Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Chawa
 
Tukiachana na kuwa amebarikiwa chini ila Harmo anaimba bwana.
Jamaa anajua.
 
Mwache ale tu kijana na hintiye wanajiweka kikahaba na kimitego tego aisee. Ila harmonize ana bolo yang aisee
Katika kitu ambacho nauhakika.
Kajala na mwanae wameshare na watendelea kushare wanaume wengi sana.


Kuna umuhimu wa wanaume kuangalia pa kumwaga mbegu.p
 
Ruge hakua mshindan wa wasafi
 
Mondi ndio kashuka ..juzi kaingia mkataba wa $5m kimyaa..kubeba vipochi kimyaa..kamleta Zari mpaka Taifa kimyaa...kamleta mvuta fegi wa Mombasa kimyaa....ebo hata Michael Jackson ilikuwa hivi hivi...
 
[emoji16][emoji16][emoji16] harmonise anapotea una akili kweli wewe !? Anapotea Nini Sasa !?

Mpaka Sasa ndiye msanii mwenye album Kali kuliko wasanii wote waliowahi kutoa album zao katika digital platform ,na ndiye msanii anaye trend mitandaoni , Pia ana ngoma Kali nyingi tu , hata hi vibaya licha ya kamba imetungwa katika muda mchache lakini bado Ni ngoma Kali Sana ambayo Inadhihirisha kwamba jamaa Ni talent,

Hivi unamjua Mtu ambaye anayepotea !? Mtu anaye potea niyule ambaye macho na masikio ya watu hawaya time nae tena lakini sio kwa harmonise nadhani mpaka dakika hii unaona jinsi anavyo zungumziwa iwe kwa mazuri au mabaya but kitendo cha watu kuacha shughuli zao na kumfuatilia it means jamaa ana impact kubwa ya ushawishi ktk jamii,, ingekuwa harmo ameshuka kisanaa WCB and co wasingekuwa Wana haha kumfanyia fitna ili apotee ,, Kwa mara nyingine tena WCB mmejaribu kufanya fitna ili dogo apotee lakini ime Punch imekula kwenu ..so endeleeni kupiga ramli zenu , [emoji16][emoji16][emoji16]
 
hao watu kina nani mkuu unajua Jembe ni jembe ni nani? na anaelimu gani?, unajua Mjerumani manager wake anaelimu gani?
[emoji16][emoji16][emoji16] hajui kitu huyu , kwahiyo Juma lokole na Aristotle Babu take Wana elimu kuliko jembe Ni jembe !? Unasubiri Nini kumpiga ngumi Mtu Kama huyo asiye weza ku reason out [emoji31][emoji31]
 

Of Course Atapotea Vibaya

Miezi Kadhaa Nyuma Alikuwa Anashindanishwa Na Diamond Saiz Amedhihirisha Wazi Kuwa Ligi Yake Ni Rayvanny, Wakati Yeye Anapambana Na Kiki Competitor Wake Anaendelea Kupiga Deals Na Yeye Anaachwa Way Behind...
 
Nasikia kwanza Mmemuongezea Sifa kuu,mtoto wa watu kawa Gumzo,kila Mdada anataka kuiona Video,wengine wanasema kuiona tu Wameloa,Ana kitu Management ya Wasafi Combined[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpe huyo za uso, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jaman mwenye picha ya mjegeje wa kondeboy afanye kunitumia bas nisafishe macho mie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…