Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Dubai Ni wapi na Qatar ni wapi.?Wamezuia hadi kitimoto,
Bora wangepeleka Dubai/UAE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dubai Ni wapi na Qatar ni wapi.?Wamezuia hadi kitimoto,
Bora wangepeleka Dubai/UAE
Uwe unaelewa na wewe, Dubai hawana misimamo mikali ya dini Kama warabu wengine ndiyo maana unaona Kuna club na maeneo kibao ya starehe Dubai.Dubai Ni wapi na Qatar ni wapi.?
Dubai is a city, whereas Qatar is an independent nation.Uwe unaelewa na wewe, Dubai hawana misimamo mikali ya dini Kama warabu wengine ndiyo maana unaona Kuna club na maeneo kibao ya starehe Dubai.
Hivi kumbe sodoma na gomora walikuwa waarabu wale? Halafu loti/luti kumbe alitumwa kwa waarabu akawakataze waache ushoga?Ila ushoga asili yake si ndio uko uko uarabuni au imekuaje tena..tehteh
UAE Kwa ujumla wake hakuna upumbavu Kama wa warabu wengine, hata Tunisia tu hapo unapata Malaya wa kupiga bila nongwa kabisaDubai is a city, whereas Qatar is an independent nation.
Jela? Jela ya nini na wakati kichwa kinatakiwa kiwe angalau meter kadhaa kutoka kwenye mwili USHOGA HAUTAKIWI WAKAFANYE HUKO HUKO KWAO AMBAPO KILA SIKU UZAO UNAPUNGUA KWA KASI MNOKweli,lakini wakikutoa jela inakuhusu
Wao wenyewe walijua nini maana ya mashindano hayo sasa kwa nini walliweka bid kama kweli wao ni watu wa dini?Kwani waliomba kutangaza ushoga na kunywa pombe au waliomba kuandaa mashindano ya mpira wa miguu? Kama huwezi kuangalia mpira bila pombe au kutangaza ushoga acha
Sodoma na Gomora zilipigwa mara mbili na 2Hivi kumbe sodoma na gomora walikuwa waarabu wale? Halafu loti/luti kumbe alitumwa kwa waarabu akawakataze waache ushoga?
Na kama waarabu wanatokana na mtoto wa kwanza wa ibrahim na wakati loti/luti ametumwa kwa sodoma na gomora nadhani ismaili alikuwa hajazaliwa sasa hao sodoma na gomora walikuwa ni waarabu wa kwa mpalange au wa buza?
Tuvumiliane, la sivyo hapatakalika.Haram yako sio haram ya kila mtu boss, kwenu kuoa wake wanne ni sawa lakini wakristu ni haramu kabisa, tuvumiliane tuu la sivyo hapatakalika
Kwako wewe huko kwenu kufukuliwa mavi ndiyo sunna?Utaambiwa rushwa ni Suna, kuoa mtoto mdogo ni Suna. Hawa jamaa kichwani wamebeba matope.
Niko na mamako.shoga wee na qatar huendiLisa sa ivi chimbo lako la kuuza pap.a ni wapi napita kila mara pale buguruni sokoni kwa nyuma ulipokuwaga sikuoni
Kwahy ni sawa na kusema, mkoa umeruhusu hayo mambo ila nchi haijaruhusu.?Uwe unaelewa na wewe, Dubai hawana misimamo mikali ya dini Kama warabu wengine ndiyo maana unaona Kuna club na maeneo kibao ya starehe Dubai.
Dubai ipi isiyo na misimamo ya mikali ya Dini? Umefika au umesimuliwa?Uwe unaelewa na wewe, Dubai hawana misimamo mikali ya dini Kama warabu wengine ndiyo maana unaona Kuna club na maeneo kibao ya starehe Dubai.
Hizo nchi za kiarabu mbona zina wahamiaji wengi mno kutoka nchi zengine na pia zina wakimbizi wengi tu kutoka nchi za kiarabu zenye machafuko.Kwani hao wakimbia nchi wote wanaotokea huko mbona wanakimbilia huko huko magharibi,, angalia hao wasomali na wahabeshi mbio zote USA wakati humo Qatar ni karibu tu wasiende.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwarabu anaenda ulaya wewe mmatumbi unaumia, huo ushoga wako baki nap tuHuyu jamaa ni mwehu sana Kama warabu wanaona maisha kwao ni mazuri na kitakatifu basi wasililie kwenda ulaya wanapopaona pa mashoga wabaki arabuni.
Sheri zipi mkuu? Au wewe ni mfuasi wa upinde?Wakuu ni hivi, kila panapokucha kumekuwa na lundo la sheria zinazozidi kutungwa nchini Qatar kwa mashabiki na watu mbalimbali watakaoingia nchini humo kipindi hiki cha michuano ya Kombe la Dunia, na mbaya zaidi hizo sheria zinawawekea vikwazo hadi wadhamini wakuu na washirika wa karibu wa FIFA na mashindano haya makubwa duniani.
Kwa ujumla hali hii aliiona Sepp Blatter ambapo hivi karibuni aliwahi kutamka hadharani mbele ya waandishi wa habari kuwa wanajuta kuipa Qatar uenyeji wa mashindano haya. Ni nini hasa kitakachotokea?
1. Hasara kwa makampuni wadhamini kushindwa kujitangaza kutokana na sheria zilizopo?
2. Mashindano kukosa mvuto?
3. FIFA kupoteza baadhi wa wadhamini na washirika wake wakubwa?
4. Mashindano haya kutopelekwa tena katika nchi za Kiarabu?
Karibu tuchangie mdau.
Kushangilia mpira kunaendana na pombeMakampuni yatapata hasara sawa lakini kuhusu michuano kukosa mvuto nakataa mvuto uko pale pale