawa.
Ndicho mlichobakiza , sikia mwenzako huyu nae kaanzisha uziSukuma gang, hamna jema, kila kitu chema kwenu kibaya tu dah, kuweni na shukurani.
Niserikali ya Samia?au serikali ya Tanzania maana hapo sijaelewa au kuna nchi inaitwa Samia fafanuaTanzania imevuna TZS Bilioni 12.5 kutokana na Kombe la Dunia, Usafirishaji na uuzaji wa nyama kwenda Qatar umeongezeka kwa 125%. Oktoba mwaka huu Tani 632 ziliuzwa na Novemba Tani 1,423 ziliuzwa. Qatar inaingiza nyama nyingi kutoka Tanzania hususani nyama ya Mbuzi.
Ikumbukwe mapema mwaka huu Rais Dkt. Samia Suluhu alifanya ziara yake Qatar, Saudi Arabia na Oman ambako nchi hizi zote ni wanunuzi wa nyama kutoka Tanzania. Serikali imeendelea kuboresha sekta ya mifugo nchini ili kuendelea kuuza zaidi kimataifa kwani mbali na Qatar nchi ya Tanzania inapeleka nyama katika mataifa ya Oman, United Arabs Emirates(UAE), Saudi Arabia na Bahrain.
Kufunguka kwa masoko ya kimataifa yanasaidia kukua kwa uchumi wa nchi na kuongezeka kwa pato la taifa. Wafanyabiashara wanapata fedha na wafugaji pia wanapata zinazowasaidia kuimarisha maisha yao.
View attachment 2451806
Punguza chuki na comparison zako za JPM. Kwani hapo Samia ndio katoa hiyo takwimu mpaka useme hadeal na miradi mikubwa ila nyama??Kipindi cha JPM alikuwa ana deal na miradi mikubwa katika miundo mbinu na huduma bora za kijamii, unakuja kunieleza nyama kwenda kuuzwa kombe la dunia, kombe la dunia limeisha hizo nyama zikibaki chomeni mle.
Kila siku habari Tanzania imekua ya 4 kufanya bla blah blah Africa, Tanzania inaongoza kwa bla blah barani Africa, uongo kila siku.Punguza chuki na comparison zako za JPM. Kwani hapo Samia ndio katoa hiyo takwimu mpaka useme hadeal na miradi mikubwa ila nyama??
Kingine miradi Gani mikubwa hafanyi si ndio analeta mabehewa ya SGR, kuendeleza mradi wa Maji ya ziwa Victoria, Kujaza Maji Bwawa la Nyerere, mradi wa umeme wa upepo, Kinyerezi 3 inaenda kujengwa, haya amesimamia mazungumzo gesi ianze kuvunwa, madaraja yaliyojengwa kwa bei kubwa za kifisadi si yanazinduliwa Kila siku ila mnayakosoa.
Nadhani mambo ya miradi Kila Rais anafanya kulingana na mpango wa taifa unavyoelekeza Wala sio kwamba ni miradi ya JPM au ulikua ubunifu wake.
So hizi comparison acheni, mmejaa chuki tu watu wa JPM.
Acheni kuweka siasa kwenye kila kitu. That's market force, simply supply and demand.Tanzania imevuna TZS Bilioni 12.5 kutokana na Kombe la Dunia, Usafirishaji na uuzaji wa nyama kwenda Qatar umeongezeka kwa 125%. Oktoba mwaka huu Tani 632 ziliuzwa na Novemba Tani 1,423 ziliuzwa. Qatar inaingiza nyama nyingi kutoka Tanzania hususani nyama ya Mbuzi.
Ikumbukwe mapema mwaka huu Rais Dkt. Samia Suluhu alifanya ziara yake Qatar, Saudi Arabia na Oman ambako nchi hizi zote ni wanunuzi wa nyama kutoka Tanzania. Serikali imeendelea kuboresha sekta ya mifugo nchini ili kuendelea kuuza zaidi kimataifa kwani mbali na Qatar nchi ya Tanzania inapeleka nyama katika mataifa ya Oman, United Arabs Emirates(UAE), Saudi Arabia na Bahrain.
Kufunguka kwa masoko ya kimataifa yanasaidia kukua kwa uchumi wa nchi na kuongezeka kwa pato la taifa. Wafanyabiashara wanapata fedha na wafugaji pia wanapata zinazowasaidia kuimarisha maisha yao.
View attachment 2451806