Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #81
Mkuu huyu sio kenge na wala hajawahi kuwa kenge. Ni mnyama tu jamii ya mijusi. Kama unavyoona kuna Tiger, Leopard, Cheetah (chui) ambao ni jamii ya paka, lakini haimaanishi kuwa wanyama hao wakubwa nao ni paka.Jama nshaangslia huyo mnyama kwenye national geographic. Kwa kifupi ni kenge. Ukubwa ni kutokan na maeneo
Jama nshaangslia huyo mnyama kwenye national geographic. Kwa kifupi ni kenge. Ukubwa ni kutokan na maeneo
Mfano wake si kwenye ile picha ya anaconda 3, the komodos?Habari zenu wana JF wenzangu.
Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.
Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.
Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.
Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.
Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.
Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.
Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.
Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.
Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.
View attachment 2321342View attachment 2321345
Yah huyu ni mnyama hatari zaidi duniani ambae huwezi kumfananisha na hawa wanyama wengine. Yeye jino moja tu kamaliza mechi, haina haja ya kutumia nguvu zake nyingi kupambana na windo.Walionyesha kamlamba mshkaji fulan tumboni. Alikuwa kalala ndan ya hema bila kufunga wakapeleka hospital ila hata hakufika. Na dogo mwngne akiwa anafuata mpira uliongia kichakan wakat wanacheza akalikuta lijomba likamuotea kidogo mkonon dogo akanyoosha.
Ya wengine wanamfananisha na yule mnyama alietumika katika ile movie ya Godzilla kama umeshawahi kuiona.Mfano wake si kwenye ile picha ya anaconda 3, the komodos?
Ama kweli Mungu ana maajabu yake hapa duniani.Habari zenu wana JF wenzangu.
Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.
Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.
Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.
Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.
Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.
Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.
Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.
Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.
Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.
View attachment 2321342View attachment 2321345
Hakika mkuu wangu.Mungu ana nguvu sanaaa
Wanyama wote hao wanadhibitiwa na mwanadamu kwa kutupiwa wavu.Ya ni kweli mkuu, ila uhatari unatofautiana kulingana na aina ya mnyama.
Wanyama wote hao wanadhibitiwa na mwanadamu kwa kutupiwa wavu.Ya ni kweli mkuu, ila uhatari unatofautiana kulingana na aina ya mnyama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni mnyama coward na mviziaji. Anachofanya anavizia ukiwa huna hili wala lile, anakung'ata halafu anakimbia kama kafumaniwa usije mdhuru, anakuacha akisubiri sumu isambae mwilini udondoke aanze kunusa nusa ulipopita ndo ale nyama ya mwili wako. Hata hivyo huwa anamuavoid binadamu.
View attachment 2321528
Hakuna mnyama anaewinda binadam kama chakula, na akianza kufanya hvyo kafaHao wanaomchezea inawezekana anakuwa kashiba mno huyo komodo.!
Hahahaha ya huyu ni mnyama hatari zaidi kuliko uhatari wa mnyama yeyote. Kwanz mnyama yoyote akijaribu tu kumjeruhi kwa mdomo basi ataanza kwanz kufa yeye kwa sumu ya hili dubwasha.
Anauwa nn vibaya, mbuzi auHahahaha unaambiwa huko walipo huuwa viumbe mbali mbali vibaya sana. Ila ndo hivyo hakuna namna kwa sababu bado nchi hizo zinawatumia wanyama hawa kwa utalii.
Hana anti venom ila sumu yake sio hatari sana kuwa huwezi kupona, unaweza kupona kwa kutreat zile symtomsHuyu nafikiri kaumbwa kwa ajili ya kuuwa tu viumbe wengine wakiwemo wanyama, ndege na binadamu. So kwahiyo akishakutia jino tu basi hakuna namna ya kuendelea kuishi au kupata muda wa kuandika usia kwa watoto.
Bora walishe. Awafuate ndugu zake akina dinosaurs, ubaya wake Anakula kila kitu hivyo yeye ni hatari ya ecology ya dunia.Ni moja ya viumbe waliohatarini kutoweka duniani kwasasa, wamebaki wachache sana.
Mwamba unataka ufe kishujaa kama 2pac. Pamoja na kupigwa risasi huku akiwa katika hali mbaya, lkn bado aliwapa dole la kati maadui zake ππππ mwamba alikuwa mbishi kinoma.Labda anitie ganzi ila lazma nimtukane kmnyk zake ilo nina hakika