Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Unapanda juu ya mti [emoji23]
Kama akishakung'ata kazi kwisha. Anyway utapanda juu ya mti, lkn kwa muda fulani utaanza kupoteza nguvu, mwili utashikwa ganzi kiasi kwamba hata mti wenyew utashindwa kuushika ili kuzuia usianguke.

I mean dakika za mwisho utaanguka tu na kuwa kitoweo chake. Hakuna namna ya kulikwepa hilo dubwasha baada ya kukutia jino.

Hilo sio dudu la kawaida, hilo ni monster mkuu.
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.

Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon, aisee atamezwa yeye na manyoa yake [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Jamaa hana masihara, wala mzaha na mnyama mwingine yoyote.

Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.

Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.

Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.

Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.

Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.

Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia ulimi wake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.

Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.

Wataalam wa wanyama washakiri wazi kuwa hata king of the jungle Simba mwenyewe hawezi kuweka mguu maeneo ya hawa viumbe.

View attachment 2321342View attachment 2321345


Mengi umeandika sahihi.. comodo are powerful And deadliest beast.. ila hapana sumu yake sio
Lethal zaid ya black mamba.. na wala hawako
Hata top 10 ya deadliest venom species

Unachokiona kwenye tv kuwa mnyama amekuwa disabled na sumu ndan ya dk 5 ile ni edited video ili wafupishe hiyo clip..

Comodo sumu yake inaweza kuua/ kumfanya mnyama au binadam awe amepararalyze asipopata matibabu kati ya masaa 24 hadi siku nne kutegemea na ukubwa wa mnyama.. na ukubwa wa comodo

Kinachotokea comodo sumu yake inafanya mnyama atoe harufu ambayo comodo anaweza ku track hata baada ya siku mbili..

Na sumu ya comodo iko kwenye mate yaan mda wote yale mate yake yana sumu .. ni tofaut na nyoka ambaye ana vishimo vya kuzalisha sumu yaan nyoka akikuuma sumu yake ni 100% lethal
 
Mengi umeandika sahihi.. comodo are powerful And deadliest beast.. ila hapana sumu yake sio
Lethal zaid ya black mamba.. na wala hawako
Hata top 10 ya deadliest venom species

Unachokiona kwenye tv kuwa mnyama amekuwa disabled na sumu ndan ya dk 5 ile ni edited video ili wafupishe hiyo clip..

Comodo sumu yake inaweza kuua/ kumfanya mnyama au binadam awe amepararalyze asipopata matibabu kati ya masaa 24 hadi siku nne kutegemea na ukubwa wa mnyama.. na ukubwa wa comodo

Kinachotokea comodo sumu yake inafanya mnyama atoe harufu ambayo comodo anaweza ku track hata baada ya siku mbili..

Na sumu ya comodo iko kwenye mate yaan mda wote yale mate yake yana sumu .. ni tofaut na nyoka ambaye ana vishimo vya kuzalisha sumu yaan nyoka akikuuma sumu yake ni 100% lethal
Ok mkuu, lkn comodo ni hatari zaidi kwa viumbe wengine kulikoni nyoka.
 
Kama akishakung'ata kazi kwisha. Anyway utapanda juu ya mti, lkn kwa muda fulani utaanza kupoteza nguvu, mwili utashikwa ganzi kiasi kwamba hata mti wenyew utashindwa kuushika ili kuzuia usianguke.

I mean dakika za mwisho utaanguka tu na kuwa kitoweo chake. Hakuna namna ya kulikwepa hilo dubwasha baada ya kukutia jino.

Hilo sio dudu la kawaida, hilo ni monster mkuu.
Bora yapoteee yanafanana na dragon ujue
 
Binadamu ni ultimate predator,sababu ya uwezo WA akili tukiamua tuwauwe Simba wote tunaweza ,pahala popote binadam akiweka makazi wanyama wanakula Kona,habari yeti wanayo
Mbona tumeweka makazi na bado panya wanadunda tu na msosi wako?
 
Back
Top Bottom