Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Hilo linammeza hadi kasa na jumba lake.
Halina huruma na kiumbe yoyote hapa duniani. Linalotaka lenyewe ni kujaza tumbo lake tu.
Nliona video moja muastralia anamfuga anakaa naye nyumbsni
Kuna wanadam wengine hawaishi
Vituko

Ova
 
Andiko liko na ukweli kwa asilimia 50, asilimia 50 zinazobaki ni kamba tu!

Hakuna namna komodo dragon anaweza kukutana na simba. Wanaishi mabara tofauti kabisa. Sasa sijui huo uwezo wa komodo kumuua simba mmeupima vipi?

Komodo ni mchumba sana kwa big cats na predators wengine wanaowinda kwa timing.
 
Andiko liko na ukweli kwa asilimia 50, asilimia 50 zinazobaki ni kamba tu!

Hakuna namna komodo dragon anaweza kukutana na simba. Wanaishi mabara tofauti kabisa. Sasa sijui huo uwezo wa komodo kumuua simba mmeupima vipi?

Komodo ni mchumba sana kwa big cats na predators wengine wanaowinda kwa timing.
Hii mada imeletwa mda kidogo ila nilikuwa sijaiona ningem challenge sana
Yaani huyu labda sio ninaemjua
Comodo dragon mate yake ndio yana bacteria na ana sumu kali anapouma inachukua siku kuuwa mnyama kama ng'ombe na ile bacteria na sumu ndio zitamdhoofisha mpaka kufa naye huwafuatilia kwa siku kadhaa na kuwala
Kwa wanyama wadogo anaweza kuwameza na kuwala hapo hapo kwa kuwavizia kama nguruwe au mbwa hao anawala wakiwa hai hapo hapo kama akiwakamata
Namba 5 sio kweli pia yaani hata cobra au black mamba daaa hao sumu yao inauwa na sidhani kama atapata mda wa kupambana nae
Kweli ni mbaya ila sio kwa sifa hizo maana anafukuzwa mpaka na watoto akiwa kwenye makazi
Sasa Tiger au lion utamfukuza kama kuku
 
Nliona video moja muastralia anamfuga anakaa naye nyumbsni
Kuna wanadam wengine hawaishi
Vituko

Ova
Wazungu wanajifanyaga wanajua kufuga kila kitu. We mwache, siku likikosa chakula lazima litamla mwenyewe anaelifuga.
 
Andiko liko na ukweli kwa asilimia 50, asilimia 50 zinazobaki ni kamba tu!

Hakuna namna komodo dragon anaweza kukutana na simba. Wanaishi mabara tofauti kabisa. Sasa sijui huo uwezo wa komodo kumuua simba mmeupima vipi?

Komodo ni mchumba sana kwa big cats na predators wengine wanaowinda kwa timing.
Kila mnyama anawinda kwa taiming including Comodo Dragon mwenyewe bro.

Hivyo its all about timing.
 
Kuna video moja komodo dragon na njaa njaa zake alijichanganya kummeza yule samaki mwenye umeme mwilini mwake, yule ambaye anapiga shoti akiguswa tu..

Sasa komodo dragon ile kuanza kummeza alichezea shoti za mdomoni akamtema hapo hapo...[emoji28]
 
Venom yake ni fatal! Japo haiui kwa haraka kama usemavyo

Kweli jamaa kaongea kimihemko zaidi, kwa wanyama ni sawa huakika wa kuua ni mwingi sababu kwa wao hawana akili ya kufanya matibabu, ila inaweza chukua hata masaa zaidi ya sita kufikia kumlaza chini kwa baadhi myama, kwa sisi binadam ukiweza kupata msaada wa matibabu hukakika wakupona ni mkubwa sana maana sumu yake sio kama ya BLACK MAMBA na wengineo hao kwa ukali wa sumu zao ni ngumu kupona hata kama upo karibu na eneo lenye msaada wa matibabu.
 
Hii mada imeletwa mda kidogo ila nilikuwa sijaiona ningem challenge sana
Yaani huyu labda sio ninaemjua
Comodo dragon mate yake ndio yana bacteria na ana sumu kali anapouma inachukua siku kuuwa mnyama kama ng'ombe na ile bacteria na sumu ndio zitamdhoofisha mpaka kufa naye huwafuatilia kwa siku kadhaa na kuwala
Kwa wanyama wadogo anaweza kuwameza na kuwala hapo hapo kwa kuwavizia kama nguruwe au mbwa hao anawala wakiwa hai hapo hapo kama akiwakamata
Namba 5 sio kweli pia yaani hata cobra au black mamba daaa hao sumu yao inauwa na sidhani kama atapata mda wa kupambana nae
Kweli ni mbaya ila sio kwa sifa hizo maana anafukuzwa mpaka na watoto akiwa kwenye makazi
Sasa Tiger au lion utamfukuza kama kuku
Umeongea vema, uzuri national geographic wana program za kuelezea hii kitu... hata ukiingia google, comodo hata kwenye top 10 hayupo.
 
Umeongea vema, uzuri national geographic wana program za kuelezea hii kitu... hata ukiingia google, comodo hata kwenye top 10 hayupo.
Haswa mkuu, lweli kabisa na mimi ni mpenzi sana wa wanyama mpaka natamani nifungue Zoo tu
Nawafuatilia sana na documentaries zaidi ya 300 nimeziangalia kuanzia mchwa na maajabu ya vichuguu vyao mpaka birds of Paradise na wanyama wote na wa baharini pia
Nilisema humu Blue Whale mishipa yake ya damu unaweza kuogelea wakaniita muongo ila sio maneno yangu ni mtaalmu mzee David Attenborough (Biologist ninaemkubali

Ila Komodo hana kitu huyo
 
Komodo anameza mbuzi? Umesikia wapi hii habari?
Comodo dragon anaweza kummeza mbuzi bila kutafuna kwa muda usiozidi dakika 20
Screenshot_20231216_082008_Google~2.png
 
Kuna video moja komodo dragon na njaa njaa zake alijichanganya kummeza yule samaki mwenye umeme mwilini mwake, yule ambaye anapiga shoti akiguswa tu..

Sasa komodo dragon ile kuanza kummeza alichezea shoti za mdomoni akamtema hapo hapo...[emoji28]

Weka video nimetokea kulichukia hilo dude
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.

Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na kuwa na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon, aisee atamezwa yeye na manyoa yake yote 😂🤣🤣🤣. Jamaa hana masihara, huruma, wala mzaha na mnyama mwingine yoyote.

Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kusavaivu bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.

Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.

Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake. Anamtafuna black mamba kama mtu anavyotafuna tambi.

Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.

Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.

Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia ulimi wake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.

Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.

Wataalam wa wanyama washakiri wazi kuwa hata king of the jungle Simba mwenyewe hawezi kuweka mguu maeneo ya hawa viumbe.

View attachment 2321342View attachment 2321345
hamuwezi nyegere ( honey badger) huyu anaanzia wapi kwanza....kwanza ngozi ya honey badger ni ngumu kama jiwe hilo jino lake linaingia wap?? na ndo maana kale ka mjamaa kanatembea hata katikati ya simba wengi kanadunda na honey badger anaweza lala hata ndan ya makazi ya fisi au black mamba vzur tuu......sumu ya black mamba humfanya honey badger azimie mda mfupi tuu baada ya hapo anaamka anaendelea kutafuta maokoto..😷😀😃😆😂🤣
 
Back
Top Bottom