Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
starehe mbona siko nyingi hapi mjin doha kwen lazima upinde, ila wahuni ni wengi izo sheria zao zitavunjwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kubwa unafikiri ni sheria zingine hapana tatizo kubwa ni wazungu wanataka kulazimisha kufukuana mavi viwanjani na watauawa wakifanya huo ujingastarehe mbona siko nyingi hapi mjin doha kwen lazima upinde, ila wahuni ni wengi izo sheria zao zitavunjwa sana
Ukila mdudu hadharani unachinjwa laiv bila chenga.Unachinjwa kama umevunja sheria kama ilivyo sheria ya Tanzania ya kunyonga tu
Hakuna muislam anayekula Kitimoto, sema unakutana na Wasukuma wanaotumia majina yanayitumiwa zaidi na waislam kusema wanakula kitimoto.Ndugu zetu waislam tunapiga nao sana kitimoto, watusaidie kufikisha malalamiko yetu
Si sheria zao? Mbona huko kwenu CCM wana haki ya kufanya mikutano ila Chadema ni nongwa tena wakisadiwa polisi? Heshimu utamaduni wa mtu ili uepuke matatizo.Ukila mdudu hadharani unachinjwa laiv bila chenga.
kwamba pombe,kitimoto na uchoko viruhusiwe mkuu?Ndugu zetu waislam tunapiga nao sana kitimoto, watusaidie kufikisha malalamiko yetu
Thubutu ukatwe koromeo mbele ya hadharastarehe mbona siko nyingi hapi mjin doha kwen lazima upinde, ila wahuni ni wengi izo sheria zao zitavunjwa sana
Hapo ni mwendo wa K Vant ndani ya chumba ya maji kubwa. Binadamu hashindwi!Pombe haijakatazwa isipokua unywe sehemu maalumu zilizotegwa ,na ukilewa usisumbue wengine,sio ile kujiachia uwanjani na bia ya kopo
Sababu wanapinga ushoga
Kweli,lakini wakikutoa jela inakuhusuHapo ni mwendo wa K Vant ndani ya chumba ya maji kubwa. Binadamu hashindwi!
Kwa hiyo wewe unafanya kwa kelele?Waarabu ndio waasisi wa hiyo MICHEZO. Ya kula tope
Hiyo MICHEZO imeanzia Uarabuni.
Sema wao wanafanyana kimya kimya.
Wameipeleka ZANZIBAR,KONDOA,TANGA.
MOMBASA USIPIME.
WAARABU NI WANAFIKI SANA
Ushoga ni swala la faragha hakuna haja ya kujua mambo ya watu au wao watutangazie, pombe na kitimoto watu wawekewe sehemu zao ambazo wanaweza kutumia, is trick lakini ndio hivyo tena ukishaingiza mambo ya imani ni ngumu sana na ndio maana nchi nyingi hazitaki kuingiliano wa dini na sheria zakekwamba pombe,kitimoto na uchoko viruhusiwe mkuu?
Haram ni Haram TU.Kwenye umalaya na ushoga nipo pamoja na wavaa kobazi. Kitimoto na pombe wavaa kobazi wanatubagua.
Haram yako sio haram ya kila mtu boss, kwenu kuoa wake wanne ni sawa lakini wakristu ni haramu kabisa, tuvumiliane tuu la sivyo hapatakalika