kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Sababu wanapinga ushogaKupeleka kombe la dunia kwa jamii ya kijinga km waarabu ni kosa la karne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu wanapinga ushogaKupeleka kombe la dunia kwa jamii ya kijinga km waarabu ni kosa la karne
Hata wao Waarabu wanaona jamii yako ni ya kijinga vilevileKupeleka kombe la dunia kwa jamii ya kijinga km waarabu ni kosa la karne
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Msichokijua wametengeneza mpaka kiwanja kinachohamishika sasa mnaoenda huko muwe makini msije Kuta mnaambiwa mko Qatar kumbe mshabebwa mko Iraq [emoji1787]
Wakuu ni hivi, kila panapokucha kumekuwa na lundo la sheria zinazozidi kutungwa nchini Qatar kwa mashabiki na watu mbalimbali watakaoingia nchini humo kipindi hiki cha michuano ya Kombe la Dunia, na mbaya zaidi hizo sheria zinawawekea vikwazo hadi wadhamini wakuu na washirika wa karibu wa FIFA na mashindano haya makubwa duniani.
Kwa ujumla hali hii aliiona Sepp Blatter ambapo hivi karibuni aliwahi kutamka hadharani mbele ya waandishi wa habari kuwa wanajuta kuipa Qatar uenyeji wa mashindano haya. Ni nini hasa kitakachotokea?
1. Hasara kwa makampuni wadhamini kushindwa kujitangaza kutokana na sheria zilizopo?
2. Mashindano kukosa mvuto?
3. FIFA kupoteza baadhi wa wadhamini na washirika wake wakubwa?
4. Mashindano haya kutopelekwa tena katika nchi za Kiarabu?
Karibu tuchangie mdau.
UAE huwezi peleke kitimoto pia, nimefika huko, sheria za kiislam ziko vile vileWamezuia hadi kitimoto,
Bora wangepeleka Dubai/UAE
Kwani waliomba kutangaza ushoga na kunywa pombe au waliomba kuandaa mashindano ya mpira wa miguu? Kama huwezi kuangalia mpira bila pombe au kutangaza ushoga achaSasa kwa nini waliomba wawe wenyeji, tena kwa kuhonga kabisa?
Kama huwezi kunywa pombe usiandae michuano. Pombe ndio wadhamini imara wa soka, wengine hawa huwa wanabipuKwani waliomba kutangaza ushoga na kunywa pombe au waliomba kuandaa mashindano ya mpira wa miguu? Kama huwezi kuangalia mpira bila pombe au kutangaza ushoga acha
Huu ni mwanzo na mwisho kwa watoto wa mamdogo Hajra kupewa uenyeji wa kombe la Dunia labda Dubai pekee wanaweza kufikiriwaWakuu ni hivi, kila panapokucha kumekuwa na lundo la sheria zinazozidi kutungwa nchini Qatar kwa mashabiki na watu mbalimbali watakaoingia nchini humo kipindi hiki cha michuano ya Kombe la Dunia, na mbaya zaidi hizo sheria zinawawekea vikwazo hadi wadhamini wakuu na washirika wa karibu wa FIFA na mashindano haya makubwa duniani.
Kwa ujumla hali hii aliiona Sepp Blatter ambapo hivi karibuni aliwahi kutamka hadharani mbele ya waandishi wa habari kuwa wanajuta kuipa Qatar uenyeji wa mashindano haya. Ni nini hasa kitakachotokea?
1. Hasara kwa makampuni wadhamini kushindwa kujitangaza kutokana na sheria zilizopo?
2. Mashindano kukosa mvuto?
3. FIFA kupoteza baadhi wa wadhamini na washirika wake wakubwa?
4. Mashindano haya kutopelekwa tena katika nchi za Kiarabu?
Karibu tuchangie mdau.
Na inakuwaje nchi ya kidini kutaka uenyeji wa mpira ambao unadhaminiwa na pombe?Kwani waliomba kutangaza ushoga na kunywa pombe au waliomba kuandaa mashindano ya mpira wa miguu? Kama huwezi kuangalia mpira bila pombe au kutangaza ushoga acha
Hakuna sheria inayosema mpira lazima udhaminiwe na pombe, wao Qatar wanadhamini mpira na nini? EPL wamekuwa na wadhamini kibao ambao sio pombe kama vile Banks, Mashirika mengine.Na inakuwaje nchi ya kidini kutaka uenyeji wa mpira ambao unadhaminiwa na pombe?
Epl wanadhaminiwa na pombe gani msimu huu? Kuna Sponsors makini kuliko pombe na mpira unapigwa na hela ipo.Kama huwezi kunywa pombe usiandae michuano. Pombe ndio wadhamini imara wa soka, wengine hawa huwa wanabipu
Unachinjwa kama umevunja sheria kama ilivyo sheria ya Tanzania ya kunyonga tuMechi zikianza sheria za kuchinjwa zitaubuka tu minajua Qatar ujanja wao.