Kombe la Dunia Qatar sheria lukuki zinazidi kumiminika, FIFA wayakanyaga

Kombe la Dunia Qatar sheria lukuki zinazidi kumiminika, FIFA wayakanyaga

Mwarabu anaenda ulaya wewe mmatumbi unaumia, huo ushoga wako baki nap tu
Wewe fala na hao warabu wako wasiojitambua huwezi elewa chochote. Sasa wewe mambo ya ushoga yanakuuma Nini Kama haukazwi.
 
Dubai ipi isiyo na misimamo ya mikali ya Dini? Umefika au umesimuliwa?
Ushoga
Usagaji
Pombe ni sehemu maalum tena kwa wageni kama ilivyo hapo QATAR tembeeni acheni kusimuliwa.
Misimamo ya Qatar ni sawa na Ile ya Dubai? Au unabwabwaja tu mzee
 
Wewe fala na hao warabu wako wasiojitambua huwezi elewa chochote. Sasa wewe mambo ya ushoga yanakuuma Nini Kama haukazwi.
Mnaoumia ni nyie mnaokazwa kupigwa marufuku kufanya mambo yenu kule
 
Sojawahi mkuu
Basi sheria zipo vile vile tu, starehe zimetengwa kwenye maeneo maalum tu, na hasa kwa ajili ya wageni. Dubai huwezi kukuta vyupi nje, kitimoto, pombe hadharani nk.

Nchi za kiarabu karibu zote sheria zao ni kali sana.
 
Qatar sheria ni kali kupunguza Uhuru ule uliopitiliza wenye kujenga taswira mbaya sana kwa Jamii.

Na watakao Kaidi watalia machozi ya damu kwa kupata adhabu ya hatari ambayo hawatakaa waje wasahau..!

Kwani kuna maisha baada ya kumalizika kwa hii michuano ya Kombe la Dunia.
 
Mara paaa, siku ya hukumu mnaambiwa kwa mparange haikuwa dhambi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Kama nawaona vile wapemba na wamombasa watakavyo wazodoa Wabara
 
Back
Top Bottom