Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
na kwambiaje sisu warusi tunakuja na VODIKA ZETU,na tuta kunywa hadharani Na hachinchwi mtuStarehe bila pombe hainogi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na kwambiaje sisu warusi tunakuja na VODIKA ZETU,na tuta kunywa hadharani Na hachinchwi mtuStarehe bila pombe hainogi
Kwani hiyo bid ilikuwa kutangaza ushoga na pombe au kucheza mpira? Na kuna sehemu dini yao imakataza kucheza mpira?Wao wenyewe walijua nini maana ya mashindano hayo sasa kwa nini walliweka bid kama kweli wao ni watu wa dini?
US ni noma mzeeKule tutaenda kufanya kila aina ya fantasy. Ile nchi watu wamevurugwa aisee
Hakuna jambo lolote la kishenzi hapa duniani ambalo pale halipo. Mengi yanaanzia pale ndo yanasambaa dunianiUS ni noma mzee
[emoji2959][emoji2959]Kupeleka kombe la dunia kwa jamii ya kijinga km waarabu ni kosa la karne
Msumari wa moto[emoji419][emoji375][emoji3548]Ndio maana wengine hawataki kusoma kwa sababu wanahusisha pia elimu na ushetani matokeo yake wakiwa tena wachache kwenye ajira wanalalamika. Very hopeless indeed.
Si ndio hawa?Kwenye umalaya na ushoga nipo pamoja na wavaa kobazi. Kitimoto na pombe wavaa kobazi wanatubagua.
Nchi inatumia rushwa kupewa wenyeji wa mashindano ila wanakataza pombe eti ni haram!Madhara ya rushwa
Supporters will be able to have a drink at any official World Cup site, including the fan parks. Those attending matches won't be allowed to purchase alcohol inside the stadiums in Qatar. Instead, only non-alcoholic beer and soft drinks will be served inside the grounds.Epl wanadhaminiwa na pombe gani msimu huu? Kuna Sponsors makini kuliko pombe na mpira unapigwa na hela ipo.
Sasa kama mnaenda Qatar kunywa pombe anzisheni mashindano ya ulevi.
Waafrika mnaopenda kupokea kila maagizo ya nchi za kishoga mnatakiwa kujifunza kuwa na misimamo kama nchi hiyo ya kiarabu.Wakuu ni hivi, kila panapokucha kumekuwa na lundo la sheria zinazozidi kutungwa nchini Qatar kwa mashabiki na watu mbalimbali watakaoingia nchini humo kipindi hiki cha michuano ya Kombe la Dunia, na mbaya zaidi hizo sheria zinawawekea vikwazo hadi wadhamini wakuu na washirika wa karibu wa FIFA na mashindano haya makubwa duniani.
Kwa ujumla hali hii aliiona Sepp Blatter ambapo hivi karibuni aliwahi kutamka hadharani mbele ya waandishi wa habari kuwa wanajuta kuipa Qatar uenyeji wa mashindano haya. Ni nini hasa kitakachotokea?
1. Hasara kwa makampuni wadhamini kushindwa kujitangaza kutokana na sheria zilizopo?
2. Mashindano kukosa mvuto?
3. FIFA kupoteza baadhi wa wadhamini na washirika wake wakubwa?
4. Mashindano haya kutopelekwa tena katika nchi za Kiarabu?
Karibu tuchangie mdau.
Kuna shida gani na picha hii? wameambia mashoga mje tu hakuna wa kuwazuia ila mnachotaka kiruhusiwe kwa sheria kwamba nchi itangaze ushoga ruksa kisheria wamekataa hata Tz mashoga wamejaa lakini sheria rasmi inakataza ila huko wanataka nchi ya Qatar ipitishe sheria kuwa hawa ushoga ni halali ndio maana wamesema hawawezi kubadili sheria zao na imani zao kwa sababu ya siku 28 za WC hii ndio shida.Si ndio hawa?View attachment 2419907
Wewe nchi yenu ilifungwa mikono isihonge ?Sasa kwa nini waliomba wawe wenyeji, tena kwa kuhonga kabisa?
Waarabu sio jamii ya kijinga sema wana utaratibu wao,cha umuhimu hapo nikufuata taratibu zao tuKupeleka kombe la dunia kwa jamii ya kijinga km waarabu ni kosa la karne
Huna unalojua, kaa kimya waislamu wengi tuu wanakula NGURUWE na wanaisifia kuwa ni tamuHakuna muislam anayekula Kitimoto, sema unakutana na Wasukuma wanaotumia majina yanayitumiwa zaidi na waislam kusema wanakula kitimoto.
Kula nguruwe automatically inakutoa katika uislamu kwa hiyo hao ni mayahudi au wakristo wenzako au ni watu wasiokuwa na diniHuna unalojua, kaa kimya waislamu wengi tuu wanakula NGURUWE na wanaisifia kuwa ni tamu
Unazunguka tu na sheria zilizotungwa huzisemi! Bila shaka kinachokatazwa hata wewe huna ujasiri wa kukisema maana yake dhamiri yako inakusuta!! Mambo ya LGBT (ushoga) mnayapendea nini?? Ni aibu mtu mzima kulalamika eti wanazuia ushoga au ulevi au ukahaba!1Wakuu ni hivi, kila panapokucha kumekuwa na lundo la sheria zinazozidi kutungwa nchini Qatar kwa mashabiki na watu mbalimbali watakaoingia nchini humo kipindi hiki cha michuano ya Kombe la Dunia, na mbaya zaidi hizo sheria zinawawekea vikwazo hadi wadhamini wakuu na washirika wa karibu wa FIFA na mashindano haya makubwa duniani.
Kwa ujumla hali hii aliiona Sepp Blatter ambapo hivi karibuni aliwahi kutamka hadharani mbele ya waandishi wa habari kuwa wanajuta kuipa Qatar uenyeji wa mashindano haya. Ni nini hasa kitakachotokea?
1. Hasara kwa makampuni wadhamini kushindwa kujitangaza kutokana na sheria zilizopo?
2. Mashindano kukosa mvuto?
3. FIFA kupoteza baadhi wa wadhamini na washirika wake wakubwa?
4. Mashindano haya kutopelekwa tena katika nchi za Kiarabu?
Karibu tuchangie mdau.
Kama ni hivyo basi waislam hapa bongo ni haba sana!! Maana kwenye ule mwezi biashara hiyo hudoda, lakini ukiisha tu ni nyomi ya kufa mtu!!Kula nguruwe automatically inakutoa katika uislamu kwa hiyo hao ni mayahudi au wakristo wenzako au ni watu wasiokuwa na dini
Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app
Waarabu sio jamii ya kijinga sema wana utaratibu wao,cha umuhimu hapo nikufuata taratibu zao tu
Unaandaa mashindano unayojua fika nchi za ulaya watashiriki halafu unakataa pombeUnazunguka tu na sheria zilizotungwa huzisemi! Bila shaka kinachokatazwa hata wewe huna ujasiri wa kukisema maana yake dhamiri yako inakusuta!! Mambo ya LGBT (ushoga) mnayapendea nini?? Ni aibu mtu mzima kulalamika eti wanazuia ushoga au ulevi au ukahaba!1