Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Huyu ni kenge mkubwa mwenye sumu.
Ya wala haujakosea sana. Yani kenge, mamba, komodo dragon na wengine wa aina hiyo wapo katika kundi la mijusi kama ilivyo kwa tiger, simba, chui na wengine wa aina hiyo ambao wapo katika kundi la paka au wazungu huwaita Big Cat.
 
MUNGU ni fundi Sana kama Komodo dragon wangekuwa wanapatikana Africa basi Huko kwenye hifadhi kusingekuwa na wanyama wengine zaidi Yao.
Hawa ni wanyama hatari sana Kwa uhai wa wanyama wengine, kwenye Ile channel ya NAT geo wild wanasema huyu ndiye mnyama hatari zaidi mwenye sumu kali kuna video zake jinsi anavyowala nyoka kama anakula tambi hiviii
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.

Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon, aisee atamezwa yeye na manyoa yake 😂🤣🤣🤣. Jamaa hana masihara, wala mzaha na mnyama mwingine yoyote.

Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.

Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.

Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.

Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.

Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.

Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia ulimi wake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.

Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.

Wataalam wa wanyama washakiri wazi kuwa hata king of the jungle Simba mwenyewe hawezi kuweka mguu maeneo ya hawa viumbe.

View attachment 2321342View attachment 2321345
Duh Mungu kaumba!
 
Can Komodo dragon venom be cured?

Because the venom is not a serious health hazard to humans, as Komodo Dragons rarely bite people, and because the venom is not deadly, there is no plan to develop an antivenom. The venom causes local necrosis at the site of the bite.

Kwa maana hiyo; ni kwamba anasumu ila si hatari sana kwa binadamu. kwa maelezo tajwa hapo juu ni kwamba aina hata haja ya kutengeneza dawa (antvenom) kwa sababu sumu yake inatibika.
 
Can Komodo dragon venom be cured?

Because the venom is not a serious health hazard to humans, as Komodo Dragons rarely bite people, and because the venom is not deadly, there is no plan to develop an antivenom. The venom causes local necrosis at the site of the bite.

Kwa maana hiyo; ni kwamba anasumu ila si hatari sana kwa binadamu. kwa maelezo tajwa hapo juu ni kwamba aina hata haja ya kutengeneza dawa (antvenom) kwa sababu sumu yake inatibika.
Ni mnyama wa ajabu huyu!
 
Mkuu mie nachojua ni kuwa akikung'ata akakujeruhi basi damu yako itaanza kutiririka bila kuganda mpaka utapoishiwa nguvu na kuanguka ama kupoteza maisha kabisa.

Akisha kung'ata basi anajua shughuli imekamilika anaaza tu kukufuatilia mahala unapopita akitegemea atakukuta umegeuka windo lake.



MAGUFULI4LIFE.
 
Mkuu mie nachojua ni kuwa akikung'ata akakujeruhi basi damu yako itaanza kutiririka bila kuganda mpaka utapoishiwa nguvu na kuanguka ama kupoteza maisha kabisa.

Akisha kung'ata basi anajua shughuli imekamilika anaaza tu kukufuatilia mahala unapopita akitegemea atakukuta umegeuka windo lake.



MAGUFULI4LIFE.

Unapanda juu ya mti [emoji23]
 
MUNGU ni fundi Sana kama Komodo dragon wangekuwa wanapatikana Africa basi Huko kwenye hifadhi kusingekuwa na wanyama wengine zaidi Yao.
Hawa ni wanyama hatari sana Kwa uhai wa wanyama wengine, kwenye Ile channel ya NAT geo wild wanasema huyu ndiye mnyama hatari zaidi mwenye sumu kali kuna video zake jinsi anavyowala nyoka kama anakula tambi hiviii
Yani Mungu ni muweza na mwenye huruma na sisi waafrika. Hili dubwasha lingekuwa Afrika basi lingekuwa lishamaliza wanyama wetu na kuhamia kwetu binadamu.
 
Back
Top Bottom