Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

Mkude,Nyoni,Gadiel na Chama wangegoma MO kaishiwa mzeeKilomoni kaapa kuuwa mtu ndio mana Magori kasepa
Hahahaha jamaa kama nakuona vile unavyo hangaika kupata faraja. Sio mbaya Makame atapindua meza hukohuko Egypt
 
Mundende, lubisa na vumbi la Kongo unavifaham hivyo vitu. IMEISHA HIO
 
Hakika midogo imewaponza Viongozi na Kocha wa Yanga.Tuliwaonya msiwadharau Pyramid ni klabu ngeni kwa Tanzania lakini ni Klabu yenye ukwasi mkubwa ambao umewawezesha kusajili vizuri.Mpira sio maneno mmevuna mlichopanda.
Wamegongwa wamegongwa tena dadeq
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…