Sory ndio nani huyo au mbunge wa wapiKwa mapenzi mema namshauri Konde boy aache kutumia poda, ajifunze kwa kaka zake waliopotea kwa kuendekeza poda.
Management yake msimuogope boss wenu msaidieni kabla gari haijawaka, ikiwaka hakuna sober house itayomsaidia. Haya mengine mengi mnayoyasikia ni matokeo ya stress na kuchanganywa na unga.
Nakumbuka Kanyau nae hatwaaari!!!Ila nimegundua ndo maana wolper ananuna kumbe hogoooo analimis!!!mweeeKajala nae sio wa mchezo nilisikiaga, kanyau alizamisha loote kwa kajala, na kanyau ana zigo la punda eti....mke wake alisemaga eti ana bor0 refu kama uzi [emoji23][emoji23][emoji23] ila kajala akalishughulikia
Bongo kuna mambo.
Sasa Kama anawasikiliza ni kweli angefanya huo ujinga aliofanya wa kuonesha tupu yake akijichua unataka kunambia huo ni ushauri wa jembe ni jembe kuwa atukane watangazaji na kuwatisha ?hayo ni Mambo yakinamwijaku ambao ndio wanampa mbinu za kutengeneza Kiki.Kweli leo hii Harmonize asimsikilize mjerumani na Jembe amsikilize dr.kumbuka mkuu?
Oyeeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]kaka punguza stress life is too short!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]konde boyy oyeeee!!!
Aisee ndio maana !dah insikitisha Sana Kama kweli ,tatizo wasanii wetu wanapenda kuiga.anakula unga.
Kuna mdada alimrudishia kanyau mpunga wake kuwa shughuli imemshinda hawezi 😂😂😂 kajala ni shangazi wa TaifaNakumbuka Kanyau nae hatwaaari!!!Ila nimegundua ndo maana wolper ananuna kumbe hogoooo analimis!!!mweee
Jinsi wadada wa Jf wanavyoshadadia mikuyenge mizito na mirefu sisi vibamia tumejikunyata kwa huruma kama vile tumenyeshewa mvua.
Hahaaaaa/!!Pm mbovuu Dada!!!video zinagomaSi tulikubaliana ukiupata unanitumia kabla hujauangalia?
Mwaka wa tisa huu mnasema hivi hiviHii Vita inazidi kumtoa Ali kiba kwenye reli asee!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]woiiiii!!!upewe ulinzi na sanamu la tembo lijengwe Dodoma Makao ya nchi CBE paleee!!!Hakuna cha long term effect wala shangazi yake short term effect kubalini mmepigwa bao atii, mlijua mtamdhalilisha imekua kinyume sasa hivi wanawake wanawashurutisha waume zao waongeze mshedede kama wa Harmonize achilia mbali wale wanaopiga hodi DM kwa Konde hehehe poleni team WACHAFU, mwambieni na huyo mfuga tambi kichwan aoneshe kindululu chake tulinganishe, [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji75][emoji75][emoji75][emoji75][emoji75][emoji75][emoji75]Jinsi wadada wa Jf wanavyoshadadia mikuyenge mizito na mirefu sisi vibamia tumejikunyata kwa huruma kama vile tumenyeshewa mvua.
Rayvannyapart from Diamond nani anamzidi Harmonize pale wasafi?
Rayvanny anamzidi harmonize tuzo na alikuwa kwenye grammy awards consideration kwa EP wakati harmonize alitoa album, views youtube na mitandao mingine ya kuuza miziki. Sasa tuambie wewe harmonize anamzidi nini Rayvanny?apart from Diamond nani anamzidi Harmonize pale wasafi?
Kazi iendeleeTUNAUZA DAWA ZA KUKUZA UUME KA WA HARMONIZE “