Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Deals zipi
Usiishie njiani weka kila kitu hapa
Usiishie kusema tu hakuna deals atakazozipata.....humu sio insta
 
Nimeishia njiani kusoma

Nataka nikuulize swali ule uzalishaji wa ovyo wa mond sio long term effect kwenye kiki zake???

Punguza mahaba ilo ni moja tu kati ya mengi aliyofanya mondi juzi tu kamkana baba ake...ngoja niishie hapa
Uzalishaji hovyo ina uzito kuliko picha za ngono? Uzalishaji hovyo tangu lini ikawa kiki. Tofautisha kukana na kusema ukweli.
 
Nimeishia njiani kusoma

Nataka nikuulize swali ule uzalishaji wa ovyo wa mond sio long term effect kwenye kiki zake???

Punguza mahaba ilo ni moja tu kati ya mengi aliyofanya mondi juzi tu kamkana baba ake...ngoja niishie hapa
Hawajaliona hilooo!!ahsante
 
Harmonize mkali ila kwa rayvan bado unajua tukiacha unazi Ray van tatu Bora ya wasanii wazuri Tanzania hakosi.Diamond,Alikiba na rayvana ndio tatu bora .
Swengine tunampenda konde sababu ni Mmakonde chale😀😀😀😀😃mwenzao.
 
Harmo msanii mzuri Sanaa ila tatizo anashindana na watu ambao hawawezi hata afanye nini.
Ogopa Sana mtu anayekujua undani wako.
 
Unaweza shangaa management inasapoti haya mambo....

Nchi ngumu hii ukifikiria sana utakonda bure kwa mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…