Kondomu za siku hizi ni ndogo hazitoshi kwenye uume

Kondomu za siku hizi ni ndogo hazitoshi kwenye uume

Condom zanini tena love kavu ndio tamuuuuu banaaaaa .Mnacheki afya kisha mnapeana mautamu kwaraha zenyuu!
Kwahiyo unaenda kumpima UTI, gono, h.i.v halaf ndio mnaenda kula show?? 😂😂😂.
DAahhh kwel hapo lazima uwe serious sana na maisha yako
 
Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote

Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha

Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
Kwani ngono ni ugali? Kwani lazima kufanya ngono? Madhara ya ngono ni makubwa sana kama si kwako basi kwa familia na kizazi chako
 
Ndom zinazouzwa Cameroon haziwez fanana na zinazoletwa bongo ...wameangalia kigezo Cha size
 
Back
Top Bottom