Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

Kwa kweli timu ya Yanga bado sana. Usajili mlioufanya hauna tija. Sajilini wachezaji wenye uwezo.

Wachezaji kama wakina Ngassa wamepitwa na wakati. Masikini Yanga timu ninayoipenda, kuna tatizo gani?
Pesa ndugu,tunasajiri kulingana na kipato chetu kinavyoruhusu
 
WAKATI ZAHERA ANASEMA" NITAMBHEA MUJHEZAJI YA YANGA MILLION 100 WAGHAWANE KAMA WAKIWASHINDA AWA PYLAMID "NAZANI WATU WENGI AWAKUMUHELEWA
 
Hawa Pyramid ni level ya kina Ruvu Shooting hawa Yanga wameonewa tu..
 
Nimeharibu pesa yangu bure Kuja huku mwanza kuishangilia yanga

Embu kama kuna mrembo yupo mwanza anicheck fasta aje tubadilishane mawazo

Maendeleo hayana Chama jamani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…