Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #401
Hakika tuache Mungu aitwe Mungu, na tumtukuze kwa jinsi tunavyoweza.Duh Mungu kaumba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika tuache Mungu aitwe Mungu, na tumtukuze kwa jinsi tunavyoweza.Duh Mungu kaumba!
Ni hatari mno. Black mamba, Cobra na wanyama wengine hatari wakiingia anga zake anawatafuna kama njugu.Ni mnyama wa ajabu huyu!
Ni mfanano wa kenge lakini sio kenge na hatowahi kuwa kenge.huyo ni kenge tuh
tuseme ni jamii ya kengeNi mfanano wa kenge lakini sio kenge na hatowahi kuwa kenge.
Swali zuri 😂😂😂Kenge anaweza kummeza mbuzi?
Kama akishakung'ata kazi kwisha. Anyway utapanda juu ya mti, lkn kwa muda fulani utaanza kupoteza nguvu, mwili utashikwa ganzi kiasi kwamba hata mti wenyew utashindwa kuushika ili kuzuia usianguke.Unapanda juu ya mti [emoji23]
Habari zenu wana JF wenzangu.
Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.
Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon, aisee atamezwa yeye na manyoa yake [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Jamaa hana masihara, wala mzaha na mnyama mwingine yoyote.
Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.
Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.
Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.
Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.
Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.
Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia ulimi wake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.
Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.
Wataalam wa wanyama washakiri wazi kuwa hata king of the jungle Simba mwenyewe hawezi kuweka mguu maeneo ya hawa viumbe.
View attachment 2321342View attachment 2321345
Ok mkuu, lkn comodo ni hatari zaidi kwa viumbe wengine kulikoni nyoka.Mengi umeandika sahihi.. comodo are powerful And deadliest beast.. ila hapana sumu yake sio
Lethal zaid ya black mamba.. na wala hawako
Hata top 10 ya deadliest venom species
Unachokiona kwenye tv kuwa mnyama amekuwa disabled na sumu ndan ya dk 5 ile ni edited video ili wafupishe hiyo clip..
Comodo sumu yake inaweza kuua/ kumfanya mnyama au binadam awe amepararalyze asipopata matibabu kati ya masaa 24 hadi siku nne kutegemea na ukubwa wa mnyama.. na ukubwa wa comodo
Kinachotokea comodo sumu yake inafanya mnyama atoe harufu ambayo comodo anaweza ku track hata baada ya siku mbili..
Na sumu ya comodo iko kwenye mate yaan mda wote yale mate yake yana sumu .. ni tofaut na nyoka ambaye ana vishimo vya kuzalisha sumu yaan nyoka akikuuma sumu yake ni 100% lethal
Yah ni jamii ya kenge kama walivyo lozard wengine mkuu.tuseme ni jamii ya kenge
Yah ni jamii ya kenge kama walivyo lozard wengine mkuu
Bora yapoteee yanafanana na dragon ujueKama akishakung'ata kazi kwisha. Anyway utapanda juu ya mti, lkn kwa muda fulani utaanza kupoteza nguvu, mwili utashikwa ganzi kiasi kwamba hata mti wenyew utashindwa kuushika ili kuzuia usianguke.
I mean dakika za mwisho utaanguka tu na kuwa kitoweo chake. Hakuna namna ya kulikwepa hilo dubwasha baada ya kukutia jino.
Hilo sio dudu la kawaida, hilo ni monster mkuu.
Mbona tumeweka makazi na bado panya wanadunda tu na msosi wako?Binadamu ni ultimate predator,sababu ya uwezo WA akili tukiamua tuwauwe Simba wote tunaweza ,pahala popote binadam akiweka makazi wanyama wanakula Kona,habari yeti wanayo
✅🙏Hakuna kiumbe kisichomuhofia binadamu ni vile tu ukiotewa ndio basi. Sisi ndiyo watawala wa hii dunia hadi majini yanatuogopa.
Huwa nafuatilia sana video clip za kuhusu huyu mdudu tiktok aisee ni balaaAisee ulimi wake tu unatisha mdudu Si mdudu nyoka Si nyoka Mamba si mamba mjusi si mjusi Yani anatisha kwa kweli
Duh!!,Si mchezo.Unawezaje kulila dudu lenye sumu kali kuanzia kichwani hadi mkiani? Hii ni sawa na kusema hivi mtu hauwezi kulitafuna lile bomu la mkononi linalofanana na kiazi au nanasi.
Umeambiwa wanapatikana Asia,wewe ulimuona wapi km sio fix?Niliwahi mkuta kichakani nikamkimbiza huku mkononi nimeshika ndala moja alitoka baru hadi akaingia shimoni